rwanda

Rwanda ( (listen); Kinyarwanda: u Rwanda [u.ɾɡwaː.nda] (listen)), officially the Republic of Rwanda (Kinyarwanda: Repubulika y'u Rwanda; Swahili: Jamhuri ya Rwanda; French: République du Rwanda), is a country in Central Africa and one of the smallest countries on the African mainland. Located a few degrees south of the Equator, Rwanda is bordered by Uganda, Tanzania, Burundi, and the Democratic Republic of the Congo. Rwanda is in the African Great Lakes region and is highly elevated; its geography is dominated by mountains in the west and savanna to the east, with numerous lakes throughout the country. The climate is temperate to subtropical, with two rainy seasons and two dry seasons each year.
The population is young and predominantly rural, with a density among the highest in Africa. Rwandans are drawn from just one cultural and linguistic group, the Banyarwanda, although within this group there are three subgroups: the Hutu, Tutsi and Twa. The Twa are a forest-dwelling pygmy people and are often considered descendants of Rwanda's earliest inhabitants. Scholars disagree on the origins of and differences between the Hutu and Tutsi; some believe differences are derived from former social castes within a single people, while others believe the Hutu and Tutsi arrived in the country separately, and from different locations. Christianity is the largest religion in the country; the principal language is Kinyarwanda, spoken by most Rwandans, with English and French serving as additional official languages. The sovereign state of Rwanda has a presidential system of government. The president is Paul Kagame of the Rwandan Patriotic Front (RPF), who has served continously since 2000. Today, Rwanda has low levels of corruption compared with neighbouring countries, although human rights organisations report suppression of opposition groups, intimidation and restrictions on freedom of speech. The country has been governed by a strict administrative hierarchy since precolonial times; there are five provinces delineated by borders drawn in 2006. Rwanda is one of only two countries in the world with a female majority in the national parliament, the other country being Bolivia.
Hunter-gatherers settled the territory in the stone and iron ages followed later by Bantu peoples. The population coalesced first into clans and then into kingdoms. The Kingdom of Rwanda dominated from the mid-eighteenth century, with the Tutsi kings conquering others militarily, centralising power and later enacting anti-Hutu policies. Germany colonised Rwanda in 1884 as part of German East Africa, followed by Belgium, which invaded in 1916 during World War I. Both European nations ruled through the kings and perpetuated a pro-Tutsi policy. The Hutu population revolted in 1959. They massacred numerous Tutsi and ultimately established an independent, Hutu-dominated republic in 1962. A 1973 military coup saw a change of leadership, but the pro-Hutu policy remained. The Tutsi-led Rwandan Patriotic Front launched a civil war in 1990. The presidents of Rwanda and Burundi, both Hutus, were killed when their aircraft was shot down on 6 April 1994. Social tensions erupted in the 1994 genocide that followed, in which Hutu extremists killed an estimated 500,000-1,000,000 Tutsi and moderate Hutu. The RPF ended the genocide with a military victory.
Rwanda's developing economy suffered heavily in wake of the 1994 genocide, but has since strengthened. The economy is based mostly on subsistence agriculture. Coffee and tea are the major cash crops for export. Tourism is a fast-growing sector and is now the country's leading foreign exchange earner. Rwanda is one of only two countries in which mountain gorillas can be visited safely, and visitors pay high prices for gorilla tracking permits. Music and dance are an integral part of Rwandan culture, particularly drums and the highly choreographed intore dance. Traditional arts and crafts are produced throughout the country, including imigongo, a unique cow dung art.
Rwanda has been governed as a unitary presidential system with a bicameral parliament ruled by Rwandan Patriotic Front since 1994. The country is member of the African Union, the United Nations, the Commonwealth of Nations, COMESA, OIF and the East African Community.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rwanda na Uganda zaongoza EAC kasi ya Ukuaji Uchumi, Kenya Nchi Pekee Uchumi wa Kati, EAC, Tanzania yarejeshwa Kundi la Nchi Masikini!. WHY?!

