samia suluhu

Jamhuri ya muungano, kazi iendelee
Samia Hassan Suluhu (born 27 January 1960) is a Tanzanian CCM politician and the designated President of Tanzania, due to be sworn into office following the death of president John Magufuli on 17 March 2021. She became Tanzania's first female vice-President following the 2015 General election, after being elected on the CCM ticket along with president John Magufuli. Suluhu and Magufuli were reelected to a second term in 2020. Before her tenure as vice-president she served as the Member of Parliament for Makunduchi constituency from 2010 to 2015, and was also the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015.
Prior to this, she served as a minister in the semi-autonomous region of Zanzibar in the administration of President Amani Karume. In 2014, she was elected as the Vice Chairperson of the Constituent Assembly tasked with drafting the country's new constitution.

View More On Wikipedia.org
  1. figganigga

    Donald Trump, Samia Suluhu alikuita "WHO ARE YOU?"

    Wakuu, tumchongee Samia Suluhu kwa Trump Baba Donald Trump, Huku Tanzania kuna Mwanamke anaitwa Samia Suluhu Hassan aliikuita who are you.. Mvutie pumzi.. Kwa sasa yupo huko Tunguu Zanzibar. Siku mkimtaka ntatoa Ushirikiano.. Yaani mtamkamata kama kuku wa Kisasa.. Naye anatakiwa apokee unyakuo...
  2. figganigga

    Pendekezo: Siku Samia Suluhu akifa, tufute Majina yake kwenye Miradi yote ya Serikali

    Kwa yaliyotokea 29 Oktoba 2025, ni laana kwa Nchi. Jina lake libaki kwenye Misikiti alojenga pekee. Kwenye Utawala wake aliruhusu Watanzania kuuana wao kwa wao ili yeye asalie madarakani.. Katiba akaiita kijitabu.. Kijitabu akakitumia kuapa asalie madarakani bila ya kuchaguliwa na yoyote...
  3. Luca Paguro

    Nilimpenda sana Samia alipoingia madarakani

    Kiukweli Magufuli alipofariki niliumia sana, lakini pia nilifurahi kuona Tanzania inapata Rais mpya wa kike. Nilikuwa niko curious kujua uongozi wake utakuwaje na nilikuwa na matarajio makubwa sana juu yake Kwa kuwa Magufuli alikuwa anapenda sana kuanzisha megaprojects nyingi za kutatua matatizo...
  4. figganigga

    Samia Suluhu utatuambia nini Watanganyika? Huna

    Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu? Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya Kagera. Samia anataka kumhutubia nani? Ili iweje? Salaam za Mwaka mpya ambao Waislam hawauttambui...
  5. funaku

    Hongera kwa Rais Samia katika kuitekekeza sera ya kutofungamana na Taifa lolote

    Tanzania ilijitanabaisha hapo awali na kipindi cha muasisi wetu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwamba tutakuwa ni nchi isiyofungamana na upande wowote yaani NON ALINGNMENT MOVEMENT. Mwalimu Nyerere na washauri wake wa kipindi hiko aliona mbali na Mungu ambariki na hatimaye...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    Mbinu ya Kunyamaza kwa Samia Suluhu kumepunguza kwa sehemu kubwa hekaheka mtandaoni

    Hamjambo! 1. Kama mnakumbuka vizuri. Baada ya MO29 moja ya mbinu nilizoandika zitakazoshusha hasira za watu ni pamoja na Samia Suluhu kutozungumza zungumza mara kwa mara kwenye luninga. 2. Mbinu hiyo inafanya kazi haswa tena ni mbinu kamilifu hasa ukiwa upo upper hand. Lakini ukiwa lower hand...
  7. The Palm Beach

    Evarist Chahali: Good News, vita ya Samia na Dr. Nchimbi inaelekea kileleni

    https://youtu.be/endgC8fyOjA?si=IF8MCBwCTo2a76m- • Huko ndani ya CCM na ndani ya serikali hakuko shwari.... • Si tu Dr Nchimbi na Boss wake, ni kila makubwa, hakuna kuaminiana na kila movement na communication za kila kiongozi ziko highly monitored... • Kilichowashitua hawa monitors, ni kujua...
  8. T

    Nimeota Samia Suluhu Hassani analazimisha watu walale

    Ndugu wana jamvi, hii ndoto sijui ina maana gani! Nimeota eti watu wengi tuko darasani pamoja na huyo raisi fake. Na alikuwa anawalazimisha wote waliokuwa naye darasani walale usingizi na yeye akalala usingizi mzito sana. Lakini mimi nikakataa nikatoloka kwa siri. Hii ndoto inaweza kuwa na...
  9. M

    Boxing day iende kwa Rais Samia Suluhu

    Boxing day leo siku ya zawadi sisi wakristo wakatoliki wa huku Kilimanjaro tuna idedicate kwa gamer changer,kipenzi cha waTanzania,mpenda haki na mbeba maono kwa waTanzania Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutupambania sisi waTanzania hadi tone la mwisho ili kuifanya Tanzania kuwa big country in the...
  10. Ponjoro wa Kinondoni

    Wewe Samia Suluhu Hassan unajua alipo Mteule wako Humphrey Polepole?

