salary

  1. africatuni

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kijana wa kusimamia Play Station yangu Dodoma. Mshahara 100k

    Done
  2. snboy

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa mwenye uelewa wa PTSS 10.1 salary scale ni sh ngapi

    Kuna taasisi imetangaza nafasi ya ajira ssalary scale yao ni PTSS 10.1. sasa nataka kufahamu ni sh ngapi kabla sjaachia hii job niliyonayo isjekuwa hakuna utofauti na hapa nilipo msaada tafadhali
  3. deliverance man

    JamiiForums Tanzania Ajira za polisi kwa wenye fani hivi salary scale zao zinaendaje?

    Naomba kujua wadau, hivi mtu anayefanya kazi na jeshi la polisi kwa kitengo cha laboratory technician mwenye degree, mshahara unaanzia shingapi?
  4. Doto12

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nchi ya Jirani kundi kuu la watumishi likiupiga mwingi.. Salary increase

    Wakenya hawana baba. --- Salary Enhancement for Over 100,000 TSC Educators Effective July 2024: A Detailed Examination The Teachers Service Commission (TSC) assumes a pivotal role in the recruitment, employment, and remuneration of educators across...
  5. M

    JamiiForums Tanzania 6 Effective Ways To Answer Your Salary Expectations In Job Interviews

    Bryan Robinson, Ph.D. Contributor author of Chained to the Desk in a Hybrid World: A Guide to Balance. Follow Apr 21, 2024,06:00am EDT Knowing how to negotiate your salary before a job [+]GETTY Let’s face it. Job interviews are taxing, and stress and anxiety can interfere with a good...
  6. navah

    JamiiForums Tanzania Internship salary for absa bank

    What is the salary scale for intern in absa bank?
  7. Expensive life

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume anapokea 1M salary kwa mwezi na mke anapokea 3M, kutakuwa na heshima kweli hapa?

    Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Tunamtaka Hersi ampe mshahara mzuri Mudathir Yahya

    Mudathir Yahya: Nyota Inayong'ara wa Young Africans SC here is why?? # Uwanjani: Uchezaji wa Kusisimua Mudathir Yahya amekuwa akiwasha moto uwanjani. Uwezo wake wa kubadilisha mwelekeo, kuona vizuri uwanjani, na kudhibiti kiungo cha kati unamfanya kuwa mchezaji wa pekee. Kuanzia kuzuia pasi...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa Salary hizi kuanzia PTSS 6 -

    Habari, Naomba kujuzwa Salary hizi kuanzia PTSS 6 - 9.
  10. mkarimani feki

    JamiiForums Tanzania Kwa mshahara wa Tsh. 765,000/= nikizama benki naweza kopesheka kiasi gani?

    Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana. Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
  11. P

    JamiiForums Tanzania Salary rate ya Fair Competition Commission ipoje?

    Habari zenu wakuu, Salary rate ya FCC inakuwa vipi? Kuna rate zao FCCGSS from 4 to 12 inakuwa inahesabika vipi? Asanteni
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mbona Govt salary zinaingia zimepigwa panga bila maelezo ya kutosha kunani jamani

    Last month nilikuta 15,000/= haipo Today 123,000/= nimevuta statement inaonesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nini?
  13. M

    JamiiForums Tanzania NMB wanatoza riba kiasi gani kwenye Salary Advance?

    Wazee naomba kuuliza anayejua riba wanayotoza nmb kwenye salary advance
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Mishahara ya part-time lecturers iwe na bands mbili, ambazo ni 25% na 50% ya monthly salary ya full-time lecturers

    Mishahara ya part-time lecturers iwe na bands mbili. Band ya kwanza iwe 25% ya monthly salary ya full-time lecturers. Na band ya pili iwe 50% ya monthly salary ya full-time lecturers. Na mikataba yao iwe one year renewable depending on kama wataendelea kuhitajiwa. Wanaweza wawe au wasiwe...
  15. Annie X6

    JamiiForums Tanzania Salary incriment imekwenda wapi?

    Wana jf naomba kujuzwa. Mshahara uliopita ulikuwa na incriment ya July. September kitu plain. Why
  16. Jugado

    JamiiForums Tanzania Topic ya shisha: Nipo Dynasty UNUNIO kufurahia salary, watu wanavuta shisha balaa nataka kujaribu

    Vipi Ina raha Gani sijawahi jaribu kuvuta chochote sio sigara sio nini. . N.b : ule uzi wa kuacha pombe Kwa miezi sita ushafeli napiga JB Mdogo mdogo nipo na yule mpangaji.
  17. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Vipi mliochungulia salary ya July 2023, kuna nyongeza?

    Vipi kwa wale mlio na "macho marefu" mpaka huko jikoni je yaliyomo yamo?
  18. W

    JamiiForums Tanzania Nilikopa milioni 10, siku naona salary slip yanipasa kulipa 24m jicho la upande wa kushoto lilijifunga kama dakika 40 hivi. Nilijua limeparalyse!

    Acha kabisa aisee! Nikiwa nimepagawa na changamoto iliyokuwa inanikabili bila kujua la kufanya, nikakimbilia benki moja kuomba mkopo. Kufika pale nikamuambia afisa mikopo kuwa nahitaji m15, akaniambia m10 ni utapata lakini si hizo ulizotaka. Nikaona kheri tu itaokoa kitu tena kwa kiasi kikubwa...
  19. Mkyamise

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu salary scale za "NECTAR"

    Naomba kupata salary scale za "NECTAR" Naomba uelewe hilo neno NECTAR. Asante
  20. K

    JamiiForums Tanzania Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

    Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari. Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima? Tupeane mbinu hizo wakuu.
Back
Top Bottom