raila odinga

Raila Amolo Odinga (born 7 January 1945) is a Kenyan politician who served as the Prime Minister of Kenya from 2008 to 2013. He has been the Leader of Opposition in Kenya since 2013. He was the Member of Parliament (MP) for Langata from 1992 to 2013. Raila Odinga served in the Cabinet of Kenya as Minister for Energy from 2001 to 2002, and as the Minister for Roads, Public Works and Housing from 2003 to 2005. Odinga was appointed High Representative for Infrastructure Development at the African Union Commission in 2018.He was the main opposition candidate in the 2007 presidential election, running against the then incumbent Mwai Kibaki. In the subsequent presidential election 5 years later he placed second against Uhuru Kenyatta, garnering 5,340,546 votes, which represented 43.28% of the total votes cast. He made another attempt for the presidency in August 2017 against Uhuru Kenyatta and Uhuru Kenyatta stole votes after the chairman of the electoral body declared Uhuru Kenyatta winner with 54% of the votes cast to Odinga's 43%. This outcome was eventually annulled by the Supreme Court following findings that the election was marred by "illegalities and irregularities". A subsequent fresh election ordered by the Court was won by Uhuru Kenyatta when Odinga declined to participate citing inadequate reforms to enable a fair process in the repeat poll.
Son of the first Vice President of Kenya, Jaramogi Oginga Odinga, he draws a large chunk of his support from various regions in Kenya, most notably the Coastal Region and his native former Nyanza Province. Odinga is commonly known as "Baba", coincidentally, he was an MP at the same time as his father between 1992 and 1994. Other nicknames that have been associated with the premier are such as "Nyundo" which is hammer in Kiswahili, "Tinga" which means tractor in Kiswahili a symbol of his National Development Party (NDP) and "Agwambo" meaning a man who is unpredictable (enigma or mysterious) and 'Baba' which means a political father.
Odinga first ran for president in the 1997 General Elections, coming third after President Daniel arap Moi of KANU and Mwai Kibaki of the Democratic Party (DP), respectively. He contested for the presidency again in the 2007 General Elections on an Orange Democratic Movement (ODM) ticket.
In readiness for that poll, on 1 September 2007, Odinga was picked as ODM's presidential nominee to face off with PNU's Mwai Kibaki. He managed to garner significant support in that election. According to the he Electoral Commission of Kenya (ECK), the electoral body at the time, he swept the majority of the votes in Rift Valley (Kenya's most populous area), Western, his native Nyanza, and Coast. Kibaki on the other hand won majority votes in Nairobi (the capital), North Eastern province, Central province and Eastern province, taking 4 provinces against Odinga's 4. Odinga's ODM party got 99 out of the 210 seats in the parliament, making it the single largest party in parliament.
The Kriegler report, commissioned to investigate the violent aftermath of the 2007 elections and alleged vote-rigging, stated that about 1.2 million dead voters existed in the voters register, raising serious doubts to the integrity of the election.On 30 December 2007, then chairman of the Kenyan election commission the late Samuel Kivuitu, declared the incumbent, President Kibaki, the winner of the presidential election by a slim margin of about 230,000 votes. Odinga disputed the results, alleging fraud by the election commission. However he refused to follow due process of petitioning the courts, believing that the courts were under manipulation by Kibaki and so could not give a fair and impartial hearing.
Most opinion polls had speculated that Odinga would defeat the president, though the margin kept narrowing as election day neared. Independent international observers have since stated that the poll was marred by irregularities in favor of both PNU and ODM, especially at the final vote-tallying stages. The announcement of Kibaki's win was followed almost immediately by rioting and violent protests, from both ODM and PNU supporters, and the post-election violence continued for several weeks resulting in over 1000 deaths and the displacement of 500,000 people.Besides his father, Odinga is identified as one of the leading forces behind the democratization process of Kenya, particularly during the repressive regime of President Daniel arap Moi (1978–2002) and the lead-up to the adoption of the new Constitution (2010) that re-affirmed many formerly neglected fundamental rights.
In 2017, Odinga ran for the presidency a fourth time, but lost to Uhuru Kenyatta. Odinga contested the election result in the Supreme Court, which nullified the results and called new elections as a result of electoral irregularities. Despite the Supreme Court ruling, Odinga announced on 10 October 2017 that he would withdraw from the second Presidential election.

