Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Kama kusema kuwa wabunge hawalipi kodi ndio sababu ya wewe kuitwa kwenye Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge, nakushauri uweke hadharani salary slip yako kabla ya kufika mbele ya kamati ili umma ujue ukweli halisi ni upi.
Unaweza kuficha taarifa ambazo sio sahihi kwenda kwenye public (mfano kiwango cha makato), ila ukaacha orodha ya makato unayokatwa ionekane ili tuone kama PAYE imo katika orodha hiyo.
Unaweza fanya hivyo kupitia mitandao mfano twitter na watu wakathibitisha maneno yako ili hata wakikusulubu,, basi umma utajua ni nani wa kumuhukumu.
Hata mliowahahi kuwa wabunge wa upinzani, mnaweza kuingilia swala hili na kueleza ukweli ni upi hata kama kweli mlikuwa hamkatwi kodi na hamkuwahi kuongea hadharani kama alivyofanya Jerry Silaa lengo tujue ukweli ni upi ila kwa ushahidi wa salary slip.
Vile vile, pamoja na taarifa ya Bunge kukanusha madai ya Jerry Silaa, nilitegemea Spika wa Bunge atoke hadharani na salary slip yake kuthibitisha uongo wa Mhe. Jerry Silaa ila hilo halikutokea na bila shaka halitatokea.
Unaweza kuficha taarifa ambazo sio sahihi kwenda kwenye public (mfano kiwango cha makato), ila ukaacha orodha ya makato unayokatwa ionekane ili tuone kama PAYE imo katika orodha hiyo.
Unaweza fanya hivyo kupitia mitandao mfano twitter na watu wakathibitisha maneno yako ili hata wakikusulubu,, basi umma utajua ni nani wa kumuhukumu.
Hata mliowahahi kuwa wabunge wa upinzani, mnaweza kuingilia swala hili na kueleza ukweli ni upi hata kama kweli mlikuwa hamkatwi kodi na hamkuwahi kuongea hadharani kama alivyofanya Jerry Silaa lengo tujue ukweli ni upi ila kwa ushahidi wa salary slip.
Vile vile, pamoja na taarifa ya Bunge kukanusha madai ya Jerry Silaa, nilitegemea Spika wa Bunge atoke hadharani na salary slip yake kuthibitisha uongo wa Mhe. Jerry Silaa ila hilo halikutokea na bila shaka halitatokea.