Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,126
Reaction score
17,424
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.

Screenshot 2025-07-17 153246.png

 
Yuda wa zamani baada ya kumsaliti Yesu alienda akijuta hadi akaenda kujinyonga japo alirudisha vile vipande vya fedha... Huyu wa sasa ndio kwanza anatafuta nafasi walau apate rungu la kumsulubisha Lisu
 
Back
Top Bottom