rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Cute Wife

    PreGE2025 Shirika la nyumba NHC kudhamini kongamano la kisiasa la kichawa la 'Nasimama na Mama' ni sawa?

    Wakuu, Taasisi ya Mwanamke na Uongozi kwa kushirikiana na wadau wengine akiwemo NHC wafanya kongamano la 'Nasimama na Mama' mgeni rasmi akiwa ni mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Batilda Buriani, kama sehemu ya kusherekea siku ya mama duniani na kumuunga mkono Rais Samia. Hii imekaaje wakuu...
  2. Cute Wife

    Challenge: Kweli hatumdai mama na yeye ndio anatudai? Piga picha ya bango la mama mkoani kwako na useme kama humdai

    Wakuu, Nacheka kama mazuri lakini moyo unauma:KEKLaugh::BearLaugh:. Viongozi wanapayuka kila siku mama hana deni lakini yeye ndio anawadai wananchi kwa kazi nzuri iliyotukuka (kwa sauti ya GENTAMYCINE) aliyofanya! Kuna mabango kede kede huko mtaani kusema mama hana deni, mama anaupiga mwingi...
  3. mshale21

    Rais Samia kaonesha wazi kutojali uhai wa wananchi wanaopotezwa kwa kusema ni "Drama"

    Hii inahudhunisha sana, inaumiza sana na inakera sana, yaani watu wanapotezwa kila uchwao harafu Rais anaongea kwa dhihaka eti wanafanya drama! , Mzee Ali kibao ni drama? Mdude ni drama? Waliotekwa kisutu na kuteswa na kuvunjwa miguu na mikono ni drama? Azory Gwanda ni drama? Ben saa nane ni...
  4. Roving Journalist

    Rais Samia ashiriki kuaga mwili wa Hayati Cleopa Msuya Mei 11, 2025

    Rais Samia akishiriki kuaga mwili wa Hayati Cleopa Msuya Mei 11, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati...
  5. L

    PICHA: Hivi ndivyo Rais Samia atakavyokuwa akipaa na kuteka anga la Tanzania kwa Helikopta maridadi na yenye mvuto

    Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli Namkubali sana Rais Samia uchapa kazi wake, uhodari wake ,uzalendo wake ,uungwana wake na uongozi wake thabiti wenye kugusa maisha ya watu na kumuwezesha kila mmoja wetu kutimiza ndoto zake. Ndio maana naandika mengi sana kumuhusu Rais Samia. Kiukweli nakoshwa...
  6. The Burning Spear

    PreGE2025 Kumbukizi: CUF walivyopigwa kama mbwa kipindi cha Mkapa. Je, Samia naye atakuja kujutia haya anayotenda sasa kama Mkapa?

    GT Police wa Tanzania ni wendawazimu kabisa na hawana adabu kwa raia, Check hiki kipigo wanampiga mtanzania mwenzao kisa ulafi wa madaraka wa politicians.
  7. The Father of All

    Kama ukifanikiwa kupata fursa ya kukutana na rais Samia kuhusiana na kadhia ya Tundu Lissu, unaweza kumshauri nini?

    Japo kadhia ya kukamatwa na kuwekwa ndani na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi na uhaini linachukuliwa kuwa ni la kisiasa, ni la kijamii hata kiuchumi pia. Hivyo, kama wadau, tuna haki na wajibu kushiriki kulitafutia suluhu mujarabu. Je kama mdau Mtanzania, kama ingetokea ukakutana au kupata...
  8. Orketeemi

    Kama ningekuwa Rais Samia

    Uzi huu utumike kuonesha upande wa pili ambao Rais Samia pengine hauoni. Naamini huwa anapita humu jamvini na akiuona huu Uzi hawez acha kufungua. Kwa upande wangu kama ningekuwa Rais Samia.. 1. Ningemuachilia huru Tundu Lissu.. maana kumuweka ndani ni kumuongezea umaarufu na siku mtu huyu...
  9. Brain Kingdom

    Mtazamo wangu: Awamu ya Samia Vyombo vya Dola vina Nguvu Jeuri, na Uhakika wa kufanya wanavyotaka kuliko awamu ya Magufuli

    Ni mtazamo wangu, na sababu kuu ni kwamba wanawaweza kufanya lolote bila uoga wa kufokewa, kutumbuliwa, wala karipio. Awamu hii unaweza kuambiwa utaona , tutaona na ikatimia kweli, nawapa tahadhari kama huna faida na jambo lenye ukakasi omba yaishe endelea na maisha yako. Kupeana tahadhari ni...
  10. The Palm Beach

    PreGE2025 Kada wa CCM: Rais Samia mwachie Tundu Lissu (Msingida) inatia doa uongozi wako bora