    Wanabodi Rwanda na Uganda ndizo nchi mbili pekee kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC katika orodha ya nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara huku Tanzania ikisukumwa chini na kutupwa tena kwenye kundi la nchi masikini za kipato cha chini...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Huku Tanzania kukiwa na ruhusa ya kula kwa urefu wa kamba, Hiki ndicho kinaendelea kwa Kagame, Naiona Rwanda mbali baada ya miaka 20

    Mbali na staili yake ya uongozi wa kimabavu lakini kwenye hili hatuna budi kumpa tiki kubwa sana. Kuna nchi nyingi Afrika zinazoongozwa kimabavu na chache zinazojitahidi demokrasia lakini bado kuna tatizo kubwa sana la ufisadi na rushwa. Rwanda, chini ya uongozi wa Rais Kagame, imeweza kusimama...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kama hii ndio mbinu aliyotumia Kagame kudhibiti Rushwa na Ufisadi, basi Tanzania na nchi nyingi Afrika tuna safari ndefu, Sio Rahisi hata kidogo

    Katika video hii, Rais wa Rwanda, Paul Kagame aliulizwa kuhusu namna ya kupambana na rushwa akajibu rushwa haiondoki kwa kusali au kuswali bali kuwa na nia hamuitaki. Hili suala la kutotaka rushwa ni kwa kila mtu hadi viongozi. PIa ametaja kuwa uwajibikaji ni muhimu kwa ngazi zote hadi...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania EU yataka Ingabire aachiliwe, Rwanda yapinga yasema msituingilie

    Bunge la Rwanda limelaani vikali azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) lililotaka kuachiwa huru kwa mwanasiasa wa upinzani Victoire Ingabire, likisema hatua hiyo ni kuingilia uhuru wa mahakama na mfumo wa kidemokrasia wa nchi hiyo. Katika kikao cha pamoja cha Baraza la Wawakilishi na Seneti...
  5. PAYE

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwimbaji wa Nyimbo za Injili wa Rwanda, 'Gogo' afariki dunia akiwa na miaka 36

    Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Gloriose Musabyimana, maarufu kama Gogo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 36 nchini Uganda. Taarifa zinasema alifariki usiku wa Septemba 3, baada ya kuugua kwa muda mfupi alipokuwa akipatiwa matibabu hospitalini Kampala. Ingawa sababu kamili ya...
  6. didy muhenga

    JamiiForums Tanzania Rwanda yashika nafasi ya 38 duniani kwa kuanzisha biashara. Yaizidi Portugal, Belgium, Netherlands na nchi nyingi

    Sio maneno yangu. Kulingana na ripoti iliyotolewa na Doing business ambayo huzingatia vigezo kumi inaonyesha Rwanda ni ya 38 kati ya 190 mbele ya mataifa mengi ya ulaya na la kwanza kwa Africa. Tanzania imeshika nafasi ya 141 huku majirani Kenya wakiwa nafasi ya 56 na Uganda nafasi ya 116...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwaya za Kisabato Tanzania zimepotea kwenye Ramani ya uimbaji kutokana na kuiga uimbaji wa Kwaya ya Ambassador ya Rwanda.

    KWAYA ZA KISABATO TANZANIA ZIMEPOTEA KWENYE RAMANI YA UIMBAJI KUTOKANA NA KUIGA UIMBAJI WA KWAYA YA AMBASSADOR YA RWANDA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Wakati Ambassador ya Rwanda waki-trend nchi za Afrika mashariki watu wake walibarikiwa na nyimbo zao. Sio tuu wasabato bali hata watu wa...
  8. britanicca

    JamiiForums Tanzania Mwendelezo wa 2018: Uzi maalumu: Rwanda wanavyotumia wadada warembo katika ujasusi wao

    Tanzania kuna viongozi zaidi ya 12 wameoa wanyarwanda na Mpaka mmoja amepewa tenda kubwa sana ya kusambaza Mpaka vifaa vya ulinzi IKAWA IJUMAA TAREHE 13/05/**** Nawarudisha nyuma Kidogo Tuna sababu za kuilinda nchi yetu, Kuna viongozi ambao wamepewa dhamana na kulijua jeshi letu kwa ndani ...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Naona tayari Laana ya wana Yanga SC kwa Timu yao Kuichangia CCM Milioni 100 imeshaanza Kulipa huko Kigali Rwanda

    Jifanyeni tu mpaka sasa bado hamna Matokeo wakati mapema tu tayari Kipa Mjibinuaji Onyesha Boksa keshawekwa 1...!
  10. chiembe

