samia suluhu hassan

Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Ponjoro wa Kinondoni

    Mimi Ponjoro wa Kinondoni October Sitamuunga mkono Samia Suluhu Hassan. Namwomba Apumzike kama Philip Mpango na Majaliwa Majaliwa

    Kwanza napenda kuwajulisha kuwa mimi nampenda sana mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan hivyo maoni yangu hayahusiani na chuki bali mapenzi ya kweli kwake. 1. Sikuridhishwa na mkataba wa DP World, itoshe tu kusema ule ni UTAPELI na lazima kila aliyehusika awajibishwe ili kuwa fundisho kwa...
  2. S

    GE2025 Rais Samia amekumbana na mitihani mizito katika uongozi wake lakini ameishinda yote, Oktoba tunatiki mwanzo-mwisho

    Serikali unayoongoza mheshimiwa Rais ndio serikali iliyokutana na mikikimikiki mingi kuliko pengine serikali zote zilizopita lakini umeshinda vita hizi. Changamoto hizo ni ifuatavyo. 1. Dini kutaka kutumika kudhoofisha utawala wako mfano kauli za father kitima ni dhahiri chuki tu wala sio...
  3. Waufukweni

    GE2025 Rais Samia apata mpinzani mwingine: Rose Kahoji wa CUF atangaza nia ya kugombea Urais

    Mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Rose Kahoji amekuwa mwanamke wa tatu nchini kutangaza nia ya kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
  4. Waufukweni

    Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

    Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.
  5. J

    Rais Samia azindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Dodoma Julai 17, 2025

    Usiondoke JF Rais Samia Suluhu Hassan leo anazindua rasmi Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 hafla itakayofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma. Uzinduzi huo utafanyika wakati wa Mkutano wa Tatu wa Taifa wa Dira, na unatajwa kuwa ni tukio kubwa la kihistoria, likiwa ni mara ya...
  6. 1Africa54

    Safari ya Samia Suluhu Hassan: Mwanamke wa Kawaida Aliyeandika Historia ya Taifa

    Samia Suluhu Hassan alizaliwa tarehe 27 Januari 1960 katika kijiji cha Makunduchi, kilichopo Zanzibar. Alizaliwa katika familia ya walimu, baba yake akiwa mwalimu wa shule na mama yake mama wa nyumbani. Alikulia katika mazingira ya kawaida, akipitia changamoto za maisha ya visiwani kabla ya...
  7. Waufukweni

    GE2025 Rais Samia achangia Tsh. Milioni 50 ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Nyalikungu Maswa

    Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Tsh. Milioni 50 kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Nyalikungu wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu. Akiwasilisha mchango kwa niaba ya Rais Samia, wilayani Maswa, jana, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira alisema Dkt. Samia anatambua...
  8. Ojuolegbha

    Ikulu WikiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais Samia

    #IkuluWikiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii tarehe 7 - 13 Julai, 2025.
  9. P

    "Mmeagiza Tujiajiri — Lakini Mnatumaliza"

    #JusticeForPeachyVillage #SamiaTusikie #TanzaniaYaHaki #StopCorporateImpunity #Uchaguzi2025 #TunakufaKimya Mama Samia Suluhu Hassan — Mmehimiza Watanzania tujiajiri. Tujitume. Tuvumilie. Sisi Peachy Village Company Ltd — tulitii. Tukaamini. Tukawekeza kila kitu tulichokuwa nacho. Benki ya CRDB...
  10. Ponjoro wa Kinondoni

    Bonge la Ngoma: Nikki Mbishi Fit Mama. Sikiliza mwenyewe hapa

    https://youtu.be/WDTZHBAdsv4?si=NlySPzTCFWaIXiUd
  11. G Jonathan Kamenge

    Kwani RC Chalamila ana mashaka na uwezo wa Rais Samia kuongoza mabadiliko!!?

    Mnisamehe lakini sasa budi niulize maswali yangu kadhaa, nipate mantiki na uelewa na nipate majibu ya kimantiki ya Mkuu wa Mkoa wa Daresalaam. Kwanza braza Chalamila anisaidie kuelewa ni Watanzania wangapi wanaishi "Ikulu" , Boma, Ushuani na ni wangapi wanaishi "Kitaa" na ikiwa anajua kwamba...
  12. Zanzibar-ASP

    GE2025 DOKEZO Responded Nani anaratibu au kusajili haya magari yenye plate number mfanano zenye maandishi ya SSH? Tunajua athari zake?

