Epuka salamu ya kupeana / kushikana mikono, Avoid unnecessary hand shaking

Epuka salamu ya kupeana / kushikana mikono, Avoid unnecessary hand shaking

a sinner saved by Christ

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
3,347
Reaction score
3,825
1.KIROHO spiritually
nimeshuhudia
ndugu mmoja(jina DINA) aliyekuwa mzima wa afya akiendelea na majukumu yake alianza kuugua ghafla na hatimaye kufariki siku hiyohiyo muda mchache akiwa hospitali alipopelekwa kwa matibabu,hali ya uginjwa wake ilimuanza ghafla
mara tu baada ya kutoka kupeana mkono hand shaking na bibi mmoja ndugu yake wa ukoo anayeaminika kuwa ni mshirikina

akiwa nyumbani kwake akiendelea na majukumu yake alipata ugeni wa ghafla bila taarifa ukiwa umeongozana na mama yake mdogo ambaye mama yake mzazi na huyo mama mdogo wamechangia baba akiwa na mama mzazi wa huyo mama yake mdogo(bibi yake)
alitangulia kuingia huyo mama mdogo huku bibi akiwa ameachwa kwenye gari mana ni mzee sana .

huyo mama mdogo baada ya kusalimiana akaanza kumsihi aende kwwenye gari akamsalimie na bibi yake
DINA akakataa mara tatu tena akmwambia huyo bibi asije akani uwa na uchawi wake mimi nategemewa nalea watoto wadogo isije ikawa ana nia mbaya ya kunidhuru mana anafahamika kijiji kizima kuwa ni mwanga ,mbona mama mdogo unanilazimisha sana nikampe mkono??mi sitaki..

baadae akakubali kwenda kumfuata huyo bibi aliyekuwa kwenye gari huko nje kwenda kumpa mkono kwa vile mama ake mdogo alimsisitiza sana aende amsalimie mara moja tu.

baada ya kuondoka ,mkono ukaanza kumuuma na kichwa na mwili mzima nankuishiwa nguvu ,akapiga simu kwa mama ake mdogo kulalamika mama yako amenifanyia mazingara gani mbona baada ya kusalimiana kwa kupena mkono nimeanza kuumwa mwambie asiniue mimi nina watoto wadogo nalea nategemea..

baada ya kupiga simu ,maumivu yakapungua kwa muda mchache tu,halafu baada ya kama dakika chache yakarudi tena kwa kasi ..akaomba msaada kukimbizwa hospitali..ndio akafa akiwa hispitali

MIKONO IMEBEBA NINI KIROHO.?
Mit 3:16
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.

Kuna baadhi ya watu wakikushika mkono tu..unaanza kuhisi hali ya tofauti katika huo mkono..

na kama ni mtu wa maombi unasali sana na kufunga na unajitahidi kujiepusha na dhambi na maovu..

ukipeana mkono na mtu mwenye nguvu za giza unashangaa mkono wako unapiga shoti kabisa kama shoti ya umeme unatetemeka(watu wa maombi wataelewa)

NDOTO ZA KUUMIA MKONO.
Ukiota umeumia mkono,ama mtu anakuumiza mkono ,amekujeruhi mkono,ama umekatika mkono,ama mnyama amekuuma/amekung'ata mkono

inategemea ni mkono wa upande upi
mkono wa kulia/kuume--wana lengo la kupunguza wingi wa siku zako kiroho. na mkono wa kushoto wanalenga (utajiri na heshima yako).

Mungu huwa anaongea na wewe kupitia instincts/mawazo yako ya ndani ,akili mwako nafsini rohoni mawazoni mwako..ukisikia nafsi/roho mawazo yako au akili yako inakwambia usifanye jambo fulani au fanya jambo fulani..inawwzekana ni sauti ya ndani ya Mungu inakusemesha kukuepusha na hatari ,isikilize ,kama huyu DINA angesikiliza sauti iliyomwambia usipeane mkono.

