rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    Hawa Wakenya, Wana nini na Tanzania?! Wanatutukania Rais Wetu kuwa She Was Nobody na Kumuita Dikiteta Iddi Amini Mama!, Tusikubali na Tusiwanyamazie!

    Wanabodi Hebu msikilizeni huyu jamaa, Mkenya anaitwa Rodgers Kakasungura https://youtu.be/FFVNsTEI690?si=g-1g15frbAOn6yYz Anatema uongo kumhusu Rais Samia, anamtukana na kumuita Dikteta Iddi Amini Mama, pia amemtukana rais wake Ruto kuwa ni Dikiteta Iddi Amini Baba, na kusema Uganda kulikuwa na...
  2. L

    Huyu Hapa Rais Samia akizungumza Na Waandishi wa Habari Baada ya Kupiga Kura Chamwino Dodoma.

    Ndugu zangu Watanzania, Huyu Hapa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge akizungumza na...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Sheikh Rusaganya: Rais Samia, HAO MBWA kuna waliowatia ujeuri hadi wanakutukana

    Naona Sheikh anaendelea kujimaliza tu! Amezungumza kwa namna ya methali sana moja akisema kwamba mbwa hata ukivalisha mkufu atabaki tu kuwa mbwa na mwingine kasema hao mbwa kuna watu wamewapa kiburi cha kukutukana wewe Rais Samia. Akamalizia kusema mama umewafanyia hisiani na wanajijua wenyewe...
  4. funaku

    GE2025 Ukiiona Mwanza imekubali ujue ushindi unakuja. Hongera Rais Samia

    Mwanza imejitokeza kumpokea mgombea Urais Samia Suluhu Hassan ikiwa ni nembo ya kukubalika nchini. Wapinzani wengi wa Samia walipambana kuitenganisha Kanda ya ziwa na Samia lakini imekuwa tofauti na kila la kheri kesho asubuhi na mapema kazi itakuwa imeisha.
  5. R

    GE2025 Kihongosi: Rais Samia amefuatiliwa mtandaoni mara Milioni 164. 9, hii inadhihirisha kukubalika kwake kama Mgombea Urais wa CCM

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 27, 2025 Mkoani Mwanza ameeleza namna Chama cha Mapinduzi kimefanikiwa kwa kufatiliwa na watu wengi Mtandaoni na umati mkubwa kuhudhuria...
  6. Luca Paguro

    ITV: Rais Samia afanikisha timu nne kufuzu makundi Afrika

    Jamani naelewa vyombo vya habari vinamuogopa huyu mama, ila hii ni too much, khaaa 😂😂 =========== Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameandika historia mpya kabisa, baada ya kufanikisha timu nne za mpira wa miguu Tanzania kufuzu hatua ya makundi katika mashindano ya Afrika. Timu hizo ni...
  7. Mafyangula

    GE2025 Samia: Tutajenga kituo cha mabasi Mkuranga

    Baada ya kilio cha muda mrefu cha wakazi wa mikoa ya Kusini mwa Tanzania cha kukosa kituo kikuu cha mabasi, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi sasa kitajengwa katika eneo la Mkuranga mkoani Pwani. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mwandege...
  8. L

    Hamasa ya Wananchi Kushiriki uchaguzi na kumpigia Kura ya Ndio Rais Samia Ni kubwa sana Mitaani

    Ndugu zangu Watanzania, Hali ya hamasa ya wananchi mitaani katika kushiriki uchaguzi ni kubwa sana na kiu ya watanzania ipo juu sana katika kusubiri muda uwadie ili wajitokeze na kumiminika katika vituo vya kupigia kura kumchagua Rais Samia na wagombea wote wa CCM ngazi ya ubunge na udiwani...
  9. figganigga

    Wapiga debe Wanamharibia Rais Samia. Hawana Takwimu

    Wapiga debe Wanamharibia Rais Samia. Hawana Takwimu. Machawa yaliyokomaa hata hayajui yanaongea nini
  10. Pascal Mayalla

    PPR VOX POP: Mtangazaji Salim Kikeke wa Crown Media, Ataja Sababu Iliyomwezesha Kumhoji Rais Samia Mara 2!.

