Okwaaa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,316
- 2,917
Simu Samsung A10s inauzwa.
1 Dual camera- 13MP +2MP dual rear camera na 8MP front camera
2 finger scan- well functioning
3 warranty- 2years but used 3 months mpaka sasa
4 Octa core processor
5 Network-4G LTE
6 32GB memory and 2GB RAM
7 BATTERY. Inavumilia sana chaji siku moja na masaa 7-10.
MENGINEYO
a/ haina tatizo lolote, haijapasuka popote wala mkwaruzo wowote
b/ Ina vifaa vyote ilivyotoka navyo kwenye box, ikiwa ni chaja yake karatasi za list pamoja karatasi za warranty
LOCATION
nipo mkoa wa Rukwa wilaya ya Nkasi kwa sasa
BEI 220,000/=. Nipo tayar kuchukua 200,000/= iwapo utanipa na kasimu kadogo hata kama ni used.
MAWASILIANO
0746866631
SABABU YA KUUZA, ugumu wa maisha bila ajira. Na lengo ni ili nipate mtaji wa kuanzia kujiajiri. Karibuni sanaa,
NB. ikiwa upo mbali basi unaweza kutumia dereva au kondakta wa basi linalofika hadi huku ili aicheki.
Mwisho. Nmeshindwa kuambatanisha picha mana sina internet bando hapa natumia free basic.
1 Dual camera- 13MP +2MP dual rear camera na 8MP front camera
2 finger scan- well functioning
3 warranty- 2years but used 3 months mpaka sasa
4 Octa core processor
5 Network-4G LTE
6 32GB memory and 2GB RAM
7 BATTERY. Inavumilia sana chaji siku moja na masaa 7-10.
MENGINEYO
a/ haina tatizo lolote, haijapasuka popote wala mkwaruzo wowote
b/ Ina vifaa vyote ilivyotoka navyo kwenye box, ikiwa ni chaja yake karatasi za list pamoja karatasi za warranty
LOCATION
nipo mkoa wa Rukwa wilaya ya Nkasi kwa sasa
BEI 220,000/=. Nipo tayar kuchukua 200,000/= iwapo utanipa na kasimu kadogo hata kama ni used.
MAWASILIANO
0746866631
SABABU YA KUUZA, ugumu wa maisha bila ajira. Na lengo ni ili nipate mtaji wa kuanzia kujiajiri. Karibuni sanaa,
NB. ikiwa upo mbali basi unaweza kutumia dereva au kondakta wa basi linalofika hadi huku ili aicheki.
Mwisho. Nmeshindwa kuambatanisha picha mana sina internet bando hapa natumia free basic.