    Mtazameni na msikilizeni huyu kada wa CCM kisha tia neno unapata ujumbe gani kupitia kwake kuhusu kesi ya Tundu Lissu.... Anamtaka Mwenyekiti wake taifa - CCM, Bi Samia Suluhu Hassan kumwachia Tundu Lissu kwa sbb eti "..inatia doa uongozi wake bora..!!" Kwa wajuvi wa mambo ya propaganda za...
  11. Mkalukungone Mwamba

    Rais Samia kuongoza Taifa Kumuaga Cleopa Msuya

    Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataowangoza Watanzania katika tukio la kumuaga marehemu Waziri Mkuu na Makamu wa Rais mstaafu, Cleopa Msuya. Hafla hiyo itakayoambatana na ibada maalumu, inatarajiwa kufanyika Mei 11, 2025 katika viwanja wa Karimjee kuanzia saa...
  12. The Palm Beach

    Bunge la EU lazitaka nchi wanachama wa EU kusitisha misaada kwa Tanzania. CCM wabuni propaganda ya USHOGA kujipooza na kujifariji

    https://youtu.be/y9z3-27Xmto?si=M-gCdeXeZoxzZogf Ni kwa Tanzania kukiuka mikataba na matamko ya kimataifa kuhusu haki za binadamu, Uhuru na demokrasia.. Wazitaka nchi wanachama wao kuiwekea vikwazo Tanzania ikiwemo kusitisha misaada ya kimaendeleo ktk sekta mbalimbali kama nishati, afya, ulinzi...
  13. Waufukweni

    PreGE2025 Mtia nia Urais aondoka CHADEMA, amtuhumu Lissu kwa kumshambulia Rais Samia

    Aliyekuwa mtia nia wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na mwanzilishi wa kundi la G-55 Romanus Mapunda ametangaza rasmi kuondoka katika chama hicho. Pia, Soma: Kada wa CHADEMA, Romanus Mapunda atangaza nia ya kugombea Urais 2025 Mapunda amefikia uamuzi huo...
  14. Pascal Mayalla

    Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

    Wanabodi Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tumpongeze-rais-samia-sambamba-na-wanahabari-ila-tukaze-uzi-5030938 Tarehe 3 Mei kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa wiki nzima, iliyopita, nimekuwa jijini Arusha kwenye hoteli...
  15. Ojuolegbha

    Rais Samia ampokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Daniel Chapo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Daniel Francisco Chapo
  16. S

    Ushauri kwa Rais Samia: Punguza ukaribu na wasanii, watakuharibia!

    Nieleweke, simchukii Rais wangu, nampenda sana. Ila Rais huyu kiujumla, anawaogopa wasanii. Wasanii wengi hawana hata maadili—watamsaidia nini? Mbele ya Rais wa nchi, mhuni mmoja anasema Harmonize amerudiana na Kajala, Rais anacheka. Nchi tunaipeleka wapi? Kimsingi, baada ya Samia kuwa Rais...
  17. JanguKamaJangu

    Rais Samia Suluhu Hassan amemteua, Shaaban Kisu kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu

    Rais Samia Suluhu Hassan amemteua, Shaaban Kisu kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu. Taarifa imetolewa leo Mei 7,2025 na Katibu Mkuu Kiongozi,Moses Kusiluka katika hafla ya waandishi wa habari wateule kwenye Tuzo za Samia Kalamu Awards,zilizokabidhiwa Mei 5,2025. Chanzo: Nipashe
  18. J

    PreGE2025 Shangwe la Wafugaji: Chanjo Milioni 77 na Hereni Milioni 37 kutolewa bure na Serikali, Wafugaji wadai hawana deni tena na Mama Samia

    == Bila kujali mfugaji unamifugo mingapi Mama Samia atakupa chanjo na hereni kwa mifugo yako yote bure kabisa. Serikali inatarajia kuzindua Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Kitaifa kati ya mwezi Mei hadi Juni, 2025 ambapo jumla ya dozi 19,099,100 za chanjo ya Homa ya Mapafu ya Ngombe (CBPP)...
  19. GENTAMYCINE

    Mpaka sasa unayajua Makundi mangapi ya 'Kujipendekeza' kwa Rais Samia?

    Ninayoyajua Mimi mpaka sasa japo nasikia yapo kama 25 hivi ni haya yafuatayo..... 1.Mama Ongea na Mwanao 2. Samia Squad 3. Mama tutakutetea hadi Umauti 4. Mama Samia Tunakupenda Haya nanyi endeleeni na mengineyo ila mnisaidie tu kuniambia ni wapi Fedha za Kuwalipa hawa Chawa zinatolewa?
  20. B

    PreGE2025 CHAKAMWATA yasema Rais Samia ameyagusa maslahi yao

    Katibu Mkuu wa Chama Kutetea Haki na Maslahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA),Mwalimu Meshack Kapange, amempongeza Rais Samia kwa kuongeza mshahara, jambo ambalo litaleta nafuu ya maisha kwa wafanyakazi nchini.
Back
Top Bottom