Watu wote wanao msifia rais hata pale ambapo haistahili hii inakuwa tena sio sifa bali ni dhihaka. Wengine wamefika hata mahali pa kumwita kuwa yeye ndiye Mungu au Yesu, hii ni dhihaka na kufuru kubwa.
Viongozi na watanzania tuache unafiki wa kutumia mwanya uliopo ili kujinufaisha. Haya mambo...