rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Samia atosha tukutane2030

    Ombi kwa Rais Samia, Niko chini ya miguu yako Rais Samia

    Rais Samia tafadhali naomba usicheke na yeyote kwenye mambo ya kitaifa. Usiwe mpole sana. Huo upole wako ndio uliopelekea ghasia za October 29 -31. Wanasiasa walioumizwa kipindi cha Magufuli hawakuweza kutoa kauli yoyote , wanasiasa waliozoea kula pesa za ubunge lakini Magufuli akaweka wabunge...
  2. M

    Ninyi Makada wa CCM mliochukua baiskeli, pikipiki, khanga na tisheti za Rais Samia wakati hamumtaki mnajisikia vipi leo hii?

    Baiskeli, Pikipiki, Khanga , tisheti na kofia mligawiwa kama njugu. Mkakataa waziwazi kiongozi wenu. Mkasombwa, maloli matrekta na matela ya punda kujaza mikutano. Leo hii mnatumia hizo baiskeli na pikipiki kwa shughuli zenu huku kumbe hamumtaki kiongozi wenu. Mnajisikia vipi?
  3. Msanii

    Kumtambua Samia kwamba ni rais ni kuunga mkono mauaji ya halaiki Oktoba 29+

    Familia ya wanamtandao wamejazana JF kuanzisha mijadala inayohanikiza kuwa tuna serikali. Tanzania leo inaongozwa na kundi la wahaini waliobaka Katiba, walioharibu mifumo ya demokrasia na hatimaye kuua bila huruma Watanzania 10,000 ili waendelee kutawala. Yeyote anayemtambua Samia kama rais ni...
  4. M

    Kwa kauli ya Rais Samia aliyoitoa mbele ya Mabalozi imeonyesha alikusudia kabisa kilichotokea Oktoba 29

    Nimeshangaa sana mimi kama Mwalimu. Rais Samia pia alikiri changamoto zilizotokea kutokana na vurugu na ukosefu wa utulivu siku ya uchaguzi na muda mfupi baada yake, akisema: “Licha ya mafanikio haya makubwa, kwa masikitiko tunatambua changamoto zilizotokea kutokana na vurugu na ukosefu wa...
  5. W

    Rais Samia atoa pole kwa wageni kutoka nje kufuatia kukatika kwa intaneti na usumbufu wa huduma wakati wa uchaguzi

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema mwaka 2025, Tanzania ilifanya uchaguzi wake mkuu wa saba ambao ulikuwa na mafanikio makubwa ikiwamo kufikia asilimia 44 ya wabunge wanawake na kwamba uchaguzi huo uligharamiwa kwa fedha za ndani. Licha ya mafanikio hayo, pia Rais Samia amebainisha changamoto...
  6. N

    Makosa ya Rais Samia kwenye Baraza la Mawaziri

    Naanza kwa kutanguliza interest zangu kuwa naipenda Tanzania na Samia nakutakia umalize Urais wako salama 2030 utuachie nchi ikiwa salama. 1 . Baraza lako la mawaziri kuna watu umewaacha ambao walikuwa watendaji wazuri sana , hii nchi yetu inahitaji viongozi wakali na katili tu . Mfano wizara...
  7. Roving Journalist

    Rais Dkt. Samia Akifungua Mwaka Na Mabalozi Wanaowakilisha Nchi Zao Tanzania, Januari 15, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=smcyAJSocyA Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewahutubia Mabalozi na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa katika Mkutano wa Sherry Party uliofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma, tarehe 15 Januari 2026, akisisitiza umuhimu wa diplomasia, ushirikiano wa kimataifa na...
  8. Pascal Mayalla

    Waungwana Wakiahidi, Wanatekeleza!, Rais Samia Aliahidi Kuanza Mchakato wa Katiba Mpya, Ndani ya Siku 100 za Kwanza, Je Atatekeleza?

    Wanabodi Hii ni makala yangu ya kufungulia mwaka kwenye gazeti la Leo la Mwananchi https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/taamuli-huru-tathmini-yangu-kuhusu-hotuba-ya-rais-samia-kuaga-mwaka--5325972 Makala hii pia imetoka kwenye gazeti la Nipashe Asante Rais Samia Hotuba Mwaka Mpya, Kubwa...
  9. M

    Mbona Rais Samia hana watetezi mitandaoni kama mtangulizi wake Magufuli? Wanaojaribu kumtetea ni kama hawana mashiko

    Mitando ndio inatoa taswira ya hali halisi. Kwa mantiki hii ni kuwa bado rais Samia hakubaliki kama ilivyokuwa mtangulizi wake. Nimeona jana kuna mmoja yupo Kibaha. Anaponda watu kupinga Simbachawene kutumbuliwa. Naona kama mtu ambaye hajitambui. Kwa ufupi watu hawamkubali kabisa Rais...
  10. Idugunde

    Jaji Mkuu anaomba maslahi mazuri toka kwa Rais Samia, Mahakama zitakuwa huru? Kwanini asiombe katiba ibadilishwe ili awe anajipangia fungu lake?

