samia suluhu hassan

Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. toto2000

    GE2025 Dkt. Samia Suluhu Hassan kututembelea Chamwino leo

    Tunamshukuru sana Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kututembelea Chamwino leo tarehe 31 Agosti 2025, na kutupa matumaini pamoja na dira ya maendeleo. Tunaendelea kukuuombea kwa Mwenyezi Mungu afya njema, hekima na nguvu katika safari yako ya uchaguzi 2025-2030 Tanzania. Umoja na Maendeleo
  2. Waufukweni

    GE2025 Dkt. Samia: Nipeni tena urais, migogoro ya ardhi itakoma

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendeleza programu ya "Tutunzane" ili kukomesha migogoro ya ardhi kati ya wafugaji na wakulima, endapo atachaguliwa kuwa Rais kwa awamu nyingine. Akizungumza na wananchi wa...
  3. Waufukweni

    GE2025 Samia: Tunataka Tanzania ijitegemee Kiuchumi bila kutegemea mikopo mikubwa kutoka nje

    Mgombea Urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kampeni za Uchaguzi Mkuu katika eneo la Dakawa, Mvomelo, Mkoa wa Morogoro leo, tarehe 30 Agosti 2025, amesema lengo la Serikali ni kuona Tanzania ikijitegemea kiuchumi kufikia mwaka 2050, bila kutegemea mikopo mikubwa kutoka nje...
  4. Waufukweni

    GE2025 Prof. Kabudi: Dkt. Samia amejaliwa maono makubwa

    Prof. Palamagamba Kabudi, Mgombea Ubunge Jimbo la Kilosa akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Morogoro leo Agosti 29, 2025
  5. Waufukweni

    GE2025 Samia awaomba Viongozi wa Kimila kukisaidia Chama kishinde kwa kishindo uchaguzi Oktoba 2025

    Wakuu! Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan yuko mkoani Morogoro akiendeleza kampeni zake ambapo jana Agosti 28, 2025 zilizinduliwa rasmi Kawe, jiji Dar es Salaam ambapo akiwa huko amesema, "Niwaombe viongozi hatuna sababu ya kuto kutoka kwenda kwa Wananchi...
  6. Getrude Mollel

    GE2025 Hizi ndio sababu kwanini watu wa Morogoro haina sababu za kumnyima kura Samia Suluhu

    Muda mfupi baada ya Rais Samia Suluhu kuingia madarakani 2021, alifanya ziara ndogo mkoani Morogoro, na akaongea na watu pale Msamvu tarehe 7-04-2021. Pale Rais Samia Suluhu aliwatoa watu wa Morogoro hofu na kuwaambia ya kwamba, mambo mengi mazuri yanakuja kwenye mkoa huo, ajira, mikopo...
  7. fimboyaukwaju

    Nani ni Meneja wa kampeni ya Samia Suluhu Hassan

    Ni nani,bado sijamfahamu
  8. Waufukweni

    GE2025 Samia: Kuna jamaa zetu wametia mpira kwapani

    Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi waliohudhuria katika Mkutano wa Kampeni, Kata ya Ngerengere, Mkoa wa Morogoro, leo tarehe 29 Agosti 2025 amesema, "Kule ninakotoka mimi Zanzibar kuna timu ambayo, wakiona wanaenda kufungwa na ushindi...
  9. Waufukweni

    GE2025 Dkt. Samia: CCM imetoa usafiri kwa Maafisa Kata kuwasaidia kuhakikisha wote ambao hawajapiga Kura kuwanasogeza kwenye vituo vya Kura

    Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi waliohudhuria katika Mkutano wa Kampeni, Kata ya Ngerengere, Mkoa wa Morogoro, leo tarehe 29 Agosti 2025 amesema, "Huku ndiko ziliko Kura za Chama cha Mapinduzi, CCM tumetoa vitendea kazi na usafiri...
  10. P

    GE2025 Serikali kugharamia magonjwa yasiyoambukizwa kwa watu wasio na uwezo

    🔹 Magonjwa yenye gharama kubwa mara nyingi ni kama vile: Saratani (cancer) Magonjwa ya moyo Upandikizaji wa figo na matatizo ya figo Upasuaji mkubwa Magonjwa ya kurithi na yasiyoambukiza ambayo yanahitaji tiba ya muda mrefu 🔹 Umuhimu wake kwa jamii: 1. Kupunguza vifo – wagonjwa wengi...
  11. Waufukweni

