samia suluhu hassan

Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    GE2025 Maggid Mjengwa: CCM ya Rais Samia haina kashfa

    Maggid Mjengwa, Mchambuzi wa Masuala ya Siasa akizunguza Clouds TV "CCM na Mwenyekiti wao chini ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan hatusikii sana masuala yenye kuhusiana na kashfa na hatusikii sana masuala ya ufisadi. Alisema hatakuwa na Mswalie Mtume na wale ambao wanachukua pesa za...
  2. Waufukweni

    GE2025 Vyama vya siasa ACT Wazalendo, CHAUMMA, na wengine mnaoshiriki Uchaguzi, mmesikia kauli ya Rais Samia?

    Wakuu Vyama vya siasa ACT Wazalendo, CHAUMMA, na wengine ambao mnashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mmesikia kauli ya Rais Samia? Rais Samia wakati wa kuhitimisha shughuli za bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ijumaa Juni 27, 2025 alihimiza Vyama vyote vya Siasa nchini kutoa fursa...
  3. NALIA NGWENA

    Barua ya wazi kwa rais Samia kuhusu ushauri katika ufanisi wa ofisi za umma na maadili ya watumishi wa umma

    YAH: OMBI NA USHAURI KUHUSU UFANISI WA OFISI ZA UMMA NA MAADILI YA WATUMISHI WA UMMA Mheshimiwa Rais, Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, nachukua nafasi hii kukuandikia barua ya wazi nikionesha hisia zangu na hisia za wananchi wenzangu, hasa wa hali ya chini, kuhusu baadhi ya changamoto ambazo...
  4. Waufukweni

    Rais Samia mpaka sasa hajaonekana Bungeni ili alivunje Bunge la 12, kuna nini?

    Rais Samia mpaka sasa hajaonekana Bungeni ili alivunje, kuna nini? Awali tuliambiwa ataingia Ukumbini saa Tisa lakini mpaka sasa saa Kumi na dakika 23 bado hajatoke na hakuna taarifa yoyote. Hapa Spika Tulia akitoa ufafanuzi wa utaratibu wa Bunge wakati Rais na wageni wakiingia Bungeni, na...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Mbunge Sophia Mwakagenda atangaza kuhamia CCM baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 12, Asema yupo tayari kuungana na Rais Samia

    Mbunge wa Viti Maalumu, Sophia Mwakagenda amesema kuwa baada ya Rais Samia kulihutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atajiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi (CCM) kama atapata ridhaa. Soma zaidi: Mbunge Sophia Mwakagenda aitema CHADEMA, Ajiunga rasmi...
  6. Ojuolegbha

    Ikulu Wiki Hii:Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia katika wiki

    #IkuluWikiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii 📆 16 - 22 Juni, 2025.
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Janeth Rithe: Wanawake msimchague tena Rais Samia, haoni dira mbele yake

    Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa kupitia chama cha ACT Wazalendo, Janeth Rithe, ametaka Wanawake nchini kutomchagua tena Rais Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi ujao, akidai kuwa kiongozi huyo mkimuangalia "amechanganyikiwa". Pia, Soma: Polisi wafika Ofisi za ACT Wazalendo kumkamata...
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Naibu Spika, Zungu aaga Bungeni, ataka Wabunge kuheshimu Wananchi na kutumia Kazi za Rais Samia kama Silaha ya Uchaguzi

    Naibu Spika na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Zungu, amewaaga wabunge na watumishi wa Bunge leo Ijumaa, Juni 20, 2025, akiwahimiza kuwa na ushupavu na kuzingatia mambo matano muhimu yatakayowarejesha katika Bunge la 13. Zungu amewatakia heri Wabunge wote kuelekea kuhitimishwa kwa Bunge la 12...
  9. Waufukweni

    PreGE2025 Steve Nyerere: Kusimama mbele ya Rais na kusema kuwa unamdai sio 'Heshima'

    Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao alikuwa na haya baada ya Mpina kutoendekeza Uchawa kwa Rais "Mh Rais Samia Suluhu Hassan hongera sana kwa Ziara Meatu, Haiwezekani kila mtu Akaona Anaweza kusema chochote kwenye Nyakati zote, Watu wanasahau Uongozi ni busara hekima na...
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Tazama Luhaga Mpina akiondoka Uwanjani, Meatu baada ya mkutano wa Rais Samia

    Mbunge wa jimbo la Kisesa, Mkoani Simiyu, Luhaga Mpina akiondoka uwanja maarufu kama stendi ya Mabasi Meatu, baada yakumalizika kwa mkutano wa Rais Samia na wananchi. Pia, Soma: Rais Samia amchana Mpina: Mbunge wa Kisesa ni kuruka ruka kwamba Kisesa tunakudai, Kisesa iko kama mwanamke aliyesuka...
  11. Roving Journalist

