ramani

  1. E

    Ramani ya nyumba vyumba viwili kwa watanzania wakawaida

    Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu naanda hii ramani ya nyumba ya vyumba viwili kwaajili ya watanzania wenye uchumi wa kawaida kama mimi. Unaweza kujionea hapa chini. Ila bado haijamalizika.
  2. EJOSMAT

    Mtindo mpya wa ujenzi Tanzania hiden roof (contempolary)

    Contempo.(hiden roof) ni mtindo mpya wa ujenzi wa nyumba Tanzania lakini wengi wanaishia kupata hasara kwasababu wanajenga bila kua na michoro ya kitaalamu hivyo zinaishia kuvuja. Ili ujenge mtindo huu unatakiwa kwanza kuwasiliana na wataalamu wa ramani wakuandalie mchoro hutapata shida...
  3. Richard

    Nchi za mabeberu wana Ramani zinazoonyesha maliasili ilipo Tanzania na nchi nyingine mbili. Wao wanaamini walitukabidhi tuwatunzie lakini si zetu

    Nchi za Tanzania, Angola na Congo DRC ni nchi muhimu katika mstakabali mapinduzi ya viwanda barani Ulaya na Marekani. Mwaka 2020 Uingereza walitangaza kuachana na magari yatumiayo mafuta ya diseli na petroli kufikia mwaka 2030 na wameazimia kuanza kutengeneza magari zaidi yatumiayo betri. Hata...
  4. becknature

    Ramani na ukadiriaji wa matirio

    Kwa mahitaji ya ramani kwa gharama nafuu pia ukihitaji schedule of materials ambayo itakusaidia kwenye kufahamu idadi ya materials ya ujenzi wako, contact 0679851483/0754984819. Hii design in two bedrooms, na one masterbedroom,kitchen,dining,sitting room,store, design cover 11m x 12.5m. hii...
  5. Mwita Mtu Mrefu

    Hivi ni kwanini Israel imeshindikana kufutika kwenye ramani ya dunia?

    Habari JF.. Hizi habari za israel kufutwa kwenye ramani ya dunia na maadui zake nimezisikia toka zamani sana. Hivi wanakwama wapi hawa wanaotaka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia? Israel kazungukwa na maadui pande zote lakini bado anadunda. Je, wanakwama wapi?
  6. E

    Kama una ramani haina vipimo na unahitaji vipimo ilete hapa utafutiwe vipimo ndani ya dakika mbili

    Habari wakuu, Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu sasa nimepata ufumbuzi wa kuweza kujua vipimo vya ramani yoyote ile ambayo haina vipimo kwa haraka (express) ni zoezi la dakika mbili tu bila kuumiza kichwa. Basi kama una karaman hakana vipimo na alafu unahitaji vipimo vyake kalete hapa...
  7. Nyumba Nafuuu

    Nyumba zaidi ya 30 za Kitanzania ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako

    Zifuatazo ni Aina Kadhaa za Nyumba za kuishi Familia ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako. Zipo ktk uwanja mpana wa STAILI, KIASI CHA KIWANJA, KIASI CHA VIFAA... Kutazama Ramani Zake za Ndani +255-657-685-268 WhatsApp 1 ==> vyumba 3, tofali 1700, bati 50 2 ==> vyumba 3...
  8. becknature

    Ramani na makadirio ya material

    Hii ramani ina masterbedroom, two bedrooms, sitting room,kitchen, dining,store room, public toilet na ina urefu 12.25m x upana 13.05m. kwa mahitaji ya ramani, makadirio, ushauri na usimamamizi wa ujenzi contact 0679851483/0754984819.
  9. Nile_house_designs

    UJENZI: Let us transform your design ideas into reality - Nile house designs

    UJENZI: Let us transform your design ideas into reality: NILE HOUSE DESIGNS (nilehousedesigns on instagram). Karibu tukutengenezee nyumba ya ndoto yako, tuambie unataka nini na sisi tutaboresha wazo lako. Kwa bei poa kabisa utapata design yako Baadhi ya kazi zetu Affordable price tupigie...
  10. U

