samsung

  1. MT255

    JamiiForums Tanzania Samsung s24 ultra full box bei 1.9m

    KIMFAACHO MTU CHAKE NAUZA SAMSUNG S24 ULTRA FULL BOX STORAGE 512GB RAM 12GB NIMETUMIA MWEZI TU BIASHARA POPOTE TUNAUZIANA BEI 1.9M KWA MUHITAJI PM
  2. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta vioo vya samsung

    Wakubwa, natafuta mahali panapatikana spea za Samsung S10,S9,. Shida ni kioo tu
  3. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Samsung A22 ipoje wakuu msaada

    Naombeni msaada wakuu kufahamu Samsung A22 Upande wa Camera Na kukaa na chaji
  4. Mr. Purpose

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop aina ya Samsung inauzwa

    Laptop Inauzwa Ni SAMSUNG LAPTOP RAM 4 GB Processor 2.4GHz HDD 360GB Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4 Bei ni 260,000 Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho. Mawasiliano 0752026992
  5. P

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A05S

    Samsung A05s ♦️Ram 6Gb ♦️Storage 128Gb ♦️Clean 💰Bei 250,000/= 📍Ubungo flyover ☎️0769503968
  6. Abuu95Kiago

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale SAMSUNG GALAXY 14

    AVAILABLE BRAND NEW 𝗚𝗔𝗟𝗔𝗫𝗬 𝗔𝟭𝟰 𝟭𝟮𝟴𝗚𝗕 | 𝟲𝗚𝗕📱 🔗Brand New 🔗Mixed Colors 🔗Dual Sim ✔️ ✨𝗧𝗦𝗛 𝟯𝟭𝟬,𝟬𝟬𝟬/= 💰 📍Kariakoo, Magila & Likoma,Opposite KKKT DMP Call / Text +255 714 981607 ☎️ 24 Months Limited Warranty ✅
  7. Msaga_sumu

    JamiiForums Tanzania Samsung note 10+ on sales

    njoo na 350,000 tu chap ngoma nzima na uzima wake Ram 8 GB 265 5000 mAh 5G Wireless charge nk 0674793564
  8. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Samsung zimedukuliwa

    𝗦𝗮𝗺𝘀𝘂𝗻𝗴 𝘇𝗶𝗺𝗲𝗱𝘂𝗸𝘂𝗹𝗶𝘄𝗮 Watumiaji wa simu za Samsung Galaxy mifumo Yao imedukuliwa na kusababisha changamoto kwa watumiaji wake. Processor ya Samsung Exynos imedukuliwa na wadukuzi na kuweka code zao ambazo zinaendesha mifumo ya Samsung kupitia jarida la Google security export ilisema. Kirusi...
  9. L

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Msaada kuhusu simu za Samsung

    Habari ndugu zangu? Nisaidieni kujua ni simu gani nzuri kati ya Samsung S series na Note series na vipi kati ya S10+ na Note 10+ ipi ni nzui?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada namna ya kupata ussd l/mmi code za Samsung Z fold 2

    Kwa wataalam sinu tajwa hapo juu siwezi ingia menu ya huduma mtandao husika mfano mpesa huduma za voda inaandika error na inakubali kuangalia salio pekee
  11. S

    JamiiForums Tanzania Jipatie vioo vya Samsung na chaja original kwa bei nafuu

    Habari wana Jf Je unateseka na simu yako sababu ya kioo? usikate tamaaa suluhisho limepatikana. Je bado unateseka na chaja yako kuharibika mara kwa mara. Sasa agiza na mi china kifaa original kwa bei nafuu hutojutia. Napatikana Goba-Dar es Salaam, Tanzania Nicheki whatsap no +255 622818217
  12. Sun Wukong

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Naunza simu yangu aina ya Samsung Galaxy 04e

    Ndio simu ambayo natumia kulogin huku na kupost huko na huko ina 64GB ndani na 3GB of ram android 14 na Oneui 6.1 Ni yangu 100% na utakapo inunua palepale ndio nitatoa Samsung Account as proof ya kuwa mmiliki wake Ninashida na 180k tu Ipo good condition na nimeitumie for long time, nitaweka...
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Jamani ni duka gani ambalo ni maarufu lina hadhi ya kuuza simu original za Samsung? maana vishoka ni wengi

    Refurbished zimekuwa nyingi mtaani na kwa watu wengi ni ngumu kutambua. Tusaidiane duka lenye sifa ya kuuza simu original za samsung. Karibuni;;;;;;;
  14. D

    JamiiForums Tanzania Ukiachana na Samsung na LG, ni TV gani nzuri na imara?

    Habari wajameni, Sisi low income earner tuko na changamoto sana ya kutaka vitu vizuri na imara at affordable price,, btw kila mtu anapenda vitu vizuri mazee. Sasa basi, ukiachana na brand Tajwa hapo juu, Hisence imekuja kwa kasi sana mtaani na kuonekana ni TV nzuri at affordable price...
  15. GREAT NAME

    JamiiForums Tanzania Wakuu msaada wenu Samsung inaandika hivi

  16. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa simu za Samsung Galaxy A series, ngoja leo tujuzane kitu kidogo

    Wakuu! Samsung Galaxy A series ni smartphone kutoka Samsung ambazo zipo za aina mbalimbali kuanzia low end (izi ni za bei ndogo na specifications za chini) hadi za mid rangers ambazo zina specifications kubwa chini kidooogo ya Note Series, S series na Z Series. Sasa ukiwa unataka kununua...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Simu ya Samsung A12 laini zinasoma 'emergency'. Shida ni nini?

    Habari wadau? Natumia simu ya samsung A12, nilirestore simu na baada ya kuweka line zinasom emergency shida itakua ni nini?
  18. Mr Confidential

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung Galaxy S24 Ultra GB 256 Inauzwa Kwa TZS 2,599,999/= Full boxed

    Wakuu, Nina Samsung Galaxy s24 Ultra, nimenunua jana baada ya kukosa Google pixel 9. Hili simu ni pana sana, nashindwa kuishika vizuri. Ili niitumie nashika kwa mikono miwili. Sipo comfortable nayo. Components zake: Simu yenyewe Cover Original charger (kichwa original nimekinunua Samsung...
  19. P

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza Simu aina zote

    Je, unataka simu bei chee? Je, una abudget ndogo na unataka simu? Je, unataka kufanya Top up au exchange? Nambie una budget ngapi tukupe simu kali ya budget yako. Exchange na Top up tunafanya! Simu tulizonazo dukani ni; 📱Google pixel 📱aquous arrow 📱samsung 📱Iphone 📱LG 📱Sonny Xperia...
  20. JourneyMan

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Simu nyingi za Samsung Hawana inbuilt Call recorder na VoLTE?/5G?

    Unakuta flagship kabisa hawana hii option wakati ni jambo dogo sana kuliko kuanza ku install ma third party applications? Kuna baadhi zinakuja na hii option nyingine ni mpk u download. Nani Samsung yake ina support hii kitu? Kuhusu VoLTE/5G nishakuaga na Samsung A9 Pro 2016 ilikua na hii...
Back
Top Bottom