rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Influenza

    GE2025 Ukimya Unaoongea: Rais Samia hakutajwa wala kupongezwa kwenye Mkutano wa SADC ulioongozwa na Rais Ramaphosa

    Ni kwa kiwango gani Kiongozi lazima anatakiwa kuanguka hadi majirani zake waanze kujifanya kana kwamba hayupo? Hilo ndilo swali lenye ukakasi linaloizunguka Tanzania na Rais wake, Samia Suluhu Hassan, baada ya yeye na nchi yake kutotajwa kabisa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa SADC wiki hii —...
  2. Just Pray

    GE2025 ACT Wazalendo: Serikali ya Rais Samia imekosa uhalali wa kisiasa kuendelea kuongoza Tanzania, uchaguzi wa Oktoba 29 ni pigo kwa Demokrasia na taifa

    MSIMAMO WA ACT WAZALENDO KUHUSU MWENENDO NA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2025 Chama cha ACT Wazalendo kupitia kikao cha Kamati ya Uongozi Taifa kilichoketi 7 Oktoba 2025 kimefanya tathmini ya kina kuhusu mwenendo na matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025 ambao umekuwa pigo kubwa...
  3. Samia atosha tukutane2030

    Kilichomharibia Rais Samia ni namna alivyoanza baada ya kifo cha Magufuli. Anaweza kurekebisha, anayo nafasi

    Utawala wa awamu ya 5 wa Mh. Magufuli ulijaa futuhi, propaganda na ukatili wa kila aina. Alipambwa na vyombo vyote vya habari kwa hofu kuu. Mpaka wakaiita serikali yake ni serikali ya viwanda ilhali ndiyo serikali iliyoua channel ya ukuaji wa viwanda. Upotevu wa fedha usio wa kawaida ulioonekana...
  4. Mhaya

    Zaidi ya 90% Ya Marais Wote Duniani Wamegoma Kumpongeza Samia Kwa Ushindi Ukilinganisha Na Mtangulizi Wake

    Wengi tulizoea kuona Viongozi wa kidunia wakiwapongeza Marais wa Tanzania pale wanaposhinda chaguzi, na wengi mnakumbuka mwaka 2015 na 2020 tulishuhudia Viongozi wa kidunia wakiwemo Marais, Wawakilishi wa Marais, Wakuu wa Taasisi na mashirika ya kidunia wakitoa Pongezi zao kwa Rais wa Tanzania...
  5. Y

    Waraka wa amani kwa Rais Samia. Imefikia wakati wa kuponya Taifa na kujenga siasa mpya

    Nianze kwa kumshukuru Mwenyezimungu mwingi wa Rehma kwa kutupatia nafasi nyingine ya pumzi kiasi cha kuweza kutoa maoni haya. Pili nitoe pole, kwa watanzania wenzangu wote ambao kwa namna zote wamepotelewa na wapendwa wao, ama kusababishiwa ulemavu kufuatia yaliyotokea siku ya uchaguzi katika...
  6. R

    GE2025 Dkt. Godwin Mollel: Wanaovuruga amani wanataka kutusahaulisha makubwa aliyofanya Rais Samia

    Dkt Mollel ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari ambapo ameleleza kuwa watu wanaotaka kuvuruga Amani wanataka kutusahaulisha mambo matatu muhimu makubwa ikiwemo kazi kubwa iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu ndani ya miaka minne ya...
  7. L

    Huyu Hapa Ndiye Waziri Mkuu Mpya Atakayeteuliwa Na Rais Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Najua wengi wenu mnajiuliza maswali juu ya nani atakuwa waziri Mkuu Mpya wa Tanzania. Najua mna kiu kubwa sana kutokana na umuhimu na unyeti wa nafasi hiyo kiutendaji na kiutawala ndani ya serikali yoyote ile Duniani. Kwanza ifahamike ya Kuwa waziri Mkuu kikatiba...
  8. DuaZaMama

    Umekutana na hizi taarifa? 'Ujumbe kutoka kwa Vladmir Putin watua ikulu Chamwino'

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi, Mhe. Vladimir Putin, uliowasilishwa kwake na Mhe. Sergei Kiriyenko, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 06 Novemba, 2025.
  9. 888I

    🧐Magari ya Rais Samia: Msaada JamiiForums! Hizi Range Rover za Misafara Zina Sifa Gani Hasa?