    PreGE2025 Rais Samia: Tumepoteza Vijana wetu wanne waliokuwa wanakuja kwenye mkutano wetu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Vijana wao wanne wamepoteza maisha wakati wakiwa njiani kuelekea katika mkutano ambao ameufanya leo, Juni 17, 2025. Kabla ya kutoa pole hizo, Rais alitembelea majeruhi wa ajali ya gari waliolazwa katika Hospitali ya...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 Rais Samia amchana Mpina: Mbunge wa Kisesa ni kuruka ruka kwamba Kisesa tunakudai, Kisesa iko kama mwanamke aliyesuka Nywele

    Rais Samia amemcha Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akihutubia Mkutano wa Hadhara Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu, leo tarehe 17 Juni, 2025 akisema kuwa; "Mbunge wa Kisesa ni kuruka ruka kwamba Kisesa tunakudai, amenishangaza kwa kusema Kisesa iko kama mwanamke aliyesuka Nywele"
  13. Waufukweni

    Barua ya kuomba Magari kwa ajili ya kusafirisha Wananchi kwenda Mwanza kwenye ziara ya Rais Samia

    Wakuu! CCM wanatafuta nyomi la kutengeneza huko, == Halmashauri ya Manispaa ya Geita imeandika barua kwa Wakuu wa Shule Binafsi, Msingi na Sekondari katika Manispaa hiyo, ikiomba magari kwa ajili ya kusafirisha wananchi kwenda Mwanza kushiriki katika ujio wa Rais Samia katika hafla ya...
  14. DuaZaMama

    Makongoro Nyerere: Nisengekuwa hapa bila Rais Samia

    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Makongoro Nyerere Makongoro Nyerere amewataka wananchi kushiriki katika uchaguzi Mkuu ujao akisisitiza umuhimu wa maandalizi bora kuelekea uchaguzi ujao. Akizungumza katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na uongozi wa Mkoa, Makongoro amewataka wakazi wa Rukwa kuhakikisha...
  15. Waufukweni

    Rais Samia: Lazima tukusanye Pesa zetu za ndani huko nje masharti yamekuwa yakiongezeka

    Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa ulipaji kodi kwa maendeleo ya nchi, akiwahimiza wafanyabiashara na wananchi kutambua kuwa kodi ndio msingi wa uendeshaji wa Taifa. "Ndugu zangu wafanyabiashara, lazima tulipe kodi. Hamna nchi inayoendeshwa bila kodi. Hata hao wanaotusaidia, pesa...
  16. DuaZaMama

    Rais Samia: Hatua yoyote tunayoichukua kama Serikali ni kwa faida ya wananchi

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema kila hatua inayochukuliwa na Serikali inalenga kuinua maisha ya wananchi na kukuza uchumi wa Taifa. “Ndugu zangu wa Simiyu, kazi yetu kama Serikali ni kushika zao moja baada ya jingine na kulipandisha. Tayari tumeanza na mazao kadhaa. Sasa tunaenda kwenye...
  17. Waufukweni

    Rais Samia: Tunapata miradi kutokana na kuwepo kwa Hali nzuri ya usalama, utulivu na Sera bora

    Rais Samia akiwa kwenye ziara ya Kikazi Mkoani Dodoma amesema Tanzania imeweza kuvutia mitaji kutoka kwa wabia muhimu kama Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), kutokana na 'Utulivu na Amani, Sera nzuri za Kiuchumi, Usimamizi dhabiti wa Miradi' mbalimbali ya maendeleo na kujituma kwa Watanzania...
  18. DuaZaMama

    Kampeni ya 'Mama Samia Legal Aid' yaifikia Dar, kuzinduliwa na Waziri mkuu Majaliwa

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni ya utoaji wa msaada wa kisheria bila malipo kwa wakazi wa Dar es Salaam, ijulikanayo kama “Mama Samia Legal Aid”. Kampeni hiyo itazinduliwa rasmi Juni 16, 2025 katika...
  19. Waufukweni

    Rais Samia apokea gawio nono la TSh. Tril 1.28, ongezeko la 68% kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma

    Leo, Juni 10, 2025, Rais Samia amepokea gawio nono la Shilingi Trilioni 1.28, michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma, ikiwa ni ongezeko la asilimia 68. Hafla hiyo imefanyika Ikulu, Dar es Salaam. "Mbele yako leo hii Mhe. Rais ninayofuraha ya kukukabidhi Gawio ambalo ni nono kuliko la...
  20. R

    PreGE2025 Kala Jeremiah: Kelele zinazoendelea zimepata mwanya wa kumuonea Rais huyu kwa kuwa ni mama

    Wakuu Kwa hiyo huyu Kala Jeremiah anaamini kuwa hizi No Reforms No Election zimekuwa nyingi kwa sababu Rais Samia ni mwanamke na ni mama? Angalieni jinsi ya kumtetea Rais. Kauli kama hizi sio za kumsaidia Rais bali zinamuharibia yeye na taasisi yake ============= Anaandika Kala Jeremiah...
Back
Top Bottom