2.KIAFYA ya ROHONI na mwilini
Kupeana mkono inaweza kukuletea magonjwa ya kiroho na mwilini.
Nakumbuka wakati wa COVID 19 watu walikuwa hawapeani mikono handshaking
TAMADUNI ZETU ZA KUPEANA MIKONO..na kusema watanionaje atajisikia vibaya nisipompa mkono.

sasa na wengine watu wazima hulenda kushika watoto wadogo wa wenzio kuwashika VICHWANI na hata mikononi huku wakiwasalimia na kuwatania tania..TAMADUNI na mila (ila wanaweza kuwaambukiza magonjwa ya kiroho na kimwili hata mafua tu.
 
NYOTA
Nyota ni hatma ya maisha yako duniani ambayo hii Roho ambayo unapewa kabla hujazaliwa duniani na unaishi nayo hapa duniani.

Mfano nyota ya Yesu ilionekana kabla hata hajazaliwa mchawi anaitwa BALAMU aliwaona wanaisraeli lakini akaona katika hao waisrael kuna mkombozi wa ulimwengu atakuja kuzaliwa,lakini hata manabii walitabiri atazaliwa.

Hata mtoto akiwa kiunononi mwa baba yake kabla hajazaliwa au akiwa tumboni mwa mama yake kabla hajazaliwa ,nyota yake inaonekana.
Ibrahimu uzao wake ulionekana kabla.

Anapozaliwa nyota yake pia inaonekana ,mfano nabii Musa na Yesu Kristo walipozaliwa nyota zao zikionekana ziki angaza nuru sana na tayari ika amuriwa amri za wafalme watoto wote wakiume wauwawe...mana walikuwa na nyota za kifalme na nguvu zaidi.

nyota ina pande tano
kama ishara ya vidole vya mikono
dole gumba-kumililiki mali
shahada pointing finger-Mamlaka uongozi
Ring finger-Ndoa na uzao
midle finger-Heshima na kibali
kidole kidogo-nimesaha kidogo ? sijui ni afya ama bahati(nitarejea )

ila ni the way mambo yako yanavyokunyokea kwa urahisi na kufanikiwa mafaniki yako kibali kukubalika ,heshima mali,utawala.

nyota ni kama natural GIFT from God inherent,

mfano unakuta kama kiongozi ukiongea unasikilizwa na watu wanakufuata una ile KIPAJI ama karama na unajikuta pia unamsukumo wa ndani na mamlaka ya kufanya na ukifanya mwitikio na watu wanatii bila kuhoji na wanakufuata.

Nyota ya biashara na mali--unaokuta kila biashara akifanya anatoboa kiurahisi
Pia nyota ya MVUTO watu wanavutiwa na wewe kama ni biashara wateja wanajazana kukufuata mvuto wako kama sumaku

mifano ni mingi..nitaweka na videos hapa chini


NGUVU YA ROHO
Hii energy unaipata kutoka kwa Mungu,ndiyo hiyo wale waliomuamini YESU kristo anawapa nguvu ya ROHO mtakatifu..hii energy wako nayo inawafanya wale wenye nguvu za giza kuwachukia kwa sababu wanaona mambo ya rohoni,pia maombi yao na nguvu zao na hata uwepo wao unaharibu nguvu zao za giza na wakijaribu kuwaloga wanashindwa wanaungua moto..kwa hiyo wanawachukia sana ROHONI japo kimwili wanaweza wakawa wanajifanya marafiki ila katika ulimwengu wa Roho ni vita inapigwa kato ya nguvu za giza ma nguvu za nuru,na siku zote nuru hufukuza giza.

