Thanks sijagusa pombe nitawezaje inaniletea zogo sio kidogoHivi mnashindwaje kuacha pombe!? Very simple....
Nilimudu kuacha KWA maamuzi ya siku 1 tu, huu ni mwaka na nusu sasa....
Fegi nimeshindwa kuacha, niache vilevi vyote KWA pamoja namwachia nani!?
By the way usipende kujaribu jaribu KILA ulevi....
Kuna vilevi vingine vina uraibu wa kudumu....
It's very easy to get in! But very hard to get out of it!!!!
Ni USHAURI tu
Shisha ni ya madem mkuu
Kuvuta shisha unatakiwa kiuno kiwe wazi halafu kiwe na shanga.Aah! Weweeh...hujapata mixer ya weed boss!!
Kuvuta shisha unatakiwa kiuno kiwe wazi halafu kiwe na shanga.
Subhanallah!Kuvuta shisha unatakiwa kiuno kiwe wazi halafu kiwe na shanga.
Mtu akikuambia ili kwenda nje ya nchi unahitaji kuwa na passport haimaanishi kuwa yeye amewahi kwenda nje ya nchi.Huo uzoefu utakuwa uliupata baada ya wewe kuwa kiono wazi na kuwa na shanga! Right..?
Kwamba,si kila mfanyakazi wa idara ya uhamiaji(siku hizi wanaitwa jeshi.Hata hivyo sungusungu nao ni jeshi)amewahi kusafiri nje ya nchi na kumiliki passport!Mtu akikuambia ili kwenda nje ya nchi unahitaji kuwa na passport haimaanishi kuwa yeye amewahi kwenda nje ya nchi.
Uko sahihi kila mahali nimeenda ni mademu tu wanavuta aiseeKuvuta shisha unatakiwa kiuno kiwe wazi halafu kiwe na shanga.
Hata madem wengi tu wanavuta bangi siku hizi tena wakali tuAah! Weweeh...hujapata mixer ya weed boss!!