View More On Wikipedia.org
  1. Raila Odinga aitisha Maandamano, Ukaidi na Migomo dhidi ya Serikali ya Ruto kuanzia leo

    Kiongozi huyo wa Upinzani kupitia Muungano wa Azimio la Umoja One ameitisha Maandamano ya Nchi nzima ya Kutotii Serikali kuanzia leo Machi 9, 2023 akidai Serikali ya Rais William Ruto imepuuza matakwa ya Muungano huo. Odinga alimpa Ruto siku 14 kuharakisha kufunguliwa kwa Seva za Tume Huru...
  2. R

    Profesa Wajackoya: Raila Odinga alikuwa na CHADEMA akalega lega amerudi tena

    Nchi na mataifa mbalimbali sasa wanaendeleza hamasa ya kuungana na chama chenye malengo ya kuongoza nchi kwa misingi ya amani, umoja, na upendo, na maendeleo pia na kuimarisha diplomasia. Hii ni kutokana na itikadi na misingi mizuri ya kuanzishwa kwake. Prof Wajackoya, nguli wa sheria na...
  3. J

    Hivi Raila Odinga anawezaje kupata wafuasi wengi hivi Kenya? Amewaloga Wakenya na uchawi gani?

    Wakuu kwema? Habari hapo kwa majirani ni mzee Odinga anadai alishinda uchaguzi na anasema ataitisha maandamano makubwa ya kwenda kumtoa Ruto Ikulu Uchaguzi ulikuwa wa wazi na matokeo yote yaliyotoka vituoni na kusainiwa na mawakala wa pande zote yote yalikuwa uploaded online Na kama kuna wizi...
  4. Raila Odinga anachofanya kwa sasa ni uasi sio siasa. Anajaribu kutaka kufanya mapinduzi. Ruto hapaswi kuwa mpole kupitiliza

    Nimeona kitu kinachoitwa uhuru wa kidemokrasia kwa nchi za Afrika ni ujinga mtupu! Kwa hali ilivyo hapo Kenya kwa Sasa sio uhuru ni ujinga na ni ulofa wa kisiasa. Maandamano yale anayofanya Odinga na kuwashawishi watu wapindue Serikali sio ya kuyafumbia macho hata kidogo! Kama katiba ya Kenya...
  5. Maisha haya duh! Raila Odinga kapigwa ban na Mzungu!

    Huyu huyu Raila Odinga aliyekuwa darling wa Mzungu alikuwa kila kukicha yuko Ulaya au USA kuchongea wenzake, Raila Odinga aliyepeleka wenzake The Hague leo hii Mzungu kamgeuka na kapigwa ban kukanyaga Ulaya na USA? Kweli Jew hana rafiki, ipo siku hata hapa kitabadilika tu, ni swala la muda kama...
  6. Kenya wana Katiba Nzuri, Tume huru ya uchaguzi, lakini Raila analalamika kuibiwa kura, na bei ziko juu, na tozo zimejaa

    Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka? Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu. Tozo ziko...
  7. Dunia haina usawa, Miguna Miguna kaamua kulianzisha dhidi ya Raila Odinga

    Huyu jamaa kama mnakumbukumbu ndiye aliyemwapisha aliyekuwa jamaa yake wakati huo ndugu Raila Odinga baada ya uchaguzi uliompatia ushindi Rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Jamaa baada ya kuona mambo magumu alikimbilia uhamishoni Canada. Katika hali isiyokuwa ya kawaida jana amempiga na kitu kizito...
  8. Kenya: Mlinzi wa mke wa Raila Odinga auawa kwa kupigwa risasi

    Mlinzi huyo aliyefahamika kwa jina la Barrack Jaraha ameuawa leo Ijumaa Oktoba 14, 2022 nyumbani kwake huko Riat, Kaunti Ndogo ya Kisumu saa 11 alfajiri. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Nyanza, Karanja Muiruri amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akisema uchunguzi unaendelea ili kubaini sababu za...
  9. Raila Odinga: Nimekubali matokeo kuepusha umwagaji Damu na kushitakiwa ICC

    Ni takriban wiki mbili zimepita Tangu Rais William Ruto aidhinishwe na Mahakama ya Juu kuwa Rais Mteule na kuapishwa kuwa Rais wa 5, Raila Odinga ametoka hadharani na kusema hofu ya kifo na machafuko imefanya akubali kushindwa Urais. Odinga aliyegombea Urais mara 5 na kupoteza mara zote amesema...
  10. Mfalme wa Marathon! Rais Ruto na Raila Odinga wampongeza Eliud Kipchoge

    Mshindi mara mbili wa Olimpiki, Mkenya Eliud Kipchoge, ameshinda kwa kuvunja rekodi yake mwenyewe na kuweka rekodi mpya ya dunia katika mbio za Berlin marathon Jumapili. Akivuka mstari ndani ya saa mbili tu, dakika moja na sekunde tisa aliwahi kwa sekunde 30 kutoka kwenye rekodi yake ya awali...
  11. Mfalme wa Marathon! Rais Ruto na Raila Odinga wampongeza Eliud Kipchoge

