rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Rais Samia Akoshwa Na Mapokezi Ya Maelfu ya Wana Manyara. Aahidi Kuwatumikia Kwa Uaminifu na Weledi wa Hali ya Juu.

    Ndugu zangu Watanzania, Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge. Amekoshwa...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Hanang wamchangia Rais Samia kwaajili ya kununua mafuta yatakayosaidia katika kampeni zake

    Ila uchawa umefika kiwango kisichokubalika! CCM tayari wameshakusanya bilioni 100, basi michango mingine hiyo ni gani tena? Uchawa huu mwingie hauna tija yoyote. Ingekuwa bora kama pesa hizo zingeelekezwa kwa wale wenye uhitaji maalum =============== Chifu wa Wilaya ya Hanang Jemsi Gejaru...
  3. R

    GE2025 Makonda: Samia Umekaa kwenye kiti kwa Mapenzi ya Mungu, atakupa tena Oktoba 29 urudi Ikulu, Usiogope

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan aliingia madarakani kwa mapenzi ya Mungu na mapenzi ya Mungu yatatimia tena kwani Dk Samia atashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Makonda...
  4. Waufukweni

    GE2025 Mwenyekiti wa TAS Mollel: Tunaomba Rais Samia aongezewe muda

    Mwenyekiti wa Chama cha Watu wenye Ualbino Tanzania (TAS), Godson Mollel, amemsifu mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa namna alivyowajali watu wenye ulemavu katika kipindi cha karibu miaka mitano akiwa madarakani...
  5. Nipe Maji

    SI KWELI Msafara wa Rais Samia umepata ajali

  6. GENTAMYCINE

    GE2025 Familia ya Mwl. Nyerere yamkataa Andrew Nyerere na kauli yake. Yakamribisha rais Samia Butiama

    Andrew Nyerere na wale mliokuwa mkimsapoti kwa Kauli yake ya Kitoto na Kipuuzi ya Jana mpo? Familia ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere imemkaribisha Mgombea Urais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan nyumbani kwake Mwitongo, Butiama mkoani Mara...
  7. R

    GE2025 Mapokezi ya Mgombea Urais CCM, Samia, Moshi Mjini

    Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan Moshi Mjini zimepamba moto na matembezi kuelekea Uwanja wa Mashujaa yamefana
  8. R

    GE2025 Mkazi wa Arusha: Rais Samia ni Ua Lazima Watanzania tulitumie, Tukiliacha likadondoka tutapata hasara, Tushiriki Uchaguzi

    Wakazi wa Arusha wamepongeza maendeleo makubwa yaliyoletwa Tanzania na Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwemo kwenye ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR, Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere lililomaliza kero ya umeme Tanzania na barabara za lami Arusha. Wananchi hao wamemfananisha na ua ambalo inabidi...
  9. R

    GE2025 Wakazi wa Kitunda Relini: Rais Samia ni Mkombozi wa Watoto wetu

    Wakazi wa Kitunda Relini kata ya Kitunda Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam, wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa Shule mpya na ya kisasa yenye madarasa 14, maabara 4, maktaba 1, chumba maalum cha kompyuta (ICT) ,ofisi za walimu 12, pamoja na stoo kubwa 2 Shule hiyo ni...
  10. R

    GE2025 Vijana Moshi: Hatufungui Biashara Tunaenda kwa Rais Samia

    Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, akiendelea na ziara za kampeni mkoani Kilimanjaro ambapo leo Septemba 30, 2025 anafanya kampeni katika Wilaya ya Same, huku vijana wa Moshi Mjini wakieleza kuwa wako tayari kumpokea na kuhudhuria mkutano wa kampeni...
  11. Carlos The Jackal

    GE2025 Andrew Nyerere ampiga marufuku Rais Samia kuzuru kaburi la Hayati Mwalimu Nyerere kutokana na CHADEMA kutoshiriki uchaguzi