    Wanabodi Mtangazaji Salim Kikeke wa Crown Media azungumzia jinsi alivyoweza kufanya mahojiano mara mbili na Rais Samia, huku kuna foleni kubwa ya walioomba mahojiano. https://youtu.be/NEsg2KU_-hc?si=UPUwi11CBZronl-w Karibu Paskali
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kigoda cha Uprofesa Mwalimu Julius Nyerere cha UDSM champongeza Rais Samia kukuza diplomasia ya uchumi

    Washiriki wa mjadala wa kitaalamu ulioandaliwa na Kigoda cha Uprofesa Mwalimu Julius Nyerere cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamepongeza jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza diplomasia ya uchumi kupitia Sera Mpya ya Mambo ya Nje, wakisema ni kichocheo cha biashara ya...
  12. R

    GE2025 Rais Samia: Kwa sasa Umeme ni Saa 24 Dar es Salaam

    Mgombea wa uraisi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesema awali katika Mkoa wa Dar es Salaam kulikuwa kunachangamoto ya umeme lakini kutokana na kazi kubwa iliyofanyika, hadi kufikia sasa katika mkoa huo nishati ya umeme inapatikana kwa saa 24 “Si muda mrefu uliopita...
  13. R

    Simba SC wamshukuru Rais Samia kwa kitita cha Milioni 15

    Kupitia ukurasa wa Mtandao wa Instagram ya timu ya Simba sports club wameandika kumshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa kitita cha Millioni 15 kama zawadi kwa mabao matatu waliyofunga timu ya Nsingizini Hotspurs ya Eswatini "Asante Mhe. Rais...
  14. figganigga

    Jamani, angalie Rais Samia alivyotuna

    Ni kweli ni wakati wake kutuna. Atulie ale lakini asitumalizie Watoto wetu. Sababu hapo alipo ni miaka michache. Baadaya hapo atakuwa si lolote si chochote. Uzuri wa mali hata ujaze hela unakufa na kuziacha. Urais unakuwa wa maana ukiambatana na kulinda uhai wa unaowatala. Bado namtafuta...
  15. R

    GE2025 Rais Samia usiwasikilize washauri wako, ahirisha uchaguzi tuwe na maridhiano

    So called washauri wako wanatetea matumbo yao. Ahirisha uchaguzi, tufanye maridhiano, tusonge mbele kama taifa! Msikilize ushauri wa Askofu Bagonza. Nakutakia matashi mema
  16. R

    GE2025 Mussa Zungu: Rais Samia ametoa Bilioni 200 ujenzi Mfumo mpya wa maji taka Ilala

    Hawa wazee wa CCM wakubali tu wamechoka maana wakienda bungeni watajikuta wanasaini mikataba ya kutuuza kabisa Zungu jamani kweli ndo kuzuia maji taka kuua samaki barabarani au ndo mradi mpya wa CCM wa makazi mapya ya samaki:confused: waachieni wenye afya na nguvu imara ya kuongoza nchi mkalee...
  17. R

    GE2025 Sheikh: Nawasomea dua Mange Kimambi na Recho na hamtowasikia wakimtukana tena Rais Samia

    Wakuu, Sheikh Sharifu Firdaus Al qadiri anatema cheche, lakini ajabu ameshindwa kukemea namna ambavyo Serikali imekaa kimya kwa Matukio maovu ya utekaji na watu kuuliwa pamoja na ufisadi unaofichuliwa na wakina Mange dhidi ya Serikali ya huyo Samia, yeye amekazia matusi na Maadii ya Kitanzania...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rais Samia: Serikali Kuboresha Vijiji kupunguza wimbi la Vijana kukimbilia Mijini

    Kwahiyo ukiboresha maeneo ya vijiji ndio suluhu la vijana kuyasaka maisha mijini? Hizo ni sera za uongo hakuna kitachofanikiwa! Na katika utafuta wa maisha ni maono ya mtu tu ndio maana kuna wanaotoka mjini kwenda vijijini na wakafanikiwa so kila mtu anauhuru wa kutafuta maisha popote pale...
  19. W

    GE2025 Samia: Wachagueni Madiwani wa CCM, mkiwachanganya na wa vyama vingine mtajicheleweshea Maendeleo

    Akiomba kura kwa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge kwenye majimbo na Kata za Mkoa wa Rukwa leo Jumapili Oktoba 19, 2025, mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amewaomba wananchi kuwachagua wagombea hao na kutowachanganya na wengine, ili iwe...
  20. W

    GE2025 Mgombea Udiwani Ilala: Atakayemkwamisha Samia tutaanza naye kabla yake

    Mgombea udiwani wa kata ya ilala Saady Khimji( Home Boy) amesema Chama Cha Mapinduzi, CCM Kinafanya jitihada kubwa ya kuinadi ilani yake kupitia majukwaa na Kampeni mbambali zinazofanywa na Wagombea wa Chama hicho Akizungumza Leo Oktoba 18, 2025 katika Mkutano wa kuwatambulisha na kuwanadi...
Back
Top Bottom