Unaweza ukapendwa au ukachukiwa kwa sababu ya nyota yako.
mifano itajielezea na video nitakayoweka hap chinihttps://youtu.be/wNS5PcU9PHE?si=EJoSgspVYz_EsS5S

wakati mwingine vita unayoipitia inatokana na kile ulichokibeba..mti wenye matunda ndio unapigwa mawe.

waliobeba hatma kubwa ndio wanapitia vita kubwa zaidi,shetani anapambana zaidi na mtu mwenye kitu ndani yake.
ndio maana unaona nabii MUSA alipitia vita kubwa kabla hajazaliwa (iliamuriwa amri ya mfalme watoto wote wa kiume wauwawe) hata baada ya kufa shetani alikuja kujaribu kuiba mwili wa Musa /maiti ya Musa malaika michael akaja kupambana naye.

Nyota yako inaonekana kabla hujazaliwa ukiwa tumboni inasoma ni kama user manual au road map plan blue print kuwa wewe ni nani na umebeba kusudi gani la kuja hapa duniani na utakuwa nani na utafanya jambo gani hapa duniani na utakuwa na madhara gani katika ulimwengu wa roho ..utaharibu nguvu za giza na kuwavuta watu wengi mbinguni.

utakuwa kiongozi
tajiri mafanikio n.k

nyota yako inaweza kuzimwa kubadilishwa ,pia hatma yako inaweza kuibwa sehemu inaweza kumegwa kwa njia mbali mbali na nguvu za giza ikiwemo kupitia kuzini

kuna watu wanapewa masharti ya kulala na watu mbali mbali hata wanne au sita kwa siku na kila anayelala naye anamwibia sehemu ya nafsi yake nyota yake.
unakuta kwa mwaka amejikusanyia sehemu ya nyota za watu wengi.

wanaweza kukuchukua kabisa uwe msukule wakuweke dukani kwao uwe unavuta wateja.(Kama una nyota ya mvuto wa biashara
 
1.KIROHO spiritually
nimeshuhudia
ndugu mmoja(jina DINA) aliyekuwa mzima wa afya akiendelea na majukumu yake alianza kuugua ghafla na hatimaye kufariki siku hiyohiyo muda mchache akiwa hospitali alipopelekwa kwa matibabu,hali ya uginjwa wake ilimuanza ghafla
mara tu baada ya kutoka kupeana mkono hand shaking na bibi mmoja ndugu yake wa ukoo anayeaminika kuwa ni mshirikina

akiwa nyumbani kwake akiendelea na majukumu yake alipata ugeni wa ghafla bila taarifa ukiwa umeongozana na mama yake mdogo ambaye mama yake mzazi na huyo mama mdogo wamechangia baba akiwa na mama mzazi wa huyo mama yake mdogo(bibi yake)
alitangulia kuingia huyo mama mdogo huku bibi akiwa ameachwa kwenye gari mana ni mzee sana .

huyo mama mdogo baada ya kusalimiana akaanza kumsihi aende kwwenye gari akamsalimie na bibi yake
DINA akakataa mara tatu tena akmwambia huyo bibi asije akani uwa na uchawi wake mimi nategemewa nalea watoto wadogo isije ikawa ana nia mbaya ya kunidhuru mana anafahamika kijiji kizima kuwa ni mwanga ,mbona mama mdogo unanilazimisha sana nikampe mkono??mi sitaki..

baadae akakubali kwenda kumfuata huyo bibi aliyekuwa kwenye gari huko nje kwenda kumpa mkono kwa vile mama ake mdogo alimsisitiza sana aende amsalimie mara moja tu.

baada ya kuondoka ,mkono ukaanza kumuuma na kichwa na mwili mzima nankuishiwa nguvu ,akapiga simu kwa mama ake mdogo kulalamika mama yako amenifanyia mazingara gani mbona baada ya kusalimiana kwa kupena mkono nimeanza kuumwa mwambie asiniue mimi nina watoto wadogo nalea nategemea..

baada ya kupiga simu ,maumivu yakapungua kwa muda mchache tu,halafu baada ya kama dakika chache yakarudi tena kwa kasi ..akaomba msaada kukimbizwa hospitali..ndio akafa akiwa hispitali

MIKONO IMEBEBA NINI KIROHO.?
Mit 3:16
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.

