Tupeane mbinu kuhusu fursa za kibiashara zilizopo kwenye utalii

mtakahela

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
801
1,258
Habari za majukumu wahangaikaji wenzangu!

Naomba kufunguliwa zaidi kimawazo kwa wale wenye kujua biashara ya utalii inavyoendeshwa.

Naona fursa ipo kwenye utalii ila nashindwa kutumia. Natamani kutumia rasimali zilizopo kufanikisha jambo hili, mfano kutafuta watalii na kuwaunganisha na kampuni zenye kutoa huduma hizo na mimi nikapewa commission yangu.

Rasimali nilizonazo ni kompyuta pamoja na mawasiliano ya watu wanaotoa huduma za kitalii yaan kampuni za kitalii. Kwahiyo kama nikipata offer najua jinsi ya kuwaunganisha na watu wa huko. Sasa changamoto kubwa ninayofikiria ni jinsi gani naweza kuaminika na watalii hao wawe wa ndani au wa nje mpaka wakakubali kufanya kazi na mimi?

Ukizingatia watu wahofia utapeli uliozagaa mitandaoni. Nashukuru kuna post ya global citizen amezungumzia kuhusu kutumia app ya couchsurfing kupata watalii naona na yenyewe sielewi elewi . Mwenye uelewa zaidi kuhusu app hii naomba maarifa zaidi naomba anipatie.

Nakaribisha wenye ufahamu zaidi kuhusu fursa nyingine zilizopo kwenye utalii ambazo wengine hatuzijui.

Natanguliza shukrani zangu zote kwa wanafamilia wote wa JF
 
- Kwenye tasnia ya Utalii kuna mambo mengi na huduma nyingi, sijajua wewe unataka kuwa kama nani? Eg: Tour Agent, Tour Operator, Dalali, Tour Guide, Tourist Information Center au nani?
- Wateja wanaogopa sana utapeli kwenye nyanja hii, hivyo Ni vyema ungeanza taratibu za kujisajili na uwe na vibali ili kukupa nafasi ya kuaminika kwa wateja na wadau utakaokuwa unashirikiana nao.
- Fungua website yako maalum kwa kazi hii unayotaka kuifanya hasa ukijikita katika kutoa taarifa muhimu za kitalii na taarifa za ofisi yako au biashara yako.
- Unaweza ku-cordinate na walimu wa shule za msingi na sekondari ukaomba tenda ya kuwapeleka wanafunzi kwenye vivutio vya Utalii nchini kwa gharama nafuu.
- Unaweza pia ukaanzisha mtandao wako au app yako ambayo itampa fursa mtu yoyote kuweza kupata taarifa za sehemu za kitalii kwa mahala alipo. Mf: Restaurants, Hotels, Mbuga za wanyama, Kumbi za Starehe nk ikiwa inaonesha na taarifa zote muhimu za hizo sehemu.
- Watoa huduma wengi kwenye tasnia ya Utalii hushirikiana sana na mawakala katika kupata watalii wa nje na wa ndani. Tengeneza network kubwa na wadau hawa ili uweze kupata fursa nyingi za kujiingizia kipato kwenye Utalii kwa kupata commission.
- Kwa kuwa umesema mtaji wako kwa sasa ni computer na muda wako, fuatilia kuhusu mitandao ya Expedia na Booking.com wanavyofanya kazi na wadau wa Utalii na jinsi wanavyopata commission. Kwa Tanzania hatuna mtandao wa wazawa unaofanya kazi kama hao niliokutajia, you might be the first. Kila la kheri
 
Nataka ku operate kama tour agent ...
Website , vibali vipo shida ninayoface ni kupata wateja
Mashuleni na maofisin tayari nimeweka plan ya kuwatembelea target yangu kubwa ni hawa wa nje na ndio ninapopata changamoto

Cc fighter23
 
Haka kaidea kazuri sana kuna jamaa yuko vzr sana ni tour agent ..yaan anachaj bei rahis kwakwel...amejikita na kujiadevertise sna pale moro...!hotel kubwa kubwa unakuta ads zake!kila la heri mkuu!
 
- Kwenye tasnia ya Utalii kuna mambo mengi na huduma nyingi, sijajua wewe unataka kuwa kama nani? Eg: Tour Agent, Tour Operator, Dalali, Tour Guide, Tourist Information Center au nani?
- Wateja wanaogopa sana utapeli kwenye nyanja hii, hivyo Ni vyema ungeanza taratibu za kujisajili na uwe na vibali ili kukupa nafasi ya kuaminika kwa wateja na wadau utakaokuwa unashirikiana nao.
- Fungua website yako maalum kwa kazi hii unayotaka kuifanya hasa ukijikita katika kutoa taarifa muhimu za kitalii na taarifa za ofisi yako au biashara yako.
- Unaweza ku-cordinate na walimu wa shule za msingi na sekondari ukaomba tenda ya kuwapeleka wanafunzi kwenye vivutio vya Utalii nchini kwa gharama nafuu.
- Unaweza pia ukaanzisha mtandao wako au app yako ambayo itampa fursa mtu yoyote kuweza kupata taarifa za sehemu za kitalii kwa mahala alipo. Mf: Restaurants, Hotels, Mbuga za wanyama, Kumbi za Starehe nk ikiwa inaonesha na taarifa zote muhimu za hizo sehemu.
- Watoa huduma wengi kwenye tasnia ya Utalii hushirikiana sana na mawakala katika kupata watalii wa nje na wa ndani. Tengeneza network kubwa na wadau hawa ili uweze kupata fursa nyingi za kujiingizia kipato kwenye Utalii kwa kupata commission.
- Kwa kuwa umesema mtaji wako kwa sasa ni computer na muda wako, fuatilia kuhusu mitandao ya Expedia na Booking.com wanavyofanya kazi na wadau wa Utalii na jinsi wanavyopata commission. Kwa Tanzania hatuna mtandao wa wazawa unaofanya kazi kama hao niliokutajia, you might be the first. Kila la kheri
Asante kwa mchango wako mzuri
Mungu akuzidishie
 
Nataka ku operate kama tour agent ...
Website , vibali vipo shida ninayoface ni kupata wateja
Mashuleni na maofisin tayari nimeweka plan ya kuwatembelea target yangu kubwa ni hawa wa nje na ndio ninapopata changamoto

Cc fighter23

- Communicate frequently with your customers. Eg; give them wishes for holidays, birthdays, ask them how are they doing, update them with new services or new offers etc
- Use Search Engine Optimization (SEO)
- Encourage repeat customers Eg: introduce Discount Codes, Special Rates, Royalty programs etc
- Effective social media interactions
- register and partner with Online Travel Agencies (OTA) and related sites
- partner with local Business
- Kuwa na competitive and unique packages
- Usisahau more Offers and Discounts
- Use Google Ads, Facebook Ads, Instagram Ads
- Fanya research wateja unaowakusudia wanakuja Tanzania kufanya Nini na huwa wanakwenda wapi? Kisha fanyia kazi majibu ya utafiti wako
- Weka Vipeperushi vyako kwenye Information Centers na ofisi za vivutio vya kitalii
- jaribu kuwasiliana sana na watoa huduma kama wewe waliopo nje
- fanya kila jitihada kuongea na wafanyakazi wa makampuni makubwa ya Tour Operators na Tour Agents (hasa wanaohusika na kupokea bookings) ili uwaombe wawe wanakupa biashara na kukuunganisha na wateja Kisha ukawa unawapa 10% commission ya biashara watakayokuletea
 
Back
Top Bottom