freelancer

  1. ntengaleo2019

    Nawezaje kuwa freelancer hapa Tanzania?

    Mimi ni mgeni kwenye mtandao huu wa JamiiForums hivyo nahitaji kupata majibu yatakayo nisaidia kufikia malengo yangu
  2. Tanzanite Digital Agency

    Changamkia! Jinsi ya kuanza kazi kama Freelancer 2023

    Kwanza, Freelancer ni nani? Freelancer ni mtu yoyote self-employed anayefanya kazi kwa watu/mtu au makumpuni mbalimbali bila kuwa na long-term relationship nao wala commitment za kazi nyingne zaidi, mostly done online. Typically freelancers hulipwa kwa lisaa, siku ama muda service anayotoa kwa...
  3. Acehood

    Nafanya kazi ya kuandika (writing/copywriting), kutafsiri (translation), na editing "Freelancer"

    Ni matumaini yangu kuwa kila anayesoma uzi huu ni mzima wa afya. Mimi ni kijana, Nimehitimu mwaka jana (2021). Nina vifaa kama simu (smartphone) na kompyuta mpakato (laptop), vinavyoweza kuniwezesha kufanya kazi tajwa hapo awali yaani, writing/copywriting, translation na editing. Kwa...
  4. Tanzanite Digital Agency

    Jinsi Ya Kupokea/ku-withdraw Pesa Kutoka Upwork Au Fiverr (Beginners Freelancing Guide)

    Hii ni special kwa all internet money hustlers! (Read more....) Kama umekuwa interested au umefanya research kuhusiana na freelancing then utakuwa umekutana na platforms za freelancing kama vile Upwork, Fiverr, Freelancer na zaidi. Lakini, swali linalokujia akilini at the beginning ni namna...
  5. Tanzanite Digital Agency

    Easy Skills Kuanzia Kama Freelancer (Fursa Kwa Wote)

    What's Up, Guys! :) Najua kuna graduates humu wanaulizia ajira, but vipi ushawaza kujiajiri kama huipati hyo ajira? Najua kisingizio kitakuwa mtaji na factors nyingi ambazo siwezi kuwalaumu. All because ndio elimu yetu ilivyotuandaa, ku blame system na kufukuzia ajira. So, nimeona nifanye...
  6. Jamii Opportunities

    Sales and Marketing Freelancer at SEiFSON AFRiCOLLA

    Sales and Marketing Freelancer Position: Sales and Marketing Freelancer Seifson Africolla RESPONSIBILITIES Make sure our brand services are top of mind in terms of both sales and visibility by establishing contact and developing fruitful relationships with clients. Create a data base for...
  7. Artifact Collector

    If you are freelancer, lawyers, small business get electronic signature system

    Get standalone electronic signature system that allows you to sign your documents digitally while keeping the public and private keys secure. It Supports multiple digital signature formats including ODF, PDF, OOXML, XML, and MRTD or ePassport DS. You can sign your documents and code like Java...
  8. Tanzanite Digital Agency

    Jinsi Ya Kupata (win) Kazi on Upwork

    Lets keep it straight and simple, Upwork ni platform kwaajili ya professionals so, you have to be an expert in your skills na kama sio expert basi ujue how to source that skill properly. Points you should consider au ku-note kabla hujaapply kwa hizo kazi. 1) Apply to your skills related jobs...
  9. Tanzanite Digital Agency

    Laki 2 kwa Wiki Freelancing Skill (No Experience Needed with Prove)

    Kama hujasoma my previous thread about how to start a freelancing business popote pale ulipo bila experience wala mtaji wowote, basi pitia sasa maana nimeelezea everything concerning this business. Kwa kifupi, Freelancing ni aina ya biashara ambayo mtu yeyote yule anaweza kuuza service yake kwa...
  10. Tanzanite Digital Agency

    Jinsi ya kuwa approved Upwork as a Freelancer and how to make money with it

    Hi there, I hope upo poa wherever you are... So, last time nili-post a thread kuhusiana na Jinsi ya kuwa freelancer (Be your own boss working from home), nilipata meseji na replies on how to be approved on Upwork maana most people (wanna-be-freelancers) huwa wanakuwa rejected au banned...
  11. Makirita Amani

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Habari kubwa katika kipindi hichi kwa upande wa fedha na uwekezaji ni cryptocurrency au kama inavyofahamika kwa Kiswahili fedha za kidijitali. Aina hii ya fedha imewavutia wengi siyo kwa sababu ya matumizi yake, bali kwa jinsi thamani yake inavyokua kwa kasi na hivyo wengi kuona ni sehemu rahisi...
  12. mtakahela

    Tupeane mbinu kuhusu fursa za kibiashara zilizopo kwenye utalii

    Habari za majukumu wahangaikaji wenzangu! Naomba kufunguliwa zaidi kimawazo kwa wale wenye kujua biashara ya utalii inavyoendeshwa. Naona fursa ipo kwenye utalii ila nashindwa kutumia. Natamani kutumia rasimali zilizopo kufanikisha jambo hili, mfano kutafuta watalii na kuwaunganisha na...
Back
Top Bottom