Kuna baadhi ya watu wakikushika mkono tu..unaanza kuhisi hali ya tofauti katika huo mkono..

na kama ni mtu wa maombi unasali sana na kufunga na unajitahidi kujiepusha na dhambi na maovu..

ukipeana mkono na mtu mwenye nguvu za giza unashangaa mkono wako unapiga shoti kabisa kama shoti ya umeme unatetemeka(watu wa maombi wataelewa)

NDOTO ZA KUUMIA MKONO.
Ukiota umeumia mkono,ama mtu anakuumiza mkono ,amekujeruhi mkono,ama umekatika mkono,ama mnyama amekuuma/amekung'ata mkono

inategemea ni mkono wa upande upi
mkono wa kulia/kuume--wana lengo la kupunguza wingi wa siku zako kiroho. na mkono wa kushoto wanalenga (utajiri na heshima yako).

Mungu huwa anaongea na wewe kupitia instincts/mawazo yako ya ndani ,akili mwako nafsini rohoni mawazoni mwako..ukisikia nafsi/roho mawazo yako au akili yako inakwambia usifanye jambo fulani au fanya jambo fulani..inawwzekana ni sauti ya ndani ya Mungu inakusemesha kukuepusha na hatari ,isikilize ,kama huyu DINA angesikiliza sauti iliyomwambia usipeane mkono.

2.KIAFYA ya ROHONI na mwilini
Kupeana mkono inaweza kukuletea magonjwa ya kiroho na mwilini.
Nakumbuka wakati wa COVID 19 watu walikuwa hawapeani mikono handshaking
TAMADUNI ZETU ZA KUPEANA MIKONO..na kusema watanionaje atajisikia vibaya nisipompa mkono.

sasa na wengine watu wazima hulenda kushika watoto wadogo wa wenzio kuwashika VICHWANI na hata mikononi huku wakiwasalimia na kuwatania tania..TAMADUNI na mila (ila wanaweza kuwaambukiza magonjwa ya kiroho na kimwili hata mafua tu.
HIVI MKUU,

HUYO MUNGU UNAYEMUHUBIRI KILA SIKU HAPA,ANASHINDWA KUTULINDA NA WACHAWI?

KWAHIYO,YESU ANGEKUWA DUNIANI,ANGEWAAMBIA WAUMINI WAKE WASIPEANE MIKONO NA WATU KUOGOPA WACHAWI?

KWAHIYO MUNGU HAWEZI KUWALINDA WATU WAKE NA MAGONJWA KAMA nCOVID19?
 
