rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Kipenzi Changu

    PreGE2025 Spika Dr.Tulia: Rais Samia anafanya vizuri kuliko wanaume

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kufanya vizuri zaidi ya baadhi ya Viongozi wa kiume akieleza kuwa mafanikio yake ni ushahidi wa uwezo mkubwa wa Wanawake katika uongozi. Dkt. Tulia...
  2. Waufukweni

    Wafanyakazi mwaka huu hamkuwa na matatizo hadi mkaamua kumfanyia Kampeni Rais Samia?

    Wakuu, Katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa mwaka huu mkoani Singida, ujumbe uliobebwa na mabango ya wafanyakazi kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO) umenisikitisha sana kama mdau...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Rais Samia ampa TSh 20 milioni Askofu wa jimbo jipya la Bagamoyo

    Rais Samia Suluhu Hassan ametoa TSh20 milioni kwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Stephano Musomba, kwa ajili ya kusaidia gharama za mafuta ya gari katika mizunguko yake ya kichungaji. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special...
  4. W

    PreGE2025 Prosper Tesha: Wachimbaji madini tumekubaliana kura zetu zote ni kwa Rais Samia

    Wachimbaji wa madini nchini wamejitokeza kwa nguvu kuunga mkono juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha sekta ya madini, huku wakiahidi kumpigia kura kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Mwenyekiti wa Madini ya Vito Prosper Tesha ameyasema hayo hivi karibuni...
  5. W

    PreGE2025 Wana CCM Ruangwa wamuahidi Rais Samia mitano tena

    Wakijibu mbele ya waziri mkuu wajumbe wa mabaraza ya jumuiya za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ruangwa Mei 3, 2025 wamesema hawamdai Rais samia na badala yake wamuahidi mitano tena. Waziri Majaliwa baada ya ahadi hiyo amesema atampigia Rais Samia ili kumfikishia salamu hizo.
  6. Waufukweni

    PreGE2025 Waziri Mkuu Majaliwa: Rais Samia hapaswi kupata shida sisi tukiwepo

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi na Watanzania kwa ujumla kuendeleza kauli ya kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa awamu nyingine ya uongozi, akisisitiza kuwa kauli ya "Mitano Tena kwa Dkt. Samia" inapaswa kutoka...
  7. K

    Kishindo Cha 4R za Rais Samia, mgogoro baina ya Tanzania na Malawi umemalizika kwa maridhiano.

    Hakika falsafa ya 4R ni msingi wa amani na mshikamano wa kiuchumi si TU kwa Tanzania bali baina ya nchi na nchi na Leo katika kusheherekea matokeo ya 4R ni kwamba mgogoro wa usafirishaji na zuio la mazao baina ya Tanzania na Malawi umemalizika kwa njia ya maridhiano. Hakika vitendo vina nguvu na...
  8. G Sam

    Wewe mwanaJamiiForums unayekubaliana na sera za Rais Samia kuhusu haki za binadamu unajidanganya

    Rais Samia ndiye kiongozi wa ajabu tumewahi kushuhudia na mbaya sana, mbaya sana ni mwanamke. Ndiye kiongozi ambaye mtu anapotea au kuuawa kwa mazingira tatanishi ya kisiasa kisha anakuja na kusema ni vijidrama. Mambo ya kinyama kusema kweli. Ndiye Rais ambaye kiongozi wa kidini kashambuliwa...
  9. Cute Wife

    Yule anayetoa pole mtu akipata madhila kwenye kurasa za Rais Samia kaenda likizo kwenye tukio la Kitima?

    Wakuu, Ni swali tu nauliza maana kama sijaelewa hivi👀 Tumekuwa tukiona watu mbalimbali maarufu na hata kundi la watu wakipata madhila Rais Samia kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hutoa pole, na kwengine huenda mbali hata kutoa mkono wa pole, na kwa wengine hufika kabisaaa, kama...
  10. Nipe Maji

    Wafanyakazi wamshukuru Rais Samia kwa kupandisha mshahara 'tataenda kufanya kazi kwa bidii'

    Baadhi ya Wafanyakazi nchini wametoa pongezi na shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuthibitisha tena kuwa anawajali watumishi wa umma. Katika kilele cha sherehe za Mei Mosi 2025 zilizofanyika uwanja wa Bombadia mkoani Singida, Rais Samia...
  11. Cute Wife

    PreGE2025 Mbunge Viti Maalum, Alice aomba dharura ya pongezi ili Bunge limpongeze Rais Samia kuongeza mshahara!

