jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Diwani machachari wa Chadema Arumeru ambaye aliandika kitabu kinachoelezea mafanikio ya Rais Magufuli ameachana na Chadema na kujiunga na NCCR Mageuzi.
Amechukizwa na siasa chafu za kuponda maendeleo zinazofanywa na Chadema.
Huyu Diwani Mrembo kuliko wote huko Arumeru na ni mwanathiolojia anaitwa Eva Kaaya