ramani

  1. vaxromeo91

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Offer ya Ramani Tsh. 80,000

    Vyumba vinne, Master bedroom, sitting room, dining room, jiko na stoo Bei 80,000/= Offer ya siku chache karibuni Mawasiliano: 0766043459 Karibuni
  2. E

    JamiiForums Tanzania Njoo uchukue ramani ya bure kabisa ukajenge

    Habarini ndugu na marafiki, Sote ni ndugu kwa sababu sote ni watanzania kwa hivyo sio vibaya wakati mwingine kusaidiana. Sasa leo hii nimeamua kutoa ramani ya bure kabisa ili ukajenge. Ukihitaji PDF file yake klick hapo chini kabisa nimesha kuwekea. Kumbuka vipimo vyote kwenye hii ramani...
  3. yuda75

    JamiiForums Tanzania Naitaji ramani ya nyumba

    habari naitaji ramani ya nyumba vyumba vitatu na sebule chumba kimoja master then public toilet kiawanja ni sq 15/15 kipo arusha pia ni flat hakuna mwinuko hata kidogo pia nipate kujua vifaa na idadi ya vitu vitakavyo itajika hadi kufika kwenye lentaa asanteni
  4. E

    JamiiForums Tanzania Ramani kali ya nyumba ya kuishi

    Habari za leo wakuu, Kama nilivyo ahidi kwamba bado naendelea na mradi wa uchoraji wa ramani. Ambapo nimefanikiwa kuchora ramani za nyumba 20 mpaka sasa. Na hii ni moja ya nyumba moja ambayo naendelea kuipamba zaidi.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Ramani bomba ya paa la nyumba

    Habarini za wakati na wasaa huu wana jamii forum. Basi leo nimekuja na ramani bomba ya paa la nyumba kama inavyoonekana katika picha hizi.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Ramani maridadi ya nyumba ya kuishi bado inaendelea kuchorwa

    Habari za leo wadau, Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost ramani ya nyumba ile ambayo naendelea kuchora. Hivyo hapa ndipo nilipo ishia. Ila bado naendelea nayo kila napo pata muda.
  7. E

    JamiiForums Tanzania Uchoraji na ubunifu wa ramani za nyumba

    Habari za leo ndugu na marafiki, natumai mu wazima wa afya njema. Bado naendelea na uchoraji na ubunifu wa ramani za nyumba bomba. Hii ni moja ya ramani ambayo naendelea nayo na hapa ndipo nilipofikia kwasasa. Ila bado haijamalizika bado naendelea kuipamba zaidi.
  8. E

    JamiiForums Tanzania Ramani bomba ya nyumba ya kuishi

    Habari za wasaa huu ndugu na marafiki. Bado naendelea na mradi kuchora Romai ya nyumba bomba ya kuishi. Ila bado sijamaliza. Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost kila napofikia. Na hapa ndipo nilipofikia. Lakini bado kazi inaendelea. Mpaka pale nitakapo kuwa nimemalza...
  9. becknature

    JamiiForums Tanzania Ramani na idadi ya materials

    Habari wakuu, nina taaluma kutengeneza hesabu na gharama za materials na idadi ya materials, mfano kutambua idadi ya matofali,mabati, misumari, mbao za roof structure na ceiling blandering/gypsum board, idadi ya zege (cement, sand/trip za mchanga and Aggregate/trip za kokoto), Idadi ya nondo...
  10. Black Thought

    JamiiForums Tanzania Pata ramani ya nyumba aina yoyote kwa bei nafuu

    Habari wakuu, Ninatoa huduma ya michoro ya ramani za nyumba. Ramani zipo nyingi za aina na ukubwa tofauti, hivyo nitatoa kulingana na mahitaji ya mteja na kufanya marekebisho kidogo ili kukidhi hitaji husika. Utanipa 'details' zako kamili na maelezo ya kiwanja chako. Marekebisho ninayofanya ni...
  11. Wachatech

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Wasiliana nami kwa mahitaji ya ramani