    Ndugu Zangu Wanajukwaa! Mimi si mtaalamu wa magari kabisa, nimeona Range Rover hizi nyeusi, ndefu katika misafara ya Rais Samia Suluhu Hassan hasa baada ya kuapishwa kwake. Nimejaribu "ku-Google" (gugo huko!) na nimejifunza mambo machache. Ninaomba mnisaidie kufafanua kwa wale wenye ufahamu...
  10. L

    Rais Samia aongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu. CCM yaazimia kujitathmini na kujipanga vyema kubeba dhima ya kuliongoza Taifa

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge. Ameongoza kwa...
  11. PAYE

    Uchaguzi wa Spika wa Bunge na uthibitisho wa Waziri Mkuu mpya kufanyika Novemba 11, 2025

    Kufuatia Tangazo la Rais la kuitisha Bunge lililotolewa kwenye Gazeti la Serikali, Toleo Maalum Na. 11 (Special Supplement) la tarehe 4 Novemba, 2025 Tangazo Na. 647A Wabunge Wateule wote wanafahamishwa kwamba shughuli za usajili na taratibu nyingine za kiutawala zitafanyika Ofisi ya Bunge...
  12. N

    Kwako Rais Samia: Tafadhali naomba utathmini mpango wa kupeleka vijana wa form six jeshini (JKT) na uufute

    Mheshimiwa Rais, ninatambua mpango huu ULIKUWA na nia nzuri, nia thabiti na njema ya kuwapeleka vijana wetu jkt kwa mujibu wa SHERIA na huko wamefunzwa ukakamavu na uzalendo kwa nchi yao. Mheshimiwa Rais natambua pia serikali inawapeleka vijana kule ikiwa ni njia mojawapo ya kujilinda na kuwa...
  13. Influenza

    GE2025 Taasisi ya Mo Ibrahim: Rais Samia, kufunga intaneti na kupiga risasi waandamaji haikubaliki

    Taasisi ya Mo Ibrahim imetoa kauli kali dhidi ya hatua za serikali ya Tanzania kutumia nguvu dhidi ya waandamanaji kufuatia uchaguzi wa Oktoba 2025, ikionya kuwa nchi hiyo inarejea katika mwenendo wa kiimla. Katika taarifa iliyotolewa Jumanne, taasisi hiyo ilieleza “wasiwasi na masikitiko...
  14. Pendaelli

    Kati ya walio tuma ujumbe wa moja kwa moja ni huyu padre siku ya kuapishwa rais Samia

    Wakati wa sherehe za kiapo cha rais zilizofanyika jana, Padre huyu wa Kanisa Katoliki alionekana kuvaa stola ya rangi ya zambarau badala ya nyeupe au dhahabu kama inavyozoeleka kwenye matukio ya furaha. Kwa mujibu wa utaratibu wa Kanisa, rangi ya zambarau huashiria toba, maombolezo, na...
  15. Stuxnet

    Rais Samia achana na Mchengerwa kwenye baraza jipya, anakuharibia sana

    Najuwa kuwa ni mkwe wako na una msifu kuwa ana kifua kikubwa lakini uwezo wake kiakili (IQ) ni mdogo. Mwaka jana alitumia mbinu zile zile za Magufuli za mwaka 2019 kuharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na huo uchaguzi ndiyo uliozaa No Reforms No Elections. Kama CHADEMA wangetendewa haki basi...
  16. funaku

    Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka amkabidhi nyaraka za kazi Rais Samia

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhiwa nyaraka za kazi kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka mara baada ya kuwasili katika Ofisi yake Ikulu Chamwino, akiwa tayari kuanza rasmi majukumu yake baada ya kuapishwa.
  17. R

    GE2025 Rais Samia: Nitoe onyo kama Mama, Wote waliochochea uvunjifu wa amani, watambue vurugu huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami

    Akizungumza Novemba 3, 2025 baada ya kuapishwa kwake, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alitoa kali kwa wale waliohusika na vurugu zilizojitokeza baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. Chanzo: TRT Afrika
  18. Just Pray

    Ukimya wa Marais na viongozi wa nchi za Afrika kwa kutokutoa salamu za pongezi kwa Rais Samia

    Ukimya wa kushangaza umeikumba Afrika kufuatia uchaguzi wenye utata uliomrejesha Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania, baada ya kutangazwa mshindi kwa karibu asilimia 98 ya kura. Kwa kawaida, ushindi mkubwa kama huu huambatana na salamu nyingi za pongezi kutoka kwa viongozi wa mataifa...
  19. THE BIG SHOW

    GE2025 Hongera Rais Samia kwa kusimama imara kwenye majaribu, wazalendo wa kweli tupo nyuma yako

    Friends and Our Enemies, 'How you do anything,is how you do everything'..Dante... Kongole nyingi sana kwako Madam President Samia kwa kusimama imara wewe kama Amiri Jeshi Mkuu na Jeshi pamoja na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kipindi hiki kigumu cha majaribu katika utawala wako...
  20. figganigga

    GE2025 Rais Samia apuuza Vifo vya Maandamano ya Uchaguzi 2025, asema waliokamatwa wametoka Nchi za Jirani

    Rais Samia apuuza Vifo vya Maandamano ya Uchaguzi 2025, asema waliokamatwa wametoka Nchi za Jirani Katika hotuba iliyojali Kejeli, hakugusia wala kutoa heshima ya waliotangulia mbele za haki. Bali amewashukuru Wagombea Urais wenzake 16 kwa kukubali matokeo. Amesema kutokana na hayo mauaji...
Back
Top Bottom