Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,411
- 8,911
Huyu huyu Raila Odinga aliyekuwa darling wa Mzungu alikuwa kila kukicha yuko Ulaya au USA kuchongea wenzake, Raila Odinga aliyepeleka wenzake The Hague leo hii Mzungu kamgeuka na kapigwa ban kukanyaga Ulaya na USA?
Kweli Jew hana rafiki, ipo siku hata hapa kitabadilika tu, ni swala la muda kama mpaka Raila Odinga kageukiwa wewe ni nani hadi unyanyase na kukejeli watu kisa sababu tu leo Mzungu yuko upande wako?
Pole sana Raila Odinga nakumbuka enzi Obama ulikuwa mpaka unasema ni cousin yako, vipi anapokea simu leo?
Ipo siku, narudia ukombozi umekaribia, endeleeni na kejeli lkn Jew hana rafiki, muulizeni Raila Omoro Odinga.
Kweli Jew hana rafiki, ipo siku hata hapa kitabadilika tu, ni swala la muda kama mpaka Raila Odinga kageukiwa wewe ni nani hadi unyanyase na kukejeli watu kisa sababu tu leo Mzungu yuko upande wako?
Pole sana Raila Odinga nakumbuka enzi Obama ulikuwa mpaka unasema ni cousin yako, vipi anapokea simu leo?
Ipo siku, narudia ukombozi umekaribia, endeleeni na kejeli lkn Jew hana rafiki, muulizeni Raila Omoro Odinga.