    Mtoto Mkubwa wa Nyerere, Andrew Nyerere Kwa niaba ya Wanafamilia, amechukizwa na Kitendo Cha Mahakama kutoitendea Haki CHADEMA. Andrew Kambarage Nyerere Asante umenyooka kama ilivyo! Tatizo hawa viongozi wa sasa wanataka kutumia legacy ya Mwalimu Nyerere kama hirizi iwakinge na hasira za...
  12. K

    GE2025 Kikwete ndiye janga la taifa kabisa! Katiba hatuna leo kwasababu yake

    Mnafiki Kikwete ndiye janga la taifa kabisa! katiba hatuna leo kwasababu ya hili janga. Hata Magufuli ukali wake na rushwa aliyopata ni kwasababu ya huyu janga. Samia sasa kuanzia aanze kumsikiliza huyu janga naye kawa janga!!! Eti huyu ndiye kuangalia chaguzi na kuwa mwangalizi wa kitafia...
  13. L

    GE2025 Rais Samia ni Mgombea mwenye mvuto na ushawishi mkubwa kwa Wapiga kura tangia mfumo wa vyama vingi uanze hapa Nchini

    Ndugu zangu Watanzania, Katika historia ya Taifa letu na tangia kuanza kwa mfumo wa Vyama vingi hapa Nchini. Rais wetu Mpendwa na Mama yetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakuwa Mgombea wa kwanza Mwenye Mvuto na shawishi Mkubwa sana kwa wapiga kura. Ni...
  14. Luca Paguro

    Leo nimefikiria tu nikahisi, huenda tunamlaumu bure tu Samia

    Leo nimekaa nikawaza huenda kuna watu wapo in charge badala ya Samia Inawezekana kuna familia kadhaa zinakula hela za nchi hii na kurithishana huku wanamtumia Samia kama kivuli kuficha ufisadi wao Labda Samia analazimishwa kung'ang'ania Urais ili tu hizi familia zipate kula mali za taifa...
  15. Cute Wife

    GE2025 Wananchi: Tukimpigia simu Samia anapokea, anatusikiliza

    Wakuu, Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa na kero mbalimbali katika sehemu zao za kazi. Au wanasema uongo Wakuu, yaani wanasema Samia ndio...
  16. W

    SI KWELI Rais Samia kwenye kampeni zake amesema ataigawa TANESCO kwa waarabu kuongeza ufanisi

    Wakuu nimekutana na hizi taarifa je kuna ukweli wowote huko?
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Bodaboda Msata: Tutamchagua Rais Samia ametupunguzia faini za barabarani

    Bodaboda wa eneo la Msata Mkoani Pwani wameahidi kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa amesaidia kuwapunguzia gharama za faini kutoka shilingi 30,000 hadi 10,000 pindi wanapopatikana na makosa ya barabarani. Aidha, wamewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi...
  18. Mafyangula

    GE2025 Vijana Kibaha waahidi kujitokeza kwenye vituo vya kupigia kura

    Vijana wa Mji wa Kibaha Mkoani Pwani wamesema watatimiza haki yao ya kupiga kura kwa kujitokeza kwenye Vituo vya kupigia kura Oktoba 29 mwaka huu. Aidha, wameeleza kuwa Vyama vya upinzani haviwezi kushika madaraka kwa vina migogoro ya wenyewe kwa wenyewe na tamaa ya kushika dola.
  19. W

    GE2025 Samia: Mkinichagua nitamalizia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo

  20. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Hakutakuwa na tishio lolote la kiusalama siku ya Uchaguzi

    Mtu anataka kuhalalisha uoga uliopo tayari. Ungekuwa kweli hakuna hofu, basi isingehitajika kutamka hivi. ================= "Tunaomba kura zenu Wanamsata, la muhimu sana Wanamsata, tarehe 29 mwezi wa 10, Mwenyezimungu tumuombe atuamshe salama, ukitoka kuelekea kituo cha kura, tunasema twende...
Back
Top Bottom