    Tujikumbushe: Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Kenneth Kaunda wakioneshwa ramani ya ujenzi wa reli ya Tazara

    Tukio hili limetokea miaka ya 1970's wakati wa mchakato wa Ujenzi wa Reli ya Tazara inayounganisha nchi za Tanzania na Zambia. Mradi huo wa kimkakati ulifadhiliwa na na Serikali ya China...
  11. E

    Ramani bomba ya nyumba vyumba vinne

    habari za Leo wakubwa, Leo nimeamua kuleta karamani kakali kidogo unaweza kujionea mwenyewe. Haka karamani kana vyumba vinne. Ila chumba kimoja ni kidogodogo kinaweza kutumika kama study room au pray room.
  12. E

    Ramani kali ya nyumba toleo jipya

    Leo nawaletea karamani kapya. Ni ingizo jipya kabisa.
  13. Black Thought

    Ni sababu ipi hupelekea watu kujenga bila ramani au kwa ramani za kukopi kutoka kwa watu wengine?

    Habarini wakuu. Hivi ni kwanini watu hujenga kwa ramani za kufikirika tu zisizokuwa na mpangilio wa kitaalamu. Yaani umejibana kukusanya milioni zako flani, unamtafuta fundi na kumtajia idadi ya vyumba tu ajenge au unampa mfano wa ramani uliyoipata kwenye mtandao. Hebu fikiria umetumia milioni...
  14. vaxromeo91

    INAUZWA Offer ya Ramani Tsh. 80,000

    Vyumba vinne, Master bedroom, sitting room, dining room, jiko na stoo Bei 80,000/= Offer ya siku chache karibuni Mawasiliano: 0766043459 Karibuni
  15. E

    Njoo uchukue ramani ya bure kabisa ukajenge

    Habarini ndugu na marafiki, Sote ni ndugu kwa sababu sote ni watanzania kwa hivyo sio vibaya wakati mwingine kusaidiana. Sasa leo hii nimeamua kutoa ramani ya bure kabisa ili ukajenge. Ukihitaji PDF file yake klick hapo chini kabisa nimesha kuwekea. Kumbuka vipimo vyote kwenye hii ramani...
  16. yuda75

    Naitaji ramani ya nyumba

    habari naitaji ramani ya nyumba vyumba vitatu na sebule chumba kimoja master then public toilet kiawanja ni sq 15/15 kipo arusha pia ni flat hakuna mwinuko hata kidogo pia nipate kujua vifaa na idadi ya vitu vitakavyo itajika hadi kufika kwenye lentaa asanteni
  17. E

    Ramani kali ya nyumba ya kuishi

    Habari za leo wakuu, Kama nilivyo ahidi kwamba bado naendelea na mradi wa uchoraji wa ramani. Ambapo nimefanikiwa kuchora ramani za nyumba 20 mpaka sasa. Na hii ni moja ya nyumba moja ambayo naendelea kuipamba zaidi.
  18. E

    Ramani bomba ya paa la nyumba

    Habarini za wakati na wasaa huu wana jamii forum. Basi leo nimekuja na ramani bomba ya paa la nyumba kama inavyoonekana katika picha hizi.
  19. E

    Ramani maridadi ya nyumba ya kuishi bado inaendelea kuchorwa

    Habari za leo wadau, Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost ramani ya nyumba ile ambayo naendelea kuchora. Hivyo hapa ndipo nilipo ishia. Ila bado naendelea nayo kila napo pata muda.
  20. E

    Uchoraji na ubunifu wa ramani za nyumba

    Habari za leo ndugu na marafiki, natumai mu wazima wa afya njema. Bado naendelea na uchoraji na ubunifu wa ramani za nyumba bomba. Hii ni moja ya ramani ambayo naendelea nayo na hapa ndipo nilipofikia kwasasa. Ila bado haijamalizika bado naendelea kuipamba zaidi.
Back
Top Bottom