Wakubwa Naombeni Msaada wa Mawazo Yenu.

princemikazo

JF-Expert Member
Jan 10, 2019
2,197
2,051
Wakuu shikamooni..Leo sitaandika kwa ile Lugha ya Kiarusha(Ngareroo slang)Kwasababu Nna jambo naombeni msaada wa mawazo yenu kama kaka zangu na Dada zangu,,So leo naomba niandike kwa lugha inayoeleweka ili mnisaidie mawazo na Asipatikane mtu wa kusema hajaelewa hii ni kutokana na watu wengi humu kudai hawaelewagi wengine pia husema bangi,uhuni na maneno kibao...Naam hapo,Nna msichana tunaishi nae uku Arusha japo yeye anakaa Kikatiti mimi nipo apa Kijenge juu,Huyu binti ana umri wa miaka 19 na kwasasa yupo Mwanza kimasomo,Nakumbuka mahusiano yetu yalianza mwaka jana mwezi wa6,Na hadi kufikia hapa tushawekeana malengo kabisa ya kuoana coz anakila sifa nnazozihitaji za kuwa mke wangu,Ndo mwanamke nnaempenda kuliko wanawake wote duniani ukimtoa Mama angu,Dada zangu anafata yeye then Cardi B,kiukweli ananipenda sana kunizidi hata mimi navyompenda,yaani nikimkosea kidogo tu analia,Nakumbuka kuna siku nilimtania tuachane tubaki marafiki,alilia sana hadi marafiki zangu wakanisaidia kumnyamazisha,Kila akirudi likizo home anakuja na zawadi zangu,pia nakumbuka semester iliyopita alinilipia nusu ya accommodation fees(ada ya hostel)alitoa laki na nusu alimdanganya Baba'ake sijui wana study tour ya Wapi?Then nusu nikamalizia mimi ikakamilika laki3,,,Sasa bwana huyu dem kuna namba yake ya voda alinambia nimtumie video3 WhatsApp,Tamu ya Mbosso,Roboti ya Whozu na Tetema ya Rayvanny na Mond,Basi nikamtumia lakini alisema bado hajaziona coz alikua hana bando ila akasema akiweka ataziona,huyu dem yuko shule na hutumia sim ki'sirisiri coz haziruhusiwi,,Sasa siku mbili baadae akanambia ile namba niifute na nisiitumie kabisa coz simu ilikamatwa alaf yule mwalimu akaichukua laini then akaichukua namba yangu akaiandika kwenye karatasi coz alikuta imeseviwa"My husband"yule ticha akasema atanitafuta kisha akai'block ile laini akamrudishia dem,dem alipoona ime'blockiwa akaamua kuivunja tu kwa mujibu wake alivosema,,,Kweli mimi nikaifuta ile namba but juzi kuna namba ngeni Ikanitumia sms ikinipiga biti kuwa niachane na uyo manzi,mimi nikajua labda kakosea namba chalii,nikamuuliza Manzi gani?akanitajia jina la dem wangu kabisa alafu akazitaja na video zilezile nilizotuma daah..!!Chalii kanitukana sana anadai hiyo namba aliachiwa na uyo dem na akaambiwa eti atutukane washkaji wote tunaomsumbua,Basi bhana nikamkaushia yule jamaa ikabidi nimuulize dem aliponitafuta ile jana kwa simu na namba ingine,Dem kakana hamjui chalii na hajui iyo namba'ake kaipataje!Dem kajitetea hadi akaanza kulia kazira hadi kula wanafunzi wenzake wananambia,,Ila yule jamaa nimeongea nae kistaarabu.kasema ameamua kuniachia niendelee nae coz nna malengo nae,,,Wakuu zangu nnachowaomba mnisaidie Je huyu dem kweli hamjui uyu chalii na ananipenda kweli?yule chali nilimuuliza namba'angu kaipataje?akasema alizipata WhatsApp nilipotuma zile video coz nilifikiri ndo yule ticha aliechukuaga laini ila sio coz uyu ni kijana tu mdogo na yuko Form4 apa Arusha sec.so sio yule ticha,,Nisaidieni wakuu nifanyaje ili niujue ukweli istoshe dem saiv yuko so disappointed kinyama na wana mitihani walianza jumatano naona kabisa hatafanya poa,,,,Asanteni sana.
@ChaliiYaKijengeJuu.
 
