rayvanny

  1. Shadow7

    Mpiga picha wa Rayvanny: Kutoka kubeba mabegi mpaka kuwa msimamizi wa lebo ya Next level (+ Video)

    Huu mzima? Kijana ambaye huonekana karibu sana na @rayvanny na mara nyingine huonekana akimpiga picha erismzava ameeleza ukaribu wake na Rayvanny na kueleza nafasi yake kwa @rayvanny na pia nafasi yake kwenye labo mpya ya Next Level Music Mzava ameelza kuwa yeye chochote atakachoagizwa na...
  2. Ikaria

    Rayvanny atambulisha rasmi record label yake

    Msanii wa Bongo flavor kutoka lebo ya Wasafi Rayvanny maarufu Vanny boy ametangaza jina la lebo yake ambayo ameipa jina NEXT LEVEL MUSIC. Rayvanny sasa anakuwa msanii wa kwanza Tanzania kuwa na lebo yake ikiwa bado yupo chini ya lebo nyingine (Wasafi)
  3. sinza pazuri

    Rayvanny ndio Mangwea wa kizazi hiki cha muziki

    Nataka tumzungumzie kidogo huyu fundi muziki kutoka WCB yaani Rayvanny aka Chui. Rayvanny ni msanii anaeujua muziki haswa na anaweza kuufanya muziki vile anavyotaka. Kipaji chake sio cha nchi hii naweza kusema yupo mbele ya wakati. Anaweza kufanya aina mbali mbali za muziki na akaua. Anaweza...
  4. Slowly

    Rayvanny amuomba radhi Kajala Masanja

    Rayvanny, Vannboy aka chuiii, toka label nambari moja East and Central Africa ya WCB wasafi, kupitia account yake ya Instagram amemuomba msamaha Kajala.... Kwa tukio lililotokea hivi karibuni la kusambaa kwa video za faragha akiwa na mwanawe Paula ..... Anaandika Vannyboy;- "Duniani wakati...
  5. Slowly

    Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

    Haya haya jamani mji umechafuka kwa mara nyingine tena... Wakati Kajala anaendelea kutrend kutokana na picha zake na Harmonize wakiwa Zanzibar ikidaiwa wawili hao ni wapenzi, leo hii yameibuka mapya baada ya Rayvanny kutoka WCB kupost video akiwa na Paula Mathysse ambaye ni mtoto wa Kajala na...
  6. MSAGA SUMU

    Deo Kisandu aingia studio kutoa album, Rayvanny, Harmonize na Darasa matumbo joto

    Mpaka sasa taarifa inayotambaa na kutrend mitandaoni ni inshu ya msanii wa kizazi kipya Don Nalimison maarufu kama Deo Kisandu kuachia album yake iliyopewa jina ANTIBIOTIC ALBAM. Baada tu yakutangaza ujio wa albamu hiyo wachambuzi wakubwa wa muziki waliwaonea huruma wasanii kadhaa wa bongo...
  7. B R A C E L E T

    Album ya Rayvanny "Sound from Africa" uchambuzi, ratings!!, cons and pros, Karibu.

    Album ya Rayvanny "Sound from Africa" uchambuzi, ratings!!, cons and pros, Karibu. Raymond Shabani Mwakyusa a.k.a Rayvanny kaachia album yake ya kwanza toka anze Carrier yake ya muziki miaka kadhaa iliyopita. Jina la Album : Sound from Africa Wasanii walio-shirikishwa jumla 20 13...
  8. Slowly

    Tangu sasa nitakuwa namfuatilia sana Rayvanny kwenye Digital Platforms zote

    Huyu mwamba huwa namwelewa Sana, hasa ngoma zake za kubembeleza , ni fundi haswa , sioni mpinzani Kwa huyu king Leopard , ..... First nilimuapreciate sana Dimond Kwa ngoma zake za hsia lakn tangu aturn back na kuanza kuimba ngoma ambazo mi binafsi simuelew , nafkr yeye Kwa kutafta soko nje but...
  9. Mkogoti

    New Video: Rayvanny ft Diamond Platnumz- Amaboko

    Nyimbo ya Amaboko imeshawekwa YouTube na Views Wanazidi kupanda tu, Nami najiandaa hapa nikanunue Shuka la kimasai nivae Kama Laizer vile,😂
  10. M

    Amaboko ya Diamond & Rayvanny yabuma

    Wakuu sikutegemea wakongwe hawa wawili wenye medali za kimataifa kutoa song halafu isiwe hitsong. Naomba niwape pole sana WCB pamoja na fans wao, ni wakati sasa wa kujitafakari hasa ndugu yangu Rayvanny na wenzako hii sio hatua nzuri ni mbaya maana mtapanik na mwishowe mtafeli mazima
  11. U