Hii post imetoka wapi?
Imetoka kwenye JamiiForums
Na muhimu ujue:
👉 Hii ni platform ya maoni ya watu, si chanzo rasmi cha ukweli.
🧠 Maudhui ya hiyo post kwa ufupi
Mwandishi anadai:
Kupeana mkono kunaweza kuua kiroho (uchawi)
Anatoa simulizi ya mtu (DINA) aliyekufa baada ya kushikana mkono
Anaunganisha na ndoto, Biblia, na nguvu za giza
Pia anasema kuna hatari za kiafya (magonjwa)
⚖️ Uchambuzi wa ukweli
1. ❌ Dai la “kufa kwa kushikana mkono kwa uchawi”
👉 Hakuna ushahidi wa kisayansi au kitabibu unaothibitisha hilo
Hii ni hadithi ya mtu mmoja (anecdote)
Haina:
Majina kamili
Ripoti ya hospitali
Uchunguzi wa kitabibu
👉 Inaangukia kwenye imani au simulizi za kijamii, si ukweli uliothibitishwa
2. ⚠️ Inaweza kuwa imetokana na hofu au tafsiri ya tukio
Inawezekana kabisa:
Mtu alipata stroke, presha kupanda, au ugonjwa wa ghafla
Watu wakatafuta sababu ya haraka 👉 wakaunganisha na “kushikana mkono”
👉 Hii ni kawaida sana kwenye jamii:
Tukio lisiloeleweka → linapewa tafsiri ya kiroho
3. ✅ Sehemu yenye ukweli kidogo (kiafya)
Hapa kuna ukweli:
Kupeana mikono kunaweza kusambaza magonjwa kama:
Mafua
Virusi (kama ilivyokuwa wakati wa COVID-19)
👉 Hii ni sayansi ya kawaida ya maambukizi
LAKINI: ❌ Sio kweli kwamba unaweza “kuambukizwa uchawi” kwa kushikana mkono
4. 🧠 Kuhusu “hisia za ndani”
Post inasema:
“Ukisikia usifanye jambo, ni Mungu anakwambia”
👉 Hapa kuna ukweli wa nusu:
Ndiyo, wakati mwingine hisia zako (intuition) zinaweza kukusaidia
Lakini si kila hisia ni:
Sauti ya Mungu
Au ishara ya hatari ya kiroho
⚠️ Hatari ya aina hii ya post
Post kama hii inaweza:
Kusababisha hofu isiyo na msingi
Kuwafanya watu waogope watu wengine bila sababu
Kueneza imani potofu (superstition)
✅ Hitimisho la wazi kabisa
👉 Si kweli kwamba kushikana mkono kunaweza kukuua kwa uchawi
👉 Hii ni:
Mchanganyiko wa imani za kijamii + hofu + simulizi isiyothibitishwa
👉 Ukweli pekee:
Ndiyo, kushikana mikono kunaweza kusambaza magonjwa ya kawaida tu
👍 Ushauri wangu kwako
Usiishi kwa hofu ya watu
Tumia hekima + tahadhari ya kiafya (usafi)
Lakini epuka kuamini kila simulizi ya mtandaoni bila ushahidi
 
HIVI MKUU,

HUYO MUNGU UNAYEMUHUBIRI KILA SIKU HAPA,ANASHINDWA KUTULINDA NA WACHAWI?

KWAHIYO,YESU ANGEKUWA DUNIANI,ANGEWAAMBIA WAUMINI WAKE WASIPEANE MIKONO NA WATU KUOGOPA WACHAWI?

KWAHIYO MUNGU HAWEZI KUWALINDA WATU WAKE NA MAGONJWA KAMA nCOVID19?
Mungu anaishi ndani yetu sikiliza sauti ya ndani ya Mungu inakuambia nini.

Mfano Mungu anakupa maelekezo usile chakula hicho unasikia sauti ya Roho mtakatifu ndani yako inakusemesha usile hicho chakula .ni vizuri kutii..

Kupena mikono kama unasikia sauti ndani yako inakuzuia kupena mikono unatii pia kama haina ulazima.

NI VIZURI KUSIKILIZA SAUTI YA MUNGU NA KUITII
kitabu cha 1fal 13:1-34, soma kitabu cha wafalme wa kwanza 13:1-34

utaona nabii kijana hakusikikiza sauti ya Mungu iliyomwambia asile chakula yeye akala akafa.
 
NDOTO ni mlango unaoweza kutumiwa na wachawi kukushambulia .

NDOTO zote zina maana hakuna ndoto unayo ota unapokuwa umelala isiyokuwa na maana.
Chochote unachoota kwenye ndoto ni tukio halisi.

1)USILALE usiku bila ya kusali.

2)usilale usiku ukiwa na hasira moyoni au kinyongo usiwe na chuki..

3)usilale usiku ukiwa na HOFU moyoni ..hofu wasisi wasi ni michezo ya mguvu za giza kukutisha ili uingie WOGA uwatatemgeneza kishindo cha mtu kutembea juu ya dari ,au kumwaga mchanga darini au kufanya upepo uvume na vishindo juu ya paa ya nyumba yako

au bundi kulia au mapaka manyau kulia lia kama watu nje ya dirisha lako..

