rayvanny

  1. Nobunaga

    JamiiForums Tanzania Rayvanny - I Love You, Mbosso - Ate, Lavalava - Tekenya: Naona mmeamua kutuchezea nyie vijana wa WCB

    Rayvanny wa I Love You sio yule wa Kwetu na Natafuta Kiki. Mbosso wa Ate sio yule wa Hodari na Maajabu. Lavalava wa Tekenya sio yule tulomzoea wa mapini makali kama Bora Tuachane na Niuwe. Hivi nyie vijana wa WCB ndio mmeamua kuprove kwamba Harmonize alikuwa mkali namba 2 kama sio namba 1...
  2. Hazard CFC

    JamiiForums Tanzania I love you - Rayvanny | Wimbo Maalum kwa wapendanao

    Wimbo maalumu kwa wapendanao. Mtag yoyote umpendae hapa. Wa kwangu nita mtag mwishoni kabisa mwa comments zote I Love You – Rayvanny Lyrics, Letra: Ilikuwa safari ndefu yenye mateso Machozi mizigo vikwazo Ila yote umenitua Naomba penzi letu lisife kesho Ukanipa pressure mawazo Chonde mama...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Diamond, Rayvanny, Nandy, Lil Ommy washinda tuzo Marekani

    Wasanii kutoka Tanzania washinda tuzo ya east entertainment awards USA ambapo hizo tuzo zilifanyika USA.Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania diamond platnumz alishinda katika kipengele Cha best collaboration ft (baila),rayvanny na nandy wameshinda kwenye kipengele Cha best male/female east and...
  4. Barcelona763

    JamiiForums Tanzania Wacha waseme

    Sina neno kwa WasafiFestival
  5. Barcelona763

    JamiiForums Tanzania Msanii bora Bongo flava 2018

    Mwaka wa 2018 msanii bora 2018 ni yupi na wimbo bora was mwaka kutoka kwake ni ipi ?
  6. Barcelona763

    JamiiForums Tanzania Yupi ni msanii bora wa bongo flava kwa sasa?

    Msanii yupi ambae kwa sasa hivi anafanya vizuri sana kwa katika kazi zake za muziki mwaka huu ni nani ?
Back
Top Bottom