Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

Smartkahn

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2020
Posts
910
Reaction score
1,532
Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii.

Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani.

Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu wake kuwajibika... njoo uwajibike kiongozi.

NB. Hakuna mbinu ya kijasusi inayoweza kuponya hili jeraha, ni jeraha linalotonesheka milele hivyo adui atakuwa anatumia udhaifu huo kutudhoofisha katika mapambano... Ili kupona jeraha ni muhimu sana kama sio lazima kukiri na kusafisha serikali hasa wale wote wanaotajwa kwenye uvumi wa CCM mtandao ni wakuwaondoa wote bila kujali uvumi huo ni wakweli au sio wakweli.

Nafasi nzuri ya kufanya haya maamuzi ni kipindi hiki wakati wa kuridhiana... Tofauti na hapo Taifa linakua limeharibika rasmi.

+Positivity
 
Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii.

Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani.

Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu wake kuwajibika... njoo uwajibike kiongozi.

NB. Hakuna mbinu ya kijasusi inayoweza kuponya hili jeraha, ni jeraha linalotonesheka milele hivyo adui atakuwa anatumia udhaifu huo kutudhoofisha katika mapambano... Ili kupona jeraha ni muhimu sana kama sio lazima kukiri na kusafisha serikali hasa wale wote wanaotajwa kwenye uvumi wa CCM mtandao ni wakuwaondoa wote bila kujali uvumi huo ni wakweli au sio wakweli.

Nafasi nzuri ya kufanya haya maamuzi ni kipindi hiki wakati wa kuridhiana... Tofauti na hapo Taifa linakua limeharibika rasmi.

+Positivity
Aisee KIKWETE Tena wa kazi gani hana faida yoyote Tanzania ndo chanzo cha matatizo tunayopitia. Kuna tukio nilisikia huko msoga kama ni kweli ndo maana kakaa kimya.
 

Attachments

  • 1777750075107.Screenshot_20260502-222609.png
    1777750075107.Screenshot_20260502-222609.png
    301.2 KB · Views: 7
  • 1777750100335.Screenshot_20260502-222627.png
    1777750100335.Screenshot_20260502-222627.png
    244.1 KB · Views: 5
  • 1777750044696.Screenshot_20260502-222656.png
    1777750044696.Screenshot_20260502-222656.png
    212 KB · Views: 6
Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii.

Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani.

Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu wake kuwajibika... njoo uwajibike kiongozi.

NB. Hakuna mbinu ya kijasusi inayoweza kuponya hili jeraha, ni jeraha linalotonesheka milele hivyo adui atakuwa anatumia udhaifu huo kutudhoofisha katika mapambano... Ili kupona jeraha ni muhimu sana kama sio lazima kukiri na kusafisha serikali hasa wale wote wanaotajwa kwenye uvumi wa CCM mtandao ni wakuwaondoa wote bila kujali uvumi huo ni wakweli au sio wakweli.

Nafasi nzuri ya kufanya haya maamuzi ni kipindi hiki wakati wa kuridhiana... Tofauti na hapo Taifa linakua limeharibika rasmi.

+Positivity
Yuko Marekani
 
Back
Top Bottom