Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,023
- 2,742
Huyu jamaa kwa sasa usingizi wake ni mbaya, siku zote aliyemadarakani ndie hulalamikiwa Kwa kuiba kura lakini Kwa Kenya imekuwa tofauti aliyepo madarakani ndie analalamika kuibiwa. Kama ruto ataapishwa na kuwa Rais wa Kenya ,basi ujue ati uhuru atajipata mpweke sana.
Na sio tu kuwa mpweke Bali ataondoka ameinama! Odinga ndiye alikuwa hasimu wake mkubwa sana ,lakini ghafla ameunda nae Urafiki baada ya mikiki mikiki mingi .odinga anafahamika kwamba hawezi kukubali kushindwa na ndipo waona miaka kadhaa iliyopita ndiye alikuwa kinara wa maandamano nasema hatima na manusura ya Kenyatta na odinga ni mahakama na hata kama uchaguzi utaingia duru ya pili bado ruto atashinda Kwa sababu tayari jamii imebadili mtazamo.
Naamini kwamba Kenyatta atataka kuiacha nchi kwa mtu yeyote na sio ruto. Hivyo yawezekana kabisa kwamba kesi hii Kenyatta inamhusu zaidi
Na sio tu kuwa mpweke Bali ataondoka ameinama! Odinga ndiye alikuwa hasimu wake mkubwa sana ,lakini ghafla ameunda nae Urafiki baada ya mikiki mikiki mingi .odinga anafahamika kwamba hawezi kukubali kushindwa na ndipo waona miaka kadhaa iliyopita ndiye alikuwa kinara wa maandamano nasema hatima na manusura ya Kenyatta na odinga ni mahakama na hata kama uchaguzi utaingia duru ya pili bado ruto atashinda Kwa sababu tayari jamii imebadili mtazamo.
Naamini kwamba Kenyatta atataka kuiacha nchi kwa mtu yeyote na sio ruto. Hivyo yawezekana kabisa kwamba kesi hii Kenyatta inamhusu zaidi