Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,959
- 8,130
Wakuu,
Njia iliyobaki kwa Rais Samia kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi kutokana na mauaji ya Oktoba 29, ni kuangusha lawama zote kwa vyombo vya ulinzi, kisha apishe kiti kuruhusu uchaguzi mwingine kufanyika.
Aseme vyombo vya ulinzi vilitenda mauaji yale kwa order zao, either kwa kutaka aonekane mbaya au vyovyote vile, lakini yeye hakutoa amri yoyote, alishangaa kuna baadhi yao walimgeuka na kutenda yale.
Amuondoe Director TISS, IGP na viongozi wote ambao wanafall kwenye chain hiyo na kuambia askari waue raia ili sheria ichukue mkondo wake.
Baada ya hapo atangaze kujiuzulu, na kuacha nchi ifanye upya mchakato wa Uchaguzi, Lissu akiwa nje, huru kwa makosa yote aliyokuwa akishtakiwa.
Vinginevyo hatoboi, akae kusubiri wananchi wakiwashe mpaka jaribio la mlkumwondoa lifanikiwe au Mungu aingilie kati, vyovyote vile mwisho wake utakuwa ni kuondoka kwa namna mbaya na kuingia kwenye historia ya kuwa Rais aliyewahi kutolewa madarakani kwa namna mbaya kuwahi kufanyika!
Njia iliyobaki kwa Rais Samia kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi kutokana na mauaji ya Oktoba 29, ni kuangusha lawama zote kwa vyombo vya ulinzi, kisha apishe kiti kuruhusu uchaguzi mwingine kufanyika.
Aseme vyombo vya ulinzi vilitenda mauaji yale kwa order zao, either kwa kutaka aonekane mbaya au vyovyote vile, lakini yeye hakutoa amri yoyote, alishangaa kuna baadhi yao walimgeuka na kutenda yale.
Amuondoe Director TISS, IGP na viongozi wote ambao wanafall kwenye chain hiyo na kuambia askari waue raia ili sheria ichukue mkondo wake.
Baada ya hapo atangaze kujiuzulu, na kuacha nchi ifanye upya mchakato wa Uchaguzi, Lissu akiwa nje, huru kwa makosa yote aliyokuwa akishtakiwa.
Vinginevyo hatoboi, akae kusubiri wananchi wakiwashe mpaka jaribio la mlkumwondoa lifanikiwe au Mungu aingilie kati, vyovyote vile mwisho wake utakuwa ni kuondoka kwa namna mbaya na kuingia kwenye historia ya kuwa Rais aliyewahi kutolewa madarakani kwa namna mbaya kuwahi kufanyika!