    GE2025 CNBC Africa: Rais Samia apitishwa Kugombea Uchaguzi wa Oktoba, Wapinzani Wakuu wazuiwa

    Wakuu! CNBC Africa wameandika kuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewazuia wagombea wa Vyama vikubwa vya upinzani kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, hatua inayomwacha Rais Samia Suluhu Hassan wa CCM akikabiliana na wagombea kutoka vyama vidogo pekee. == Tanzania’s...
  12. Waufukweni

    GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete akizungumza kwenye uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho amesema, "Najua kulikuwa na maneno eti utaratibu umekiukwa na mimi nililaumiwa kwa jinsi nilivyosema kwenye Mkutano Mkuu, lakini waliokuwa wanasema hayo ama hawafahamu utaratibu...
  13. Getrude Mollel

    GE2025 CCM ni Baba wa siasa za kimkakati Afrika

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni urithi wa kihistoria na kisiasa wa Tanzania, lakini pia ni somo la uthabiti barani Afrika. Kimekuwa chama pekee cha ukombozi ambacho hadi leo bado kinaendelea kushika hatamu za uongozi kwa amani na utulivu. Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umeleta upeo mpya wa...
  14. Rashda Zunde

    GE2025 Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu Hassan arejesha fomu

    Tumekamilisha taratibu za uteuzi, sasa tupo tayari kwa kampeni.Safari inaanzia Kawe, Dar es Saalam kesho. Usisubiri kuhadithiwa. #OktobaTunatikiSamia
  15. Mkalukungone Mwamba

    Polepole: Rais Samia nakuheshimu bali sikuogopi

    Polepole: Rais Samia nakuheshimu bali sikuogopi na nitakwambia ukweli, ndio maana nilipojiuzulu nilisema wacha kwanza mama asitumie pesa yake anayowasimamia Watanzania kunilipa mimi wakati ni namkosa wakati nina muheshimu nikajiuzulu
  16. Waufukweni

    GE2025 TLS yaomba kukutana na Rais Samia

    Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kimeomba kikutana na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa dharura ili kuweza kuwasilisha kwake naoni ya wadau mbalimbali juu ya changamoto ambazo zinapaswa kutatuliwa kabla ya uchaguzi ili kuliwezesha taifa kuingia kwenye uchaguzi likiwa na amani na haki iweze...
  17. Waufukweni

    GE2025 Mpina: Sijashiriki kumpitisha Rais Samia kwenye mkutano mkuu wa CCM

    Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amejibu kuhusu kumpitisha Rais Samia kwenye mkutano mkuu wa CCM
  18. Roving Journalist

    GE2025 Mpina: Samia aliposema mimi ni Mbunge wa Taifa, alimaanisha nitakuwa Rais

    Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, leo Agosti 14 jijini Dares Salaam, mgombea urais wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema Rais Samia Suluhu Hassan aliposema kuwa yeye anafaa kuwa Mbunge wa Taifa, alimaanisha kwamna yeye atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Rais Samia alitoa taarifa...
  19. S

    GE2025 Kama Bado Una Mpango wa Kumshinda Dkt Samia Suluhu Hassan, mwanamama wa shoka, basi wewe umepungukiwa akili

    Harambee ya usiku huu ni ishara tosha kuwa CCM ni chama kikubwa cha siasa na hakina utani wakati wa kukamata dola utakapofika. CCM ni chama dume, dume lenyewe la mbegu hasa. Usiku Mwema Wahaini Wote.
  20. J

    RC Mara Kanali Evans Alfred Mtambi: Tume pokea jumla ya TZS435.1bn kwaajili ya Miradi ya umeme ndani ya miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan

    == Mkuu wa mkoa wa Mara akiongea mbele ya wanahabari alisema kuwa Mkoa wa Mara umeunganishwa kwenye Gridi ya Taifa kupitia vituo vya Nyamongo, Musoma, Bunda na Kibara. Hadi kufikia Machi 2025, Mkoa una jumla ya wateja 142,277 na mtandao wa njia za kusambazia umeme wa msongo wa 33kV wenye urefu...
Back
Top Bottom