Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 25,101
- 27,195
Kupitia Wasafi FM, aliyekuwa mchezaji na kocha wa zamani wa Yanga, Boniface Mkwasa 'Master' ametoa maoni yake juu ya sakata la mcheza Clement Mzize. Mkwasa amesema Yanga kuendelea kumshikilia Mzize ni kumnyima haki kama Mtanzania. Mkwasa anashauri kijana aende nje akapate uzoefu aje kulisaidia Taifa.
NB: Mkwasa ni mwanachama wa Yanga
NB: Mkwasa ni mwanachama wa Yanga