    Ramani ya nyumba hii ina; -Vyumba vinne vya kulala Kimoja master,kingine self na viwili vya kawaida -sebule -jiko -store -dining -public toilet Ina ukubwa wa mita 17 kwa 13 Kwa mahitaji ya ramani hii na ramani zingine Wasiliana nami whatsapp 0678418272 abuuammar11@gmail.com
  12. hery_edson

    JamiiForums Tanzania Karibu tukutengenezee ramani za umeme kwa majengo mbalimbali kwa gharama nafuu

    Habari wana Jamiiforums mimi ni mhandisi umeme upande wa ushauri, kwa yeyote mwenye uhitaji wa kuandaliwa na kutengenezewa michoro ya umeme(lighting with power system) pamoja na mfumo wa vifaa vidhibiti moto (fire detection system), karibu tukuhudumie tunafanya kazi ya kuandaa michoro kwa muda...
  13. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ramani: Nchi za Afrika zinazosechiwa Google na nchi nyingine za Afrika

    Afrika Kusini wanasechi sana ishu za Zimbabwe Zimbabwe wanawasechi sana Afrika Kusini Congo wanawasechi sana Nigeria Tanzania na Uganda tunawafatilia mno majirani zetu Kenya Burundi wanawasech sana Rwanda
  14. yuda75

    JamiiForums Tanzania Ramani ya nyumba

    Habari wadau naitaji ramani ya nyumba ya vyumba vitatu na sebule isiwe yakuwekeza kwa bati nataka izi za kisasa. Kiwanja changu ni 15*15 kipo Arusha ila mmi nipo DSM kiwanja kipo sehemu flati na kipo vizuri kabisa. Msaada wenu au ushauri wadau.
  15. 2019

    JamiiForums Tanzania Ni nini hatma ya Mji wa Kawe? Ulipendeza sana kwenye ramani

    Kiukweli wanakawe watamkumbuka sana JK kwa mradi huu. Muonekano wake ni mzuri sana. Cha kushangaza toka mzee mzima Magu aingie mradi umebaki magofu sasa. Jambo la kujiuliza: Je, mradi huu ulikuwepo kibajeti au kulikua na ufisadi ndani yake? Kwanini umesimama toka 2016? Mwenye kujua chochote...
  16. demigod

    JamiiForums Tanzania Sikuamini nilipoambiwa kuwa Senzo aliondoka na ramani ya usajili, sasa nimeamini

    Hivi mashabiki wenzangu mnapendezwa na namna ya usajili wetu unavyoenenda hivi sasa. Ona sasa vituko hivi, Kuna mshambuliaji kutoka Lusaka Dynamo Chrispine Mugalu (ambaye huenda akasaini ndani ya siku 2 zijazo klabuni kwetu). Huyu ni forward ambaye takwimu zake za ufungaji ni za kiduwanzi...
  17. WilsonKaisary

    JamiiForums Tanzania Kwa mahitaji ya ramani za majengo

    Kwa kupata Huduma hizi wasiliana nasi 0626814150/0765105802. 1.Ramani za Majengo ya kibiashara <Lodge, Guest house, hotel, mighawa, maghala supermarket>, Huduma za kijamii <Shule, hospitali> na Majengo ya makazi (Architectural drawings). 2.Ramani za michoro ya Nondo (Structural Drawings)...
  18. WilsonKaisary

    JamiiForums Tanzania Kwa mahitaji ya ramani za majengo

    Kwa kupata Huduma hizi wasiliana nasi 0626814150/0765105802. 1. Ramani za Majengo ya kibiashara <Lodge, Guest house, hotel, mighawa, maghala supermarket>, Huduma za kijamii <Shule, hospitali> na Majengo ya makazi (Architectural drawings). 2. Ramani za michoro ya Nondo (Structural Drawings) 3...
  19. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

    Chasis ya Scania Bus engine nyuma Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani. Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Ramani za nyumba na ujenzi

    Doltu Architects offers design and planning services for new construction, renovations and additions for commercial and residential projects.Our architectural fee are competitive and our services are of great value. contacts: 0654003555 mail:doltuarch@gmail.com
Back
Top Bottom