    Nakuagiza ututangazie alipo kama tulivyo tangaziwa alivyo teuliwa. Hii ni amri sio ombi.
  11. The Palm Beach

    Tetesi: Inadaiwa Tundu Lissu ametolewa kinyemela Gereza la Ukonga kukutana na ujumbe wa Rais Samia, akataa masharti yao

    https://youtu.be/r7Q3c52fIOw?si=vKArWlvV0I3OjLJa Huyu mama na watu wake are so pathetic na wana mioyo migumu kama mawe.... Hawataki kuwajibika kwa makosa yao yaliyosababishwa na ujinga na upumbavu wao wenyewe na badala yake wanatafuta mahali na watu wa kuwatwisha gunia la hatia na uovu wao...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Ni kweli "Katiba ni kijitabu tuu" katiba ya kweli ni mimi na wewe kubadilika kuwa waadilifu. Hiyo ndio katiba mpya

    Ni kweli "KATIBA NI KIJITABU TUU" KATIBA YA KWELI NI MIMI NA WEWE KUBADILIKA KUWA WAADILIFU. HIYO NDIO KATIBA MPYA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kisheria Katiba ni zaidi ya kitabu. Hii ni kweli. 2. Lakini Kifalsafa Katiba ni kijitabu tuu. Haina tofauti na Biblia au Quran. Kwamba ni...
  13. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Humu jukwaa kuna tuhuma ambazo Samia Suluhu anatupiwa ya kwamba ni mdini na amejaza waislamu katika wateule wake sasa najiuliza udini wa Samia uko wapi? Au udini wa Samia anaufanyia wapi? Mbona nikiangalia kati wateule wake kati ya wakristo na Waislamu naona wakristo ni wengi sana kwa maana...
  14. Tlaatlaah

    Huenda Samia Suluhu Hassan ndie Rais mstahimilivu, shupavu na msikivu zaidi Afrika

    Lakini pia, huenda Dr.Samia Suluhu Hassan, ndie rais mwanamke madhubuti zaidi duniani kwa sasa. Hayumbishwi wala kutetereshwa na porojo au mashinikizo ya mamluki na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi. Daima yuko imara kwenye nafasi yake ya uongozi na aliejizatiti zaidi katika kazi ya...
  15. L

    PICHA: Huyu Ndio Tumaini na Mzalendo Namba Moja Aliyebakia Hapa Afrika ambaye hata mabeberu wanamuogopa

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa sasa Huyu Ndiye Mzalendo nambari Moja Aliyebakia Hapa Barani Afrika. Ndiye Tumaini kuu la watanzania na wa Afrika wote. Ndiyo sauti na nguvu ya watanzania na Afrika kwa Ujumla wake. Ndiye nuru na Mwanga wa watanzania na waafrika kwa ujumla wake. Ndiye anayeweza...
  16. H

    Message from António Guterres, Secretary-General of the United Nations to President Samia

    Message from H.E. António Guterres, Secretary-General of the United Nations, to H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, today, 14 December 2025, upon receiving a Special Envoy from Tanzania. “Tanzania has been a reference point for peace and social cohesion...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Hotuba ya mwisho ya mwanaharakati aliyetekwa mbele ya watekaji. Dunia husau haraka

    HOTUBA YA MWISHO YA MWANAHARAKATI ALIYETEKWA MBELE YA WATEKAJI; DUNIA HUSAHAU HARAKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kabla sijasimulia haya yote mimi Mtibeli nikakumbuka wakati Fulani nilipokuwa Msanii wa muziki. Najua utajiuliza ni lini TaikonMaster aliwahi kuwa mwanamuziki. Lakini...
  18. Kimbesa11

    Samia ni Rais pekee Afrika anayeukataa ukoloni mambo Leo (neo-colonialism) waziwazi

    Husika na mada tajwa hapo juu. Tanzania imebahatika kuwa na Rais ambaye anaweza kuitetea na Kuilinda Tanzania dhidi ya manyanyaso ya mabeberu. ameionyesha Dunia kuwa Tanzania inaweza kusimama bila wao, huo ndo uongozi ambao Africa inahitaji kwa Sasa. ameyakataa mashinikizo ya kimagharibi...
  19. Pakome

    Inawezekana baadhi ya Wananchi wamekuwa wakifanya mzaha na mamlaka ya rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu, wanapodhibitiwa wanaanzisha malalamiko

    Ninaamini kuwa wapo baadhi ya Watanzania wamekuwa wakifanya mzaha na mamlaka ya raisi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh Dkt Samia tangu alipoingia madarakani, walipoanza kudhibitiwa wakaanzisha malalamiko kwa mgongo wa kuonewa Mzaha wa kwanza ni pale raisi wa Tanzania alipoitwa mama badala...
  20. Kitimoto

    Serikali ya Tanzania Ya Rais Samia Suluhu Haitaki Tarehe 09.12.2025 Watanzania Kusherekea Siku ya Uhuru wa Tanganyika

    Tanzania, kama taifa moja lenye umoja, limejengwa kwa misingi ya historia ndefu na changamoto mbalimbali. Hata hivyo, miongoni mwa matukio muhimu katika historia ya taifa hili ni siku ya uhuru wa Tanganyika, ambayo ilitokea tarehe 09 Desemba 1961. Hii ni siku muhimu ambayo inawakumbusha...
Back
Top Bottom