Wakuu shikamooni..Leo sitaandika kwa ile Lugha ya Kiarusha(Ngareroo slang)Kwasababu Nna jambo naombeni msaada wa mawazo yenu kama kaka zangu na Dada zangu,,So leo naomba niandike kwa lugha inayoeleweka ili mnisaidie mawazo na Asipatikane mtu wa kusema hajaelewa hii ni kutokana na watu wengi humu kudai hawaelewagi wengine pia husema bangi,uhuni na maneno kibao...Naam hapo,Nna msichana tunaishi nae uku Arusha japo yeye anakaa Kikatiti mimi nipo apa Kijenge juu,Huyu binti ana umri wa miaka 19 na kwasasa yupo Mwanza kimasomo,Nakumbuka mahusiano yetu yalianza mwaka jana mwezi wa6,Na hadi kufikia hapa tushawekeana malengo kabisa ya kuoana coz anakila sifa nnazozihitaji za kuwa mke wangu,Ndo mwanamke nnaempenda kuliko wanawake wote duniani ukimtoa Mama angu,Dada zangu anafata yeye then Cardi B,kiukweli ananipenda sana kunizidi hata mimi navyompenda,yaani nikimkosea kidogo tu analia,Nakumbuka kuna siku nilimtania tuachane tubaki marafiki,alilia sana hadi marafiki zangu wakanisaidia kumnyamazisha,Kila akirudi likizo home anakuja na zawadi zangu,pia nakumbuka semester iliyopita alinilipia nusu ya accommodation fees(ada ya hostel)alitoa laki na nusu alimdanganya Baba'ake sijui wana study tour ya Wapi?Then nusu nikamalizia mimi ikakamilika laki3,,,Sasa bwana huyu dem kuna namba yake ya voda alinambia nimtumie video3 WhatsApp,Tamu ya Mbosso,Roboti ya Whozu na Tetema ya Rayvanny na Mond,Basi nikamtumia lakini alisema bado hajaziona coz alikua hana bando ila akasema akiweka ataziona,huyu dem yuko shule na hutumia sim ki'sirisiri coz haziruhusiwi,,Sasa siku mbili baadae akanambia ile namba niifute na nisiitumie kabisa coz simu ilikamatwa alaf yule mwalimu akaichukua laini then akaichukua namba yangu akaiandika kwenye karatasi coz alikuta imeseviwa"My husband"yule ticha akasema atanitafuta kisha akai'block ile laini akamrudishia dem,dem alipoina ime'blockiwa akaamua kuivunja tu kwa mujibu wake alivosema,,,Kweli mimi nikaifuta ile namba but juzi kuna namba ngeni Ikanitumia sms ikinipiga biti kuwa niachane na uyo manzi,mimi nikajua labda kakosea namba chalii,nikamuuliza Manzi gani?akanitajia jina la dem wangu kabisa alafu akazitaja na video zilezile nilizotuma daah..!!Chalii kanitukana sana anadai hiyo namba aliachiwa na uyo dem na akaambiwa eti atutukane washkaji wote tunaomsumbua,Basi bhana nikamkaushia yule jamaa ikabidi nimuulize dem aliponitafuta ile jana kwa simu na namba ingine,Dem kakana hamjui chalii na hajui iyo namba'ake kaipataje!Dem kajitetea hadi akaanza kulia kazira hadi kula wanafunzi wenzake wananambia,,Ila yule jamaa nimeongea nae kistaarabu.kasema ameamua kuniachia niendelee nae coz nna malengo nae,,,Wakuu zangu nnachowaomba mnisaidie Je huyu dem kweli hamjui uyu chalii na ananipenda kweli?yule chali nilimuuliza namba'angu kaipataje?akasema alizipata WhatsApp nilipotuma zile video coz nilifikiri ndo yule ticha aliechukuaga laini ila sio coz uyu ni kijana tu mdogo na yuko Form4 apa Arusha sec.so sio yule ticha,,Nisaidieni makuu nifanyaje ili niujue ukweli istoshe dem saiv yuko so disappointed kinyama na wana mitihani walianza jumatano naona kabisa hatafanya poa,,,,Asanteni sana.