samsung

  1. astalavista

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung Galaxy m11, 250K

    Nimetingwa jamani, nauza simu yangu ninayoitumia. 250000/= Samsung Galaxy m11 32Gb internal Memory. 3 Ram Triple Camera. Battery 5000mAh. Imetumika miezi miwili. Hizi simu zimeingia sokoni May 2020. Location, Kimara. Karibu PM. Shukrani.
  2. Raniyah1994

    JamiiForums Tanzania Programu ya Chombo cha Samsung haifanyi kazi

    Je! Kuna mtu yeyote hapa ametumia zana ya Samsung (toleo la Windows) kufungua vifaa vyovyote vya Samsung? Hivi majuzi nilipakua programu hii kwa kompyuta yangu. Lakini siwezi kusakinisha hii kwenye kompyuta yangu kwa sababu inahitaji nywila. Hakuna faili ya maandishi iliyoambatanishwa na faili...
  3. kidadari

    JamiiForums Tanzania Samsung "A series" ni simu zenye ubora hafifu; kuwa makini

    Kwa wale wanaotaka kubadili brand na kwenda brand maaarufu kama Samsung kuweni makini hasa kwenye Samsung A series". Ukifuatilia kwa makini utagundua kampuni ya Samsung wametoa A series kwa ajili ya wateja wanaotaka kumiliki brand ya Samsung ila bajet yao ndogo ila kiukweli Samsung A series...
  4. HiSilicon

    JamiiForums Tanzania Report: the Huawei P50 will use Kirin 9000 chips, Samsung and LG OLED displays

    With the Mate 40 flagships out of the gate, Huawei is moving its attention to the P-series – despite US sanctions disrupting its supply line, the company is on track to launch the P50 phones in the first half of 2021. This means the P-series may keep to its usual March/April launch time frame...
  5. Ryzen

    JamiiForums Tanzania Samsung S9, note 8 na A50

    Nataka tusaidiane na tupeane maarifa na ujuzi kuhusu Simu za samsung hasa hizi flagships za miaka ya nyuma kama S6, S8, Note 8 na S9 ambazo zinauzwa hapa Tanzania miaka kadhaa baada ya uzalishaji kupita! wauzaji wengi wanadai hizi simu wanazouza ni mpya.. yaani wameimport brand new phones kutoka...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kioo cha Samsung S8+

    Natafuta mtu anayeweza kuniuzia kioo cha Samsung S8+ nna 230k
  7. T

    JamiiForums Tanzania Samsung refurbished

    Samsung zilizoandikwa jina la toleo kwa nyuma ni rufurished phone? Mfano hapo juu galaxy s8+ Chief-Mkwawa Bavaria mtz one kcamp Nafaka mkorinto na wengine karibuni mtoe experience zenu kuhusu refurbished phones
  8. Mgalula MzTz

    JamiiForums Tanzania Samsung s6 ya kubadili kioo- nipe offer yako

    Nauza samsung s6 - kioo cha kubadilisha. Piga 0712 668190 unipe offer yako Mbezi kimara-Dar
  9. Kilimbatz

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza ipata samsung A 80?

    Miye ni mapenzi mkubwa wa Simu za kampuni tajwa hapo juu. Nimefanikiwa kutumia baadhi ya Simiu zake, Lakini ndoto yangu ilikuwa kumiliki samsung a80, Je, bado zipo kwenye stock na kwa sasa bei yake ni shs ngapi?
  10. MR_LAWTON

    JamiiForums Tanzania Jipatie Samsung Flat Tv Inch 32

    Jipatie Samsung flat led tv inch32 full HD..Tv ni mpya ndani ya box inakila kitu. Bei: Tsh 320,000/= Piga / SMS: 0657333769
  11. Kaka Sai

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kioo cha Samsung Galaxy S7 edge kilichotumika

    Mwenyekioo cha hii simu anicheki haraka, Kiwe used. Offer chini ya 100k. Maeneo ya Dar, Moro na Dom tunaweza kuwasaliana kwa haraka zaidi. Mawasiliano 0715175518.
  12. Almendezz