    Tetesi: Rosa Ree kuingia WCB Wasafi. Tazama Ngoma Waliofanya na Rayvanny

    Inasemekana etiii WCB Wasafi wanampango wa kumnyakuwa Rapper wa Kike Rosa Ree, Ngoma waliofanya na rayvanny ni kuanza kuandaa mashabiki kwa ujio huo mpya ndani ya WCB Wasafi Ngoma yake mpya iliyokaa number moja trending kwa siku kadhaa youtube akiwa na rayvanny nimekuwekea hapa chini:
  12. H

    Miss Buza ya Rayvanny

    Nimependa sana video ya Rayvanny pamoja na audio yake, Rayvanny jamaa ni mbunifu sana. Video yake nimependa sana mwanzo wa video wakati Rayvanny amelala na demu wa Buza, wakati Rayvanny anachungulia kijicho kimoja demu akaamka akaanza kubeba vitu vya Rayvanny ila alipataka kuchukua wallet ya...
  13. kid ink tz

    Rayvanny afichua siri ya Harmonize kuondoka WCB

    Pamoja na Jina la Harmonize kuwa kubwa ila inaonekana RayVanny kamzidi mkali huyo kwenye mapato. Kupitia Dizzim online jana Rayvany amefunguka vitu vingi juu ya beef la Harmonize na WCB Wasafi. Amefunguka kwa kusema mwanzo alijua mwenye kosa ni Uongozi wa Wcb Wasafi akawa anawalaumu management...
  14. H

    Ushauri wangu kwa Rayvanny

    Mwanamziki wa kimataifa Rayvanny Boy mwenye sauti tamu Kama vanilla au ukipenda unaweza kumwita chui kutoka kwenye moja ya label kubwa Africa WCB, hivi karibuni ameandaa project inayoitwa Flowers ambayo ataitoa kwenye siku maalumu ya Valentine's Day yenye track 8 zikiwa zimekuwa produced na...
  15. gonamwitu

    Rayvanny: Almasi pekee iliyobakia WCB

    Ahlan wasahlan wanajamvi, Wazima ninyi? Hopefully wote wazima. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Honestly speaking, Rayvanny ndiyo almasi pekee iliyobakia WCB, kivipi? Twende kazi... 1. Rayvanny ni msanii ambaye ni 'complete package', ana uwezo wa kuandika kuliko wasanii wote...
  16. H

    Asante bongo star search kwa kumleta rayvanny

    Kitendo Cha bongo star search kumualika rayvanny Kama guest judge kimewafurahisha wengi nikiwemo mimi.Pamoja kwamba Rayvanny ni msanii mkubwa na mwenyekufanya vizuri lakini rayvanny ana kipaji kingine Cha uchekeshaji tangu bongo star search watangaze salama hatakuwemo msimu huu upande wa...
  17. H

    Mawe, ngoma ya Nyandu Tozzy ft Rayvanny & Mr Blue

    Hi ngoma nimeikubali ile mbaya imewakutanisha wasanii wakali na kimetoka kitu kikali. Rayvanny kapiga corus nzuri as usual, Nyandu Tozzy katupia mistari kutu alafu akamaliza mtu mbaya Mr Blue. Ngoma Kali kuanzia audio mpaka video. Big up to them!
  18. H

    Rayvanny na Director Kenny washinda tuzo ya AFRIMMA

    Mwanamziki kutoka label ya WCB Rayvanny Boy a.k.a Sauti ya Vanilla na director Kenny kutoka Zoom Production chini ya WCB, wameshinda tuzo ya AFRIMMA AWARD. Rayvanny amechukua Video Bora of the Year Africa kupitia wimbo wa Tetema ft Diamond na Director Kenny amechukua Director Bora of the Year...
  19. Nobunaga

    Rayvanny - I Love You, Mbosso - Ate, Lavalava - Tekenya: Naona mmeamua kutuchezea nyie vijana wa WCB

    Rayvanny wa I Love You sio yule wa Kwetu na Natafuta Kiki. Mbosso wa Ate sio yule wa Hodari na Maajabu. Lavalava wa Tekenya sio yule tulomzoea wa mapini makali kama Bora Tuachane na Niuwe. Hivi nyie vijana wa WCB ndio mmeamua kuprove kwamba Harmonize alikuwa mkali namba 2 kama sio namba 1...
  20. Hazard CFC

    I love you - Rayvanny | Wimbo Maalum kwa wapendanao

    Wimbo maalumu kwa wapendanao. Mtag yoyote umpendae hapa. Wa kwangu nita mtag mwishoni kabisa mwa comments zote I Love You – Rayvanny Lyrics, Letra: Ilikuwa safari ndefu yenye mateso Machozi mizigo vikwazo Ila yote umenitua Naomba penzi letu lisife kesho Ukanipa pressure mawazo Chonde mama...
Back
Top Bottom