Habari waheshimiwa!!
Toka nimekuwa na kujitambua nimekuwa nikisikia huu usemi kuwa "subira yavuta heri" usemi huu nimeusikia si mara moja bali mara nyingi na sehemu tofauti na pia hutumiwa na watu wa rika tofauti kuanzia watoto, vijana, watu wazima hadi wazee na vikongwe.
Binafsi mimi naona...
Habari za majukumu wahangaikaji wenzangu!
Naomba kufunguliwa zaidi kimawazo kwa wale wenye kujua biashara ya utalii inavyoendeshwa.
Naona fursa ipo kwenye utalii ila nashindwa kutumia. Natamani kutumia rasimali zilizopo kufanikisha jambo hili, mfano kutafuta watalii na kuwaunganisha na...
Wakuu shikamooni..Leo sitaandika kwa ile Lugha ya Kiarusha(Ngareroo slang)Kwasababu Nna jambo naombeni msaada wa mawazo yenu kama kaka zangu na Dada zangu,,So leo naomba niandike kwa lugha inayoeleweka ili mnisaidie mawazo na Asipatikane mtu wa kusema hajaelewa hii ni kutokana na watu wengi humu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.