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Wee jamaa hauko serious kabisa, dem ana miaka 19 unaweka malengo ya kuoa. Eb tafuta aliyepevuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu shikamooni..Leo sitaandika kwa ile Lugha ya Kiarusha(Ngareroo slang)Kwasababu Nna jambo naombeni msaada wa mawazo yenu kama kaka zangu na Dada zangu,,So leo naomba niandike kwa lugha inayoeleweka ili mnisaidie mawazo na Asipatikane mtu wa kusema hajaelewa hii ni kutokana na watu wengi humu kudai hawaelewagi wengine pia husema bangi,uhuni na maneno kibao...Naam hapo,Nna msichana tunaishi nae uku Arusha japo yeye anakaa Kikatiti mimi nipo apa Kijenge juu,Huyu binti ana umri wa miaka 19 na kwasasa yupo Mwanza kimasomo,Nakumbuka mahusiano yetu yalianza mwaka jana mwezi wa6,Na hadi kufikia hapa tushawekeana malengo kabisa ya kuoana coz anakila sifa nnazozihitaji za kuwa mke wangu,Ndo mwanamke nnaempenda kuliko wanawake wote duniani ukimtoa Mama angu,Dada zangu anafata yeye then Cardi B,kiukweli ananipenda sana kunizidi hata mimi navyompenda,yaani nikimkosea kidogo tu analia,Nakumbuka kuna siku nilimtania tuachane tubaki marafiki,alilia sana hadi marafiki zangu wakanisaidia kumnyamazisha,Kila akirudi likizo home anakuja na zawadi zangu,pia nakumbuka semester iliyopita alinilipia nusu ya accommodation fees(ada ya hostel)alitoa laki na nusu alimdanganya Baba'ake sijui wana study tour ya Wapi?Then nusu nikamalizia mimi ikakamilika laki3,,,Sasa bwana huyu dem kuna namba yake ya voda alinambia nimtumie video3 WhatsApp,Tamu ya Mbosso,Roboti ya Whozu na Tetema ya Rayvanny na Mond,Basi nikamtumia lakini alisema bado hajaziona coz alikua hana bando ila akasema akiweka ataziona,huyu dem yuko shule na hutumia sim ki'sirisiri coz haziruhusiwi,,Sasa siku mbili baadae akanambia ile namba niifute na nisiitumie kabisa coz simu ilikamatwa alaf yule mwalimu akaichukua laini then akaichukua namba yangu akaiandika kwenye karatasi coz alikuta imeseviwa"My husband"yule ticha akasema atanitafuta kisha akai'block ile laini akamrudishia dem,dem alipoina ime'blockiwa akaamua kuivunja tu kwa mujibu wake alivosema,,,Kweli mimi nikaifuta ile namba but juzi kuna namba ngeni Ikanitumia sms ikinipiga biti kuwa niachane na uyo manzi,mimi nikajua labda kakosea namba chalii,nikamuuliza Manzi gani?akanitajia jina la dem wangu kabisa alafu akazitaja na video zilezile nilizotuma daah..!!Chalii kanitukana sana anadai hiyo namba aliachiwa na uyo dem na akaambiwa eti atutukane washkaji wote tunaomsumbua,Basi bhana nikamkaushia yule jamaa ikabidi nimuulize dem aliponitafuta ile jana kwa simu na namba ingine,Dem kakana hamjui chalii na hajui iyo namba'ake kaipataje!Dem kajitetea hadi akaanza kulia kazira hadi kula wanafunzi wenzake wananambia,,Ila yule jamaa nimeongea nae kistaarabu.kasema ameamua kuniachia niendelee nae coz nna malengo nae,,,Wakuu zangu nnachowaomba mnisaidie Je huyu dem kweli hamjui uyu chalii na ananipenda kweli?yule chali nilimuuliza namba'angu kaipataje?akasema alizipata WhatsApp nilipotuma zile video coz nilifikiri ndo yule ticha aliechukuaga laini ila sio coz uyu ni kijana tu mdogo na yuko Form4 apa Arusha sec.so sio yule ticha,,Nisaidieni makuu nifanyaje ili niujue ukweli istoshe dem saiv yuko so disappointed kinyama na wana mitihani walianza jumatano naona kabisa hatafanya poa,,,,Asanteni sana.
@ChaliiYaKijengeJuu.
nyie mnadanganyana tu
 
Tatizo ni Umri, kama unabisha save this txt.. baada ya miaka miwili uje upitie.

"huyo ni mnadanganyana tu hakuna cha mapenzi ya ukweli wala nini, subirini 25 huko kila mtu ashakutana na wadau tofauti"

Kazana na shule acha upuuzi chalii angu
 
Tatizo ni Umri, kama unabisha save this txt.. baada ya miaka miwili uje upitie.
"huyo ni mnadanganyana tu hakuna cha mapenzi ya ukweli wala nini, subirini 25 huko kila mtu ashakutana na wadau tofauti"
Kazana na shule acha upuuzi chalii angu
Unajua mkuu me siafiki kama utoto unatusumbua..but ni sawa acha tuone mkuu ntaleta mrejesho.
 
Back
Top Bottom