    Ndio maana hata viti maalum vinapigwa vita, maana wakipewa 99% wanakuwa manyumbu, kuongea ujinga mradi waendelee kubaki kwenye viti hivyo. Mkitaka kujua nani ni manyumbu bungeni angalia tu hao wote waliosimama hapo. Na spika eti amepokea, na kupongeza kwa niaba ya bunge!🤦‍♀️🤦‍♀️ Afu wananchi...
  12. Z

    Ni ujumbe wa kanisa Katoliki kwa Rais Samia na serikali yake?

    Baba Padre anasema hii itume kama inavyotoka. Video inajitosheleza kabisa.
  13. L

    Rais Samia ni Jemedari Aliyejitoa na kujitolea Utumishi wake Kwa Watanzania Bila Kujibakisha.

    Ndugu zangu Watanzania, Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema juu ya Mama huyu anayefanya kazi ya kitume , kazi ya Sadaka ,kazi ya kujitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya kubadilisha maisha ya watanzania na kuleta matumaini kwa watu. Huyu Mama yetu Mpendwa amejitoa na kujitolea Maisha yake...
  14. Rebeca 83

    Rais Samia fukuza kazi mkuu wa polisi...

    Yeye Muliro na genge lake anadhania anakufanyia favour kuteka na kutesa wapinzani kumbe anakuweka distant na wananchi... Ni mjinga ambae anapaswa kutolewa kabla hajafanya more damage.
  15. S

    Nimetafakari sana yanayoendelea nchini, na kufikia uamuzi kuwa ni bora Rais Samia aidha akubali kuahirisha uchaguzi tubadili kanuni au asigombee

    Nimekuwa nimtafakari sana, na huko nyuma niliona hili likija, na hata nikaandika usi humu JF, kwamba msimamo wa Rais Samia na CCM kuhusu kubadili kanuni za uchaguzi unaligawanya taifa na hali zitazidi kuwa mbaya. Wenye akili walinielewa. Bado nina ushauri kwa Rais Samia, kwamba ni bora...
  16. L

    Kama siyo matakwa ya Katiba ilitakiwa Rais Samia aendelee kuongoza Taifa hili mpaka yeye mwenyewe aombe kupumzika kama alivyofanya Mwalimu Nyerere

    Ndugu zangu Watanzania, Nikiangalia namna Rais Samia anavyoongoza Taifa letu katika muelekeo sahihi na wenye kuleta matumaini. Nikiangalia namna maendeleo makubwa na mambo makubwa yaliyofanyika hapa Nchini ndani ya kipindi kifupi cha uongozi wake. Nikiangalia namna Taifa lilivyo tulia na kupiga...
  17. Beira Boy

    Mama nasikia machawa wote wanasema hudaiwi kuanzia na wananchi mpaka wafanyakazi basi njoo ulingoni na tume huru ya uchaguzi ushinde kwa kishindo

    Aman kwenu watumishi wa MUNGU Leo nimesikia kuwa mama hadaiwi kama wasemavyo machawa Bas tunaomba reform ili uchaguz uwe huru na khaki Kisha mama njoo ulingon bila kairima Uvurugane na LISSU Umshinde kwa kishindo 90%kwa 10% Ete mama LONDON BOY
  18. L

    ASAS yamuunga mkono Rais Samia kwa kuwaongeza mishahara ya madereva wake kwa 80%

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Rais Samia analeta raha sana kwa Taifa hili. Huyu Mama ni neema na nuru kwa hili Taifa. Mama Samia Ni Taa na Mwanga gizani. Yaani kwa hakika kama siyo katiba ilipaswa Rais wetu Mpendwa aendelee kuliongoza Taifa letu mpaka achoke mwenyewe na kuomba kupumzika...
  19. R

    Hii Kauli ya Rais anahujumiwa au anajihujumu, mantiki yake ni nini?

    Kuhujumiwa 1. Kwamba kuna watu wanafanya mambo mabaya ili aonekane mbaya My take: If that is the case a) Ina maana hana taarifa kuwa jambo fulani baya limetendwa na fulani mteule wake na kwa akii zake haoni kuwa hili ni baya aliyelitenda namfukuza/namwajibisha? b) Ina mana anapokea ushauri bila...
  20. B

    Rais hasipo kemea mambo haya kwa ujasiri kabisa naona nchi inaenda kuangukia kwenye vita za kidini na kikanda

    Tangu zoezi la kubinafsisha bandari ya Dar es salaam kwa waarabu wa DP WORLD hapo ndipo rasimi vita baridi ya kidini ilianza baina ya Christianity na Islam. Lakini wakati huo huo vita baridi ya kikanda ikazaliwa rasmi baina ya watanganyika wanahisi wanadhulimiwa rasilimali zao na rais Mzanzibar...
Back
Top Bottom