USIOGOPE toka nje chukua jiwe piga hilo paka kwa jina la Yesu,..atadhurika yeye na wewe utakuwa salama kwa jina la YESU.

usiogope usihofu..WOGA ndio njia wanayotumia adui kukutengenezea woga ili ufungue mlango wa nafsi wapate kukudhuru..

Unapolala usitazame video kwenye simu au kusikiliza mambo yasiyompendeza Mungu kabla ya kulala..utaota ndoto mbaya adui atakuvamia.

Usilale ukiwa na hasira ..

soma neno laMungu sikiliza mahubiri,kwaya,SALI ..Mungu atasimama na wewe katika atakupigania

NENO LA LEO
Choose your language

Zaburi 91

SRUV

Zaburi 91 10-16
Hakikisho la ulinzi wa Mungu
1Aketiye mahali pa siri pake Aliye Juu
Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.
2Atasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu,
Mungu wangu nitakayemtumaini.
3Maana Yeye atakuokoa kutoka kwa mtego wa mwindaji,
Na katika maradhi mabaya.
4 Kwa manyoya yake atakufunika,
Chini ya mbawa zake utapata kimbilio;
Uaminifu wake ni ngao na kigao.
5 Hutaogopa hatari za usiku,
Wala mshale urukao mchana,
6Wala mapigo yajayo usiku,
Wala maafa yatokeayo adhuhuri,
7Hata watu elfu wakianguka ubavuni pako.
Naam, watu elfu kumi katika mkono wako wa kulia!
Wewe hutakaribiwa na maafa.
8 Ila kwa macho yako utatazama,
Na kuyaona malipo ya wasio haki.
9Kwa kuwa Wewe BWANA ndiwe kimbilio langu;
Umemfanya Aliye Juu kuwa makao yako.
10 Mabaya hayatakupata wewe,
Wala tauni haitaikaribia hema yako.
11 Kwa kuwa atakuagizia malaika wake
Wakulinde katika njia zako zote.
12 Mikononi mwao watakuchukua,
Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
13 Utawakanyaga simba na nyoka,
Mwanasimba na joka utawakanyaga kwa miguu.
14Kwa kuwa amekaza kunipenda
Nitamwokoa; na kumweka palipo juu,
Kwa kuwa amenijua Jina langu.
15 Ataniita nami nitamwitikia;
Nitakuwa pamoja naye taabuni,
Nitamwokoa na kumtukuza;
16Kwa siku nyingi nitamshibisha,
Nami nitamwonesha wokovu wangu

ISAYA 54:17
Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana.
 