    Kuna kitu cha ajabu kidogo kinaendelea hapa Tanzania kuhusu magari yenye plate number zenye maandishi ya SSH zikifuatiwa na namba za 25 30, 2025 30, nk Nimewahi kudadisi na kuchunguza kupitia afisa wa TRA, Trafiki wa barabarani na wamiliki wa hayo magari, na haya ndio niliyogundua. Afisa wa...
  13. J

    Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alivyopokelewa na gwaride la jeshi la Umoja wa visiwa vya Comoro

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bergamo Moroni leo tarehe 06 Julai 2025. Rais Dkt. Samia yupo katika Umoja wa Visiwa vya Comoro kwa Ziara ya kikazi ya...
  14. Waufukweni

    VIDEO: Boniface Mwamposa akimuombea baraka Rais Samia

    Mtume Boniface Mwamposa akimuombea Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa Ufunguzi wa Kanisa Jipya la Arise and Shine la Mtume huyo.
  15. Waufukweni

    GE2025 Nabii Dkt. Mwantyala: Rais Samia umefanya Kazi kubwa ajabu, utadhani Mungu alikuagizia Malaika wa kukusaidia

    Rais wa Umoja wa Mitume na Manabii Tanzania, Nabii Dkt. Joshua Aram Mwantyala, amesema Rais Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa ya ajabu, kiasi cha kumfananisha na mtu aliyepewa msaada wa Malaika na Mungu katika kutekeleza majukumu yake. Amesema Rais amewekeza fedha nyingi za kutisha kwenye...
  16. and 998 others

    Majaliwa aliokua kuitamka "Dakta" Samia Suluhu Hassan

    Mwamba aliipatia Sana kila mara akiongea lazima achomekee Dakta Mama yetu. ila ndo vile kapigwa pin
  17. Waufukweni

    GE2025 Maggid Mjengwa: CCM ya Rais Samia haina kashfa

    Maggid Mjengwa, Mchambuzi wa Masuala ya Siasa akizunguza Clouds TV "CCM na Mwenyekiti wao chini ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan hatusikii sana masuala yenye kuhusiana na kashfa na hatusikii sana masuala ya ufisadi. Alisema hatakuwa na Mswalie Mtume na wale ambao wanachukua pesa za...
  18. Waufukweni

    GE2025 Vyama vya siasa ACT Wazalendo, CHAUMMA, na wengine mnaoshiriki Uchaguzi, mmesikia kauli ya Rais Samia?

    Wakuu Vyama vya siasa ACT Wazalendo, CHAUMMA, na wengine ambao mnashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mmesikia kauli ya Rais Samia? Rais Samia wakati wa kuhitimisha shughuli za bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ijumaa Juni 27, 2025 alihimiza Vyama vyote vya Siasa nchini kutoa fursa...
  19. NALIA NGWENA

    Barua ya wazi kwa rais Samia kuhusu ushauri katika ufanisi wa ofisi za umma na maadili ya watumishi wa umma

    YAH: OMBI NA USHAURI KUHUSU UFANISI WA OFISI ZA UMMA NA MAADILI YA WATUMISHI WA UMMA Mheshimiwa Rais, Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, nachukua nafasi hii kukuandikia barua ya wazi nikionesha hisia zangu na hisia za wananchi wenzangu, hasa wa hali ya chini, kuhusu baadhi ya changamoto ambazo...
  20. Waufukweni

    Rais Samia mpaka sasa hajaonekana Bungeni ili alivunje Bunge la 12, kuna nini?

    Rais Samia mpaka sasa hajaonekana Bungeni ili alivunje, kuna nini? Awali tuliambiwa ataingia Ukumbini saa Tisa lakini mpaka sasa saa Kumi na dakika 23 bado hajatoke na hakuna taarifa yoyote. Hapa Spika Tulia akitoa ufafanuzi wa utaratibu wa Bunge wakati Rais na wageni wakiingia Bungeni, na...
Back
Top Bottom