salary

  1. Daniel Aloyce Daniel

    JamiiForums Tanzania Jamani eti TRCS salary scale 3 ni shilingi ngapi kwa ngazi ya degree na diploma?

    Natamani kujia hizi salary scale wanazo calculate vipi na ni kiasi Gani?
  2. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Je salary slip portal imedukuliwa?

    Kila nikiingia nakutana na huu ujumbe!! Vipi tayar hacker wamefanya Yao ama
  3. M

    JamiiForums Tanzania vipi huko desemba salary ?

    Vipi mambo bado huko? mlioko jikoni mtujuze.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Nyongeza ya mshahara 8567 makato ya Benki 9500 ama kweli wadanganyika mmepigwa

    Hivi kweli maisha ya huko Bongo yalivyo tait unamuongezea mshahara mtumishi Tsh 8567 then bank wanakula makato ya Tsh 9500 kweli jamani, mtafika mbinguni mmechoka sana ndugu zangu
  5. Chief Ortambo Ikumenye

    JamiiForums Tanzania PRSS 1 Salary scale ni pesa ngapi?

    Nisaidieni wakuu.. kuna kazi za serikalini nimeziona nataka kujitosa ila sasa scale ya mshahara ni PRSS 1.. Sasa nataka kufahamu hiyo ni pesa ngapi.. Je itatosha kufanya maisha na kuhonga?
  6. kyagata

    JamiiForums Tanzania Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

    Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote. Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
  7. stephot

    JamiiForums Tanzania Kuna shida gani CRDB salary advance

    Nimeingia kwenye simbanking app nikiangalia kwenye menu sioni icon ya salary advance,imetolewa au kuna marekebisho wamefanya...?
  8. Nyuki Mdogo

    JamiiForums Tanzania Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

    Basic salary: 940,000 ...... Michango/makato yake Chakuhawata contribution 5000 PSSSF 47,000 PAYE 94,200 Nmb bank loan 42,870,300 (451,266) NHIF fund employees 28,200 ...... NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
  9. N

    JamiiForums Tanzania "What is your salary expectation?"ni moja ya swali ninalolichukia toka kwa mwajiri

    Moja kati ya swali ninalolichukia toka kwa mwajiri ni "What is your salary expectation ?" Huwa najiuliza kwanini mwajiri aniulize hivi wakati tayari ana scale yake kashaiandaa kwa position husika Ni ngumu sana kumshawishi mwajiri aliepanga kukulipa 1,000,000 basic salary kisha akulipe...
  10. Yellescabar

    JamiiForums Tanzania TRC salary scale

    Wadau habari, nilikuwa napenda kufahamu kuhusu trc salary scale kwa ngazi ya diploma inakuwa vipi
  11. 44mg44

    JamiiForums Tanzania Salary ikitoka tupeane taarifa

    Kama salary imetoka naomb taarifa maana npo kijijin yaan kwa kifup sna source of information zaid ya Jf Karibun wadau
  12. Mshirazi

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje... ============== July 2014 UPDATE:
  13. A

    JamiiForums Tanzania Salary scale

    Habari zenu wapendwa nlikua naomba kujuzwa salary scale za HESLB 4 ni kiasi gani
  14. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Ajira: Communication Officer, Starting Salary 2.55M kwa Mwezi

    Haya wale waliosoma Mass communication na kada mlingano. Jaribu bahati yako hapa, Ubalozi wa Uingereza. Nchini Tanzania Communications Officer B3 (03/21 DAR) - FCO Local Posts...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Jerry Silaa weka hadharani salary slip yako kabla ya kuitikia wito wa kwenda kwenye kamati

    Kama kusema kuwa wabunge hawalipi kodi ndio sababu ya wewe kuitwa kwenye Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge, nakushauri uweke hadharani salary slip yako kabla ya kufika mbele ya kamati ili umma ujue ukweli halisi ni upi. Unaweza kuficha taarifa ambazo sio sahihi kwenda kwenye public...
  16. L

    JamiiForums Tanzania Salary slip za Juni 2021 zimerekebishwa, Hongera Hazina na waliopaza sauti

    Wale ambao mlikatwa bodi mwezi Juni ila deni halikupungua tatizo hilo limeisha baada ya hazina kufanya marekebisho na kutoa salary slips mpya. Ahsante kwa wote waliopaza sauti pia kwa wahusika waliojitahidi kurekebisha hili kwa haraka. Kazi iendelee. Pia soma Malalamiko ya Makato ya Deni la...
  17. balimar

    JamiiForums Tanzania Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Hello Wadau!! Tumekuwa na tatizo la upatikanaji wa Kilipia Mshahara (Salary Slip) kwa miezi kama miwili mfululizo Hatimae mwezi June Salary Slip zinapatikana kwa mtandao Nilichokiona ni kuongezeka kwa deni la Bodi ya Mikopo (HESLB) kwa zaidi ya 100% Hiki kinanifanya nijiulize Mosi, ni...
  18. N

    JamiiForums Tanzania Napata wapi tena salary slips baada ya kugoma kupatikana mtandaoni?

    Umuofia kwenu!! bado hiyo document haipatikani mtandaoni mpaka leo. maisha yetu ni kukopa na kulipa kila leo.....mwezi julai unakuja, mwezi wa kusomesha vijana wetu. jana nimefika kwenye taasisi ninayokopea wanataka na salary slip ya mwezi mei 2021 na si vinginevyo. naipata wapi, dar au dodoma?!!!
  19. Mbasembase1970

    JamiiForums Tanzania A salary may stop tomorrow

    A SALARY MAY STOP TOMORROW. Robert Mugabe's Said. "When your salary comes in time, you eat chicken. As the salary reduces you eat products of Chicken (Eggs) and subsequently, you begin to eat chicken's foods like maize and millet. Finally, when salary is finished, you become chicken...
  20. Franky

    JamiiForums Tanzania CRDB kuondoa Salary advance imekaaje?

    Chonde chonde CRDB msitufanyie hivyo. Mnatuaibisha tulishaanza kunywa bia toka jana sasa leo kuondoa salary advance ndio nini? Fanyeni mambo basi tunawaaminia.
Back
Top Bottom