Hii post imetoka wapi?
Imetoka kwenye JamiiForums
Na muhimu ujue:
👉 Hii ni platform ya maoni ya watu, si chanzo rasmi cha ukweli.
🧠 Maudhui ya hiyo post kwa ufupi
Mwandishi anadai:
Kupeana mkono kunaweza kuua kiroho (uchawi)
Anatoa simulizi ya mtu (DINA) aliyekufa baada ya kushikana mkono
Anaunganisha na ndoto, Biblia, na nguvu za giza
Pia anasema kuna hatari za kiafya (magonjwa)
⚖️ Uchambuzi wa ukweli
1. ❌ Dai la “kufa kwa kushikana mkono kwa uchawi”
👉 Hakuna ushahidi wa kisayansi au kitabibu unaothibitisha hilo
Hii ni hadithi ya mtu mmoja (anecdote)
Haina:
Majina kamili
Ripoti ya hospitali
Uchunguzi wa kitabibu
👉 Inaangukia kwenye imani au simulizi za kijamii, si ukweli uliothibitishwa
2. ⚠️ Inaweza kuwa imetokana na hofu au tafsiri ya tukio
Inawezekana kabisa:
Mtu alipata stroke, presha kupanda, au ugonjwa wa ghafla
Watu wakatafuta sababu ya haraka 👉 wakaunganisha na “kushikana mkono”
👉 Hii ni kawaida sana kwenye jamii:
Tukio lisiloeleweka → linapewa tafsiri ya kiroho
3. ✅ Sehemu yenye ukweli kidogo (kiafya)
Hapa kuna ukweli:
Kupeana mikono kunaweza kusambaza magonjwa kama:
Mafua
Virusi (kama ilivyokuwa wakati wa COVID-19)
👉 Hii ni sayansi ya kawaida ya maambukizi
LAKINI: ❌ Sio kweli kwamba unaweza “kuambukizwa uchawi” kwa kushikana mkono
4. 🧠 Kuhusu “hisia za ndani”
Post inasema:
“Ukisikia usifanye jambo, ni Mungu anakwambia”
👉 Hapa kuna ukweli wa nusu:
Ndiyo, wakati mwingine hisia zako (intuition) zinaweza kukusaidia
Lakini si kila hisia ni:
Sauti ya Mungu
Au ishara ya hatari ya kiroho
⚠️ Hatari ya aina hii ya post
Post kama hii inaweza:
Kusababisha hofu isiyo na msingi
Kuwafanya watu waogope watu wengine bila sababu
Kueneza imani potofu (superstition)
✅ Hitimisho la wazi kabisa
👉 Si kweli kwamba kushikana mkono kunaweza kukuua kwa uchawi
👉 Hii ni:
Mchanganyiko wa imani za kijamii + hofu + simulizi isiyothibitishwa
👉 Ukweli pekee:
Ndiyo, kushikana mikono kunaweza kusambaza magonjwa ya kawaida tu
👍 Ushauri wangu kwako
Usiishi kwa hofu ya watu
Tumia hekima + tahadhari ya kiafya (usafi)
Lakini epuka kuamini kila simulizi ya mtandaoni bila ushahidi
katika hii nimependa neno moja ambalo ni HOFU/WOGA

nafikiri hata kilichompelekea DINA kupata madhara ni WOGA.

WOGA hofu ni mlango wa kushambuliwa na nguvu za giza ,ukiruhusu HOFU/WOGA ni roho ya mauti..

ilipaswa asimame kwa ujasiri hata kama atampeaa mkono..

lakini asiwe na hofu ya kulogwa..ila aseme kwa jina la Yesu sitakufa bali nitaishi..

ROHO YA WOGA wasiwasi ni dhambi..ni mlango ukiigiwa WOGA unafungulia mlango wa kushambuliwa na maroho ya nguvu za giza na mauti.
 
Haya mambo ukiweka akilini Sana inakuwa hivyo lakini ukipotezea inaishia hapo hapo.

Uchawi hauwendi Kwa mentali mkuu wa kambi
HOFU/UKIWA NA WOGA ni kufungulia mlango wa kuvamiwa na maroho ya nguvu za giza.

ndia maana wachawi wanapokuwanguia huwa wanakutengenezea roho ya uoga ili uogopr ufungue mlango wa nafsi yako wapate kukudhuru..kwa kutengeneza sauti za mapaka yanalia dirishani kwako kama watu,au kishindo cha nyanyo za mtu akitembea darini..

biblia inakwambia USIOGOPE ,WOGA ni dhambi dhambi ni mauti.
 
ni nzuri wo
Mimi nakushika mkono na hakuna kitu kitanipata. Usiige hiyo ni mm mr. Priest
ni sahihi .kutokuwa na hofu wala woga...HOFU/WOGA ndio unaofungulia mlango wa kushambuliwa na nguvu za giza..
Mungu hakutupa roho ya woga...roho ya woga inatokana na shetani

2 Tim 1:7-9
Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.
 
2 Tim 1:7-9

Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.

kilichomponza DINA ni roho ya woga
 
Back
Top Bottom