    Nahisi kama tangu tumepata uhuru huyu atakuwa Jaji mkuu ambae yupo linked na siasa. Analialia kuwa yeye na mahakimu wake wana hali mbaya kimaslahi hivyo anaomba waongezewe posho. Hapa mahakama zitakuwa huru? Mimi nilitarajia aombe mabadiliko ya sheria ambayo yatamfanya awe na mhimili ambao...
  11. Sifi Leo

    Hizi kauli za Samia zinanichanganya sana. Je, nijinyonge kwa Ajili ya nchi yangu ndo mjue naipenda?

    Siku aliyokuwa anaongea na Taifa Stars baada ya kutolewa AFCON, nilimsikia anasema siku Ile ya mechi alikuwa amefunga kwa hiyo aliangalia mpira akiwa MEZANI anafuturu, nikajiuliza real RAIS Samia anafunga na kumwomba Mungu? Nikajiuliza haya matukio ya watu KUTEKWA akiwa anaongea na Mungu...
  12. Sifi Leo

    Nina wasiwasi, waliotekwa wapo magerezani ila hawachangamani na WENZAo, Rais Samia amejuaje Gerezani Kuna uonevu?

    Nina wasi wasi waliotekwa wapo magerezani na ndo ao aliowataja Samia Leo yakuwa wapo magerezani kwa uonevu Lakini hivi kweli kelele tulizo dhidi ya waliotekwa RAIS Samia hatuwlewi kweli? Hiki ni kiburi au ni kitu Gani? Mtu km mdude, pole pole,soka n wenzake kweli Samia ameamua kuwapoteza?
  13. Taasisi ya Mifupa-MOI

    Amshukuru Rais Samia kwa kugharamia matibabu ya mtoto wake

    Mkazi wa Dar es Salaam, Simon Bryson amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kugharamia matibabu ya mtoto wake Nilsa Simon kufuatia ombi lake kupitia mitandao ya kijamii mtoto wake asaidiwe matibabu . Bw. Simon ametoa shukurani hizo leo Januari 13...
  14. M

    Hivi rais Samia huwa anaambiwa ukweli na wasaidizi wake? Kuna Mtanzania yoyote ana imani na Mahakama hii inayomuweka Lissu Mahabusu bila kosa?

    Nimeangalia sasa hivi anahutubia huko Dodoma kuwa Watanzania wana imani na mahakama. Huu ni uongo. Maana mahakama yenyewe imejaa rushwa na maonevu. watu wengi wapo mahakamani hawana makosa. Lissu hana makosa lakini hakuna Jaji aliyethubutu kumuachia pamoja na kuwa mpaka sasa jamhuri haina...
  15. Wazolee

    Raisi Samia umetufanyia mengi mazuri pia, usisahau hili elimu yetu tutumie kiingereza kuanzia chekechea

    Kwanza nakupa pongezi raisi wangu Kwa kutoyumbishwa na watu ambao hawaitakii mema nchi yetu Kwa hili nakupingeza sana. Umetufanyia mambo mengi sana mazuri mpaka Sasa nchi imetulia na uchumi wetu umetulia endelea kupiga kazi mama. Kuna hili jambo la lugha ya kufundishia elimu yetu ya awali Yani...
  16. Roving Journalist

    Rais Samia: Hakuna Taifa linaloweza kuwa na maendeleo endelevu bila usimamizi mzuri wa haki

    Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati anafungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma, leo Januari 13, 2026.
  17. Roving Journalist

    Rais Samia: Haki lazima itendeke bila uchoyo na upendeleo

    Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati anafungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma, leo Januari 13, 2026.
  18. Roving Journalist

    Rais Samia afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA)

    Rais Samia akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma, leo Januari 13, 2026. https://www.youtube.com/watch?v=od8VaTsRChE Jaji Mkuu George Mcheche Masaju amesema kuwa Mahakama sasa...
  19. M

    Kinachotokea sasa hivi hapa nchini kilifundishwa na Thomas Aquinas mwaka 1225 mpaka 1274. Naturally wananchi wametambua rais Samia hafai kuwa rais wao

    That is called natural law. Ni uwezo wa binadamu kufahamu kuwa kipi ni sahihi na kipi kibaya. Mpaka sasa Watanzania wameshatambua kuwa rais Samia hawafai. Maana hakuna anachowasaida zaidi ya kupendelea watoto wake na kufanya ufisadi na waarabu ambao ni wajomba zake. Naturally watanganyika kwa...
  20. funaku

    Rais Samia akutana na Waziri wa Nchi za nje wa China Wang Yi

    Leo hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na muwakilishi wa Rais wa China XI JI PING ambaye ni waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa china ndugu WANG YI. Mambo muhimu yaliyojadiliwa ni kuhusu kuboreshwa kwa mahusiano ya kihistoria kati ya China na Tanzania pamoja na...
Back
Top Bottom