    JamiiForums Tanzania Samsung na LG kutowauzia display HUAWEI

    Tarehe ya mwisho ya Septemba 15 inaonekana inazidi kutisha kwa Huawei - laini ya usambazaji ya kampuni hiyo itapungua pamoja na kukatwa kutoka kwa supplier wa chip wa TSMC. Reuters inaripoti (ikinukuu media ya Kikorea) kwamba Samsung Display na LG Display zinatarajiwa kusitisha uuzaji kwa...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Samsung na LG wasitisha kuiuzia Huawei vioo 'screen panel displays'

    Kampuni za electroniki za Samsung na LG zimesitisha rasmi mkataba wa kuiuzia kampuni ya Huawei vioo au screen panels zinazotumika kwenye simu. Kampuni ya Samsung ndiyo muuzaji mkubwa wa vioo vya simu ama display za OLED, AMOLED na LCD zinazotumika kwenye simu nyingi Duniani. Samsung na LG...
  14. mimi mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Simu gani nzuri ya Samsung kwa bajeti yangu

    Nataka kununua Simu. Naomba ushauri toleo gani zuri la Samsung. Bajeti yangu 300,000/= ~ 400,000/=. Nazingatia zaidi good camera na muonekano. Update Niliongeza pesa kidogo nikachukua Samsung A 51, nimeipenda ni nzuri. Asanteni.
  15. reyzzap

    JamiiForums Tanzania OFFICIAL : Samsung watoa simu yenye 7000mAh muda mfupi uliopita(M51)

    Kwa mara ya kwanza Katika ulimwengu wa kampuni KUBWA na MAARUFU za Simu(Tuelewane hapo, usikimbilie ligi uje unitajie Doogee, Energizer au ulefone). Hatimaye leo mchana samsung ametoa ingizo jipya katika series yake ya 'M', series inayojuulikana kwa kutoa simu zenye battery kubwa. Hii ni...
  16. Almendezz

    JamiiForums Tanzania OnePlus, Oppo, Huawei, Samsung na Sony zote zashinda tuzo za EISA 2020-2021

    Kamati ya EISA imekagua simu janja ambazo zilizindua mwaka huu na kuzawadiwa bora zaidi kati yao - hapa ndio washindi. The OnePlus 8 Pro walipata tuzo bora ya Smartphone. Jopo la waamuzi lilifurahishwa na jinsi kifaa huchanganya muundo na cutting edge, ikionyesha display ya 120 Hz 1440p +...
  17. Bwana Fulani

    JamiiForums Tanzania Xiaomi wazindua the fastest charging phone around

    Kampuni ya electronics, XIAOMI, Imezindua simu mpya ( Xiaomi Mi 10 Ultra) yenye 4,500 mah battery inayoweza kwenda 0% to 100% charge ndani ya dakika 20 tu ikitumia official charger ya watts 120 🔥 Pia simu hiyo ina support 50 watts wireless charging ambapo itatumia 40 minutes pekee kujaa Simu...
  18. T

    JamiiForums Tanzania Samsung kupambana na TSMC kwenye utengenezaji wa 5nm na 4nm chipsets.

    Kwa ambao hatuelewi chipset, hii ndio brain ya simu. Hiki ni kifaa kinachojumuisha vifaa vyote vya simu ama vinavyofanya simu ifanye kazi kama processor (or CPU), graphics processing unit (GPU), memory controller, modem, and other controllers are built into this single chip that it the chipset...
  19. mankachara

    JamiiForums Tanzania Msaada wa samsung smart tv

    Habari wanajamii na Skukuu ya Eid njema. Nimenunua Tv ya Samsung Smart tv used, nimeunganisha internet na simu yangu na imekubali vizuri tu na simu yangu ina Gb za kutosha za kuweza kuperuzi internet. Vilevile ninapojaribu kufungua internet kwenye web browser, mwanzo inafunguka vizuri na...
  20. crusader_jr

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A50 inauzwa

    Wakuu nauza simu Aina ya samsung a50 kwa bei rafiki kabisa ya 550k Karibu PM au piga simu namba 0692377018 kwa biashara. Simu bado ni mpya imetumika ndani ya mwezi tu mmoja iko na kila kitu chake kama earphone,charger na risiti yake au kwa mwenye samsung s8 edge karibu kwa mabadilishano...
Back
Top Bottom