Demiss upo uko wapi??
Mie mzima wa afya njema nimekumiss huku jukwaani huonekani.
Kimya ?
Au umeolewa??
Tujuzane tukuletee zawadi ya heri.
I miss u my dear friend huku tulikuwa tunasaidiana sana na baadhi ya wadada.
Ila umepoa au umefichwa??
Mimi ni kijana ambae nipo kwenye umri wa kuuvuka ujana na kuuendea utu uzima. Miaka ya nyuma mara kadhaa nimeshawahi kuumizwa sana kwenye mahusiano. Ilifikia kipindi nikaamua kuyapa kisogo mahusiano. Mbinu haswa niliyokuwa naitumia ni ku hit and run.
Ila baadae miaka 6 nyuma nilikutana na...
Demiss alikuwa mchangiaji mkuu wa habari za mapenzi. Nakumbuka alishawahi kuolewa na GuDume hawakudumu hata week akaachana naye akaja akaolewa na Mshana Jr ndo hapo akapotea kabisa humu.
Hatujui kama yupo hai au alipatwa na kitu. Maana nmekaa tu nikamkumbuka hapatikani. Ila nina ujumbe wake plz...
Ndugu msomaji, pole kwa shughuli na pilika pilika za kila siku katika harakati za kulizungusha gurudumu la maisha. Awali ya yote napenda kuwaletea mada ambayoitakuwezesha kumtambu mwanamke aliyetoka ama anayetoka kimapenzi na mwanaume mwingine
Itambulike kuwa lengo la uzi huu sio kuumbua bali...
Miaka kadhaa iliyo pita nilikuwa na tabia ya kwenda bichi, haswa ile beach ya msasani kupitia pale chole au kwenye kituo maarufu kinachojulikana kwa jina la Macho {kutokana na hospitali maarufu ya macho ya CCBRT}. katika maisha yangu hakuna kitu nincho kipenda sana kama kuogelea japo nimewahi...
Mpango wa Biashara (Business Plan), ni nyenzo muhimu katika mafanikio ya biashara. Mpango wa Biashara humsaidia mjasiriamali ku-shape wazo lake la biashara na kulifanya kuwa fursa (Opportunity).
FAIDA ZA KUWA NA MPANGO WA BIASHARA
Hutoa taarifa za msingi juu ya biashara; zinazomuwezesha...
Wakuu shikamooni..Leo sitaandika kwa ile Lugha ya Kiarusha(Ngareroo slang)Kwasababu Nna jambo naombeni msaada wa mawazo yenu kama kaka zangu na Dada zangu,,So leo naomba niandike kwa lugha inayoeleweka ili mnisaidie mawazo na Asipatikane mtu wa kusema hajaelewa hii ni kutokana na watu wengi humu...
Pichani ni chalii mwenye miaka29 amenyakwa na polisi nchini Zambia kwa kumnyandua mdada ambae ni mgonjwa wa akili.
Kwa mujibu wa shuhuda ambae ni jirani wa hiyo njemba amesema sio mala ya kwanza ni kawaida yake iyo njemba kila siku usiku huwa inaenda kumdownload manzi huyo ambae dishi lake...
Habarini zenu wakuu,hopeful mko vizuri,,Naam nimekua na tabia ya kuwaelewa kinyama ma'manzi ambao ni ma gangstar,wahuni,,Leo On ma way road to Sinoni daraja bee fas ya chuganian kwa chalii angu mmoko ambae sijamuona siku mingi joh tangia enzi za oldskul pale Arusha sec.picha linaanza kipande...
Oy oy it'z another beautiful day,,by the way kidhungu ni kisanga acha nikaushe nirudi kwenye Lugha ya taifa,,Mko vyema wanajamvi?!....Bac aikatai,,,Kuna mamiloo tunapiga nae book apa chuo,asa uyu mamdii amekua akikimbiza kinyama class kwa kila medani iwe ya kimataifa hadi ya tarafa,Obvious hana...
Aliekua Mpenzi wa Ruge Mutahaba ambae pia ni mzazi mwenzake,Zamaradi Mketema ambae amewahi pia kuwa mtangazaji pale Clouds Media Group(CMG)
katika kipindi cha Take One kilichokua kikiruka Clouds TV,February 21 atakua live kupitia Clouds360 na Powerbreakfast pia,
kuanzia mishale ya Saa1asubuhi...
Machalii wa humu Eroo Suphai, Ma mamiloo Takwenyaa,,
Okay ngoja nichumpe mokomoko kwenye point, Nna kaka angu nnaemfata kabisa yeye ni wa pili kutoka mwisho kuzaliwa uku mimi nikiwa ndo wa mwisho....
Huyu broo ana mke ambae kamuoa mwaka jana tu apa mwezi kama wa9 ivi... Mkewe ni mpare wa Same...
Wakuu Suvai,, Shimboni sheamka,, shimboni shafo,, Aika kwa mlioitikia,,
Let us back to the business,,, Kama title inavojieleza apo juu wanawake hawanaga ujasiri wa kuwaelezea hisia zao wanaume,ni wachache sana wenye huo ujasiri, unaeza kuta katika ma manzi 8 ni wawili tu ndo wanaweza, Mwaka...
Mwili wa aliyekuwa mfalme wa pop duniani,Michael Jackson huenda ukafukuliwa toka kaburini kwa uchunguzi kufuatia tuhuma za ulawiti, Mtandao wa Radar online umethibitisha kupitia filamu ya 'Leaving Neverland' imeelezwa kuwa Michael Jackson aliwahi kuwalawiti wavulana zaidi ya30 wenye umri...
Home boy Omary Said aka DJ D-Ommy, Mr.Washawasha, The International DJ, Jitu nene kutoka Mjengoni Clouds FM the people's Station. Huyu chalii ana tuzo Mbili mkononi za kimataifa alizonyakua hadi sasa kama DJ bora barani Afrika.
Pia amekuwa akiburudisha Nje ya nchi kama South Afrika, Marekani...
Baada ya Kujifunza lugha ya malkia nimefanikiwa kuiva kabisa,Angalieni navyoongea"You know sometimes circumstance issues,Specimen and Couldn't I speak it?Wouldn't she?Pharmacy me!Wife material"Mmeona sasa?simple as easy namna hiyo,wiki ijayo napanda ndege load to CNN,Dua zenu wakuu nipate ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.