Habari wanaforum,
Natafuta kioo cha Samsung Galaxy A20 kilichotumika na bajeti yangu ni 100,000/=.
Nipo Dar es salaam Kinondoni.
Kama atapatikani anitafute ili tuonane twende kwa fundi ili nikakifix na kuona kama kinafanya kazi ili tulipane pesa hizo.
Pesa yangu iko mfuko wa shati na hiyo...
Wakuu,
Simu yangu samsung A50, nikipiga au kupigiwa simu, baada ya dakika chache wakati naongea hukatika na kuwa kama inaji-restart hivi. Yaani siwezi kuongea zaidi ya dk. bila kukatika.
Tatizo litakuwa ni nini?
Wakuu msaada . Simu yangu samsung note 5 touch yake hairespond na hata pen yake haifanyi kazi.
Je kwa wazoefu tatizo kama hili linatokana na nini na linatatulikaje? Gharama zake inaweze kuwa kiasi gani?
- Brand New Samsung A10s
- Boxed with 2 years warrant
Specifications
Display6.20-inch (720x1520)
Processor1.5GHz octa-core
Front Camera 8MP
Rear Camera13MP + 2MP
RAM 2GB
Storage32GB
Battery Capacity4000mAh
OS Android 9 Pie
Habari ya asubuhi ndugu,
Nina tatizo na s pen kwa wanaotumia note 8. Yaan simu haidetect kama kuna s pen, uitoe au uirudishe. Na hata kuandika kwa kioo haikubari.
Msaada kwa mwenye idea.
Nauza Samsung s8 kwa bei ya kutupwa.
Wakuu habari
Kutokana na janga hili la COVID-19 ambalo limeniathiri kwa 100%.
Naiweka sokoni simu hii ambayo nimeinunua mwezi December mwaka jana mpya m/city.
Bei 450000/=
Ram 4
Storage 64.
Nipo iringa kwa sasa.
Nicheki WhatsApp +255745588735.
Nitakutumia...
Mimi ni mgeni kwenye hizi simu aina ya SAMSUNG kuna zinazoanzia na S..... zingine A.... mfano S-5 na A30 na nasikia tena kuna A7 ipi kati ya simu hizi ni Bora???
Mimi sio mtaalam sana wa mambo ya simu na computer.
Jana katika kupita pita mitandaoni nikaona mjadala wa google apps ambazo unaweza kuziweka kwenye samsung na zikafanya vizuri zaidi.
Kweli nikaweka google massages, google contacts na google phone app kwenye samsung yangu, aisee nimezipenda...
Wakuu naomba maujanja ya app au technical kuhusu hii simu yangu
Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui shida ni nn
Kwa yoyote mwenye uelewa pls msaada tafadhali
Nauza Samsung LED 40 " Television UA40H5100AR.
Hii TV nilinunua mwaka 2016 kwa laki 9 elfu 60 enzi hizo.
Nauza kwa laki 5 tu.
Ipo Mbweni JKT, Dar.
Wasiliana Whatsapp 0625536529
Samsung UA40H5100AR 40 inch LED Full HD TV Specifications
Summary
features
3D TV: No, Smart TV: No, Curved...
Habari wakuu usikeni na kichwa cha habari apo juu simu yangu samsung galaxy s7 edge tangu juzi imeanza tatizo la kutofungua camera please wajuzi tusaidiane niweze tatua ili
tatizo.
Wakuu nataka kununua simu ya Samsung.
Sasa kuna hizi A series na J series. Je, ipi ni mzuri kwa budget ya shilingi laki 6 hadi 8?
Au hata S series pia ipi nzuri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.