    JamiiForums Tanzania Rwanda ilifungia makanisa 8000 na nchi iko salama. Kanisa la Gwajima ni sahihi kufungiwa

    Rwanda ilifungia makanisa 8000 ambayo yalikuwa yanaendesha shughuli zake kihuni. Mungu wa mbinguni yupo, na nina imani uamuzi ule Mungu aliukubali kabla hata serikali haijautoa. Kanisa LA Gwajima ambalo linatumika kama pango LA kihalifu kutukana serikali, viongozi, na kuchochea uvunjifu wa...
  11. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo afungua milango mipya ya ushirikiano kati ya Tanzania na Rwanda kupitia mkutano wa jpc Kigali

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefungua rasmi Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Rwanda, uliofanyika tarehe 26 Julai 2025 jijini Kigali, Rwanda. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa...
  12. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo afanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Rwanda

    WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI RWANDA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Rwanda, Mhe. Dkt. Habib Kambanga, katika Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania jijini...
  13. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo apongeza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa jpc Rwanda, ahimiza kuchangamkia fursa za ushirikiano

    WAZIRI KOMBO APONGEZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA JPC RWANDA, AHIMIZA KUCHANGAMKIA FURSA ZA USHIRIKIANO Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amewapongeza wajumbe wa Tanzania waliowasili jijini Kigali, Rwanda kwa ajili ya...
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Kwako Amiri Jeshi Mkuu, ikiwa kuna haja nipo tayari kukuletea funguo za Ikulu ya Rwanda mikononi mwako

    Mheshimiwa Rais, Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, PhD Samia Suluhu Hassan, Kwa heshima kubwa, naandika ujumbe huu kwako kama kijana mzalendo wa Tanzania na Afrika nzima. Nimelelewa katika misingi ya amani, utu na mshikamano wa bara letu, misingi iliyopandikizwa na Mwalimu...
  15. USSR

    JamiiForums Tanzania Ugawaji wa tuzo za wasanii wa Rwanda Tanzania tunalakujifunza sisi ujinga mwingi

    Kuanzia mdhari ya ukumbi, stage, mavazi yaka kiulaya sana burudani zote live band MC hawana ule ujinga wakina mpoki na matusi Tanzania kuna la kujifunza hapa sio kina majizo wanakuja na ndala za kuogea kuchukua tuzo za singeli USSR
  16. T

    JamiiForums Tanzania Makubaliano kati ya DRC na Rwanda, bado kama mtego tu

    You neutralize the FDLR, Rwanda lifts its defense measures. As for the M23, there is the Doha process between Kinshasa and the M23. Kwa miaka kadhaa, inasemekana FDLR walishaingizwa kwenye jeshi la DRC. Na intelligensia ya Rwanda, inazo taarifa kamili na majina. Rwanda inadai kwanza, FDLR...
  17. R

    JamiiForums Tanzania DRC Congo na Rwanda Kusaini Mkataba wa amani leo

    Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo wanatarajiwa kusaini mkataba muhimu mjini Washington wa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda mrefu katika eneo la mashariki mwa Kongo ambapo mzozo huo umesababisha vifo vya maelfu ya watu na kusababisha mateso makubwa kwa raia wa kawaida katika maeneo...
  18. VERITE-NUE

    JamiiForums Tanzania Rwanda: Rais Paul Kagame aonekana hadharani, baada ya tetesi za kumzushia kifo

    President Kagame is in good health: Government dispels online rumors, following a wave of false claims circulating on social media suggesting otherwise.
  19. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Wakubwa zangu kipindi mapanga ya mauaji ya kimbari yanapita mpaka kufika Rwanda hamkuweza kuhisi chochote?

    Naomba kujuzwa hayo mapanga yalitengenezewa wapi na je mpaka yanapita malori yamebeba waliokuwepo kwenye mamlaka hawakuweza kutilia Shaka hata kidogo na je intelijensia haikuweza kujiuliza kwanini kipindi cha migogoro kama hicho kwamba wananchi wanahitaji mapanga kufyeka mashamba.. Jinamizi...
  20. McLaren

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Jeshi la Rwanda lathibitisha Paul Kagame kuwa kwenye hali mbaya ya kiafya

    Wakuu,
Back
Top Bottom