Leo jumatatu, Septemba 11, 2023 nimemsikia Rais wa Tanzania akisema hivi;
1. Anadai wanaotaka katiba mpya hawajui ni vifungu gani vibadilishwe
2. Anadai katiba haiwezi kuleta maendeleo
3. Kwa kifupi anasema wanaoomba katiba mpya hawajui chochote kile
Je, Rais kama kweli aliuliza watu wawili...