    Bingwa wa mbio za Marathon za Olimpiki mara mbili Eliud Kipchoge ameshinda mbio za Berlin Marathon kwa kuweka rekodi mpya. Kipchoge alishinda mbio hizo kwa kukimbia saa 2:01:09 katika mbio za maili 26.2. Ameshinda rekodi yake ya Dunia kwa tofauti ya sekunde 30 dhidi ya Mark Korir aliyeibuka wa...
  12. Raila Odinga: Nilikwenda Zanzibar kuondoa mshtuko wa kupoteza Uchaguzi

    Aliyekuwa Mgombea Urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga alieleza kwamba alisafiri kwenda Zanzibar pamoja na familia yake yote ili kupata nafuu baada ya kushindwa Uchaguzi wa Agosti 9, 2022. Waziri Mkuu huyo wa zamani alibainisha kuwa safari ya nje ya nchi ilikuwa muhimu kuwezesha familia yake...
  13. J

    Aisee kumbe Mawakili wa Raila Odinga ni vilaza kiasi hiki?

    Kuna wakili wa Odinga anaitwa Julie Soweto, huyu wakili tangia siku ya kwanza ya kesi alikuwa akitoa data za hatari bila woga ambapo kwa mtu wa kawaida ukimsikiliza bila ku fact check madai yake basi utaamini uchaguzi uliibiwa waziwazi Leo tena huyu wakili kaja na kituko kingine, kwenye...
  14. Kenya2022 Tume ya Uchaguzi IEBC yamshutumu Raila Odinga kughushi nyaraka za ushahidi

    Wakili wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Mahat Somane, amesema kiongozi wa Azimio, Raila Odinga ameghushi nyaraka za ushahidi alizowasilisha mbele ya Mahakama Kuu katika ombi lake la Kupinga Matokeo ya Urais Katika mawasilisho yake leo Septemba 1,2022 Wakili Somane aliitaka Mahakama Kuu...
  15. J

    Kenya2022 Jaji amuumbua Raila Odinga kwa swali gumu

    Kwa mnaofuatilia mnakumbuka wale makamishna 4 wa IEBC walivyotoka saa ya mwisho matokeo yakitaka kutangazwa na kusema hawayatambui Jaji anawauliza mawakili wa Odinga kwa nini muda wote walikuwepo na kuonekana kusoma matokeo kwenye Tv ila baada ya kuona Raila anashindwa wakasema hawayatambui?
  16. Kenya2022 Maswali na Majibu yote kutoka Mahakama Kuu kuhusu Pingamizi la Matokeo ya Urais

    Githu Muigai: Waangalizi wote walirudi na hitimisho moja. Huu ulikuwa uchaguzi wa wazi na wazi. Githu Muigai: Ningekuhimiza uwaulize mawakili ikiwa wanafurahia uchaguzi wao wenyewe. Ikiwa wamefurahi, basi inakuwaje uchaguzi huu una dosari? Githu Muigai: Katika mahakama hii, kuna magavana...
  17. Kenya2022 Raila Odinga kukagua Server za Tume ya Uchaguzi leo

    Mahakama ya Juu imeamuru Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) iruhusu Azimio la Umoja kufikia seva zinazotumiwa kutuma matokeo katika Kituo cha Kitaifa cha Kujumlisha Kura ikiwa ni pamoja na kutoa nenosiri la usimamizi wa mfumo Zoezi hilo limeratibiwa kufanyika leo, Jumatano, Agosti 31...
  18. Kenya2022 Raila Odinga aahidi kuheshimu uamuzi wa Mahakama juu ya Matokeo ya Urais

    Raila Odinga amesema ana ushahidi thabiti kwamba alishinda katika kura za Urais na ana imani kwamba Mahakama ya Juu itakubali ombi lake la kutengua matokeo ya uchaguzi wa Agosti 9, ambapo William Ruto alitangazwa Mshindi kwa Kura 50.5% dhidi ya 48.8% Ameongeza kuwa ataheshimu matokeo ya uamuzi...
  19. Kenya: Mwanasheria Mkuu asema hapingani na Pingamizi la Raila Odinga

    Paul Kihara Kariuki amewasilisha andiko hilo Mahakama Kuu akionesha kwamba hatosimama kupinga na maombi 8 ya Pingamizi lililowekwa na Raila Odinga la kutaka kubatilishwa Matokeo wa Urais. Wakili Mkuu, Kennedy Ogeto, akizungumza kwa niaba ya Mwanasheria Mkuu, alithibitisha hatua hiyo katika...
  20. Kenya2022 Kushindwa Kwa Raila Odinga ni pigo kubwa kwa Kenyatta, labda Mahakama itamnusuru na aibu

    Huyu jamaa kwa sasa usingizi wake ni mbaya, siku zote aliyemadarakani ndie hulalamikiwa Kwa kuiba kura lakini Kwa Kenya imekuwa tofauti aliyepo madarakani ndie analalamika kuibiwa. Kama ruto ataapishwa na kuwa Rais wa Kenya ,basi ujue ati uhuru atajipata mpweke sana. Na sio tu kuwa mpweke Bali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…