In public relations and communication science, publics are groups of individual people, and the public (a.k.a. the general public) is the totality of such groupings. This is a different concept to the sociological concept of the Öffentlichkeit or public sphere. The concept of a public has also been defined in political science, psychology, marketing, and advertising. In public relations and communication science, it is one of the more ambiguous concepts in the field. Although it has definitions in the theory of the field that have been formulated from the early 20th century onwards, and suffered more recent years from being blurred, as a result of conflation of the idea of a public with the notions of audience, market segment, community, constituency, and stakeholder.
Niwe mkweli, public reception ya Mpina haijawa kubwa kivile kama ilivyotegemewa. Hii ni tofauti na public reception waliyopata Maalim Seif alipoanzisha KAMAHURU na baadaye CUF, Mrema kuhamia NCCR na Lowassa kuhamia CHADEMA. Hawa walipohama walihama na wanachama wa CCM na viongozi wao na jamii...
General Mohamed Siad Barre, the last President of a unified Somalia
When he was ousted in a coup by several warlords whose public face was General Mohamed Farah Aideed, Siad Barre escaped to Kenya where he stayed at the Safari Park Hotel for about two months, reportedly incurring expenses...
Miaka ya 90 kurudi nyuma open space zilikuwepo ila ghafla miaka ya 2000 kuelekea 2010's zikaanza kuota mbawa sasa hivi kwenye miji yetu hakuna public garden, open space na sport centre to be honest hali ni mbaya
Sehemu kama dsm hali ni mbaya zaidi sababu unaweza tembea km 10 hakuna open space...
Kwa mujibu wa Sheria ya Nchi leo tarehe Julai 7 sio siku ya mapumziko, ni siku ya kazi kama siku zingine. Lakini ajabu ni kwamba ofisi zoooote za umma zimetiwa kufuli na watu wamepumzika kuanzia jumamosi.
Yaani maafisa wamejipa tu mapumziko, kuanzia mtendaji wa kijiji mpaka Mwanasheria Mkuu na...
Hili swala nilitaka kuliongelea mda mrefu sana hasa kwenye swala la mbunge wa babati alichomfanyia kijakazi wake nikaghairi
Ila siku za karibuni nimeona mijadala mingi kuhusu Director of Public Prosecution yafutayo ni maoni yangu juu ya nafasi ya DPP
Awe anachaguliwa na wananchi
Atakuwa chini...
Watu wanauliza na ku - speculate Askofu Gwajima alipo na anafanya nini...
Wengine kina DC wa Ubungo mhuni Albert Msando wanadhani na kudai labda Mchungaji wetu kajificha eti kwa kuwaogopa polisi..
Anadai kama ana haki na yuko sahihi, basi ajitokeze na kueleza nini kimetokea hadi ikawa vile...
Africans have been blessed with great hypocrisy. Even when things are not right we pretend not to see it.
Samia's best friends in Tanzanaia at the moment are big investors and businessmen who benefit from a weak government, Normal citizens do not understand Samia at all.
Believe it or not, in...
wanasema tembea ujionee.Ndio maana mkinunua magari used yao kukuta vyakula na vitu vengine ndani ya gari ni kitu cha kawaida.
Japani ukinunua kitu chochote mfano chakula basi hakikisha una cha kubebea uchafu ili ukatupie kwako.
Na uchafu ambao unaweza kukuta unatakiwa kupokelewa ni chupa za...
Samia the bible in ReV: 16:15
It says :
““Listen! I am coming like a thief! Happy is he who stays awake and guards his clothes, so that he will not walk around naked and be ashamed in public!””
Revelation 16:15
Please step down now ! The hand of God will fall on you very soon!
You have...
Mandhari ya kidini Nchini Tanzania inatawaliwa na Ukristo (takriban 55-63% ya idadi ya watu) na Uislamu (31-34%), huku vikundi vidogo vikifuata Dini za jadi za Kiafrika (1-11%), na dini nyingine kama Uhindu, Ubuddha, Usikh, na Baha’i (chini ya 1% kila moja). Zanzibar ni tofauti, ambapo 99% ya...
Habari wakuu
Kwako mama Samia Suluhu na waziri wa ardhi wa JMT
Dar es salaam imekuwa ni kijiji ambacho kimezungukwa na Bar kila kona, Kelele na kumbi za sherehe huku beach zetu nazo ni chafu sana
Sisi tusiopenda vitu vya namna hiyo, tunakosa mahali pa kwenda kupumzika na kupeleka watoto. Si...
Hivi sisi waafrica nani aliyeturoga kiasi ambacho hata viongozi hawajui ofisini wanafanya nini ilimradi tu siku ziende.
Hebu angalia kauki ya juzi ya pm eti wenye digrii waende VETA. Kwa nchi ambaso ziko serious angefurushwa uwaziri mkuu palepale au kujiudhuru mwnyewe.
Waziri mkuu...
Guys Leo nimeona nizungumzie kuhusu air defense system ambazo Rwanda Wana deploy.
Asilimia kubwa ya system ambazo ziko public Rwanda anazinunua zinatoka Russia lakini watz wengi wamekua na hofu kwamba Rwanda anakuwa more strong zaidi ya Tanzania na kubwa ambacho pia wengi hawaelewi ni...
Town Kuna joto ndani ya muda mfupi unaweza jikuta umekata hata 2 litres kimbembe kinakuwa unapokuwa kwenye mazingira ambayo hayana access ya restroom kama Bank.
Je na wenzetu huko Ulaya bank zao hazina vyoo??
Huu uhuni tumeanza lini ?
Barua ya Katibu Kiongozi inatoka haina mhuri haina signature ?
Unajua hata nzi ameamua kua mhuni tu ndio maana anasambaza kipindupindu lakiji angeamua kua na akili angetengeneza asali kama mwenzie nyuki. T
unaweza kuamua kua serious kidogo? Kidogo tu
Wakuu,
Kusema watumishi wa umma wafanyie kazi nyumbani huku sekta nyingine zinafanya kazi kama kawaida ndio mmepunguza nini?
Kwanza tunajua serikali hainaga utaratibu wa ku-work from home. Hiyo ni holiday ya moja kwa moja. Akifunga vitu ijumaa atakuja kuendelea jtatu pale alipoishia.
Lengo la...
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.
Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza...
Employment Opportunity
Position: Digital Public Infrastructure (DPI) Advisor to East African Community (EAC)
Duty Station: Arusha, Tanzania
Job Band: 4
Contract: Fixed Term
About GIZ
The Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ) GmbH is a federally owned enterprise...
Habari zenu wana JF mimi ni mgeni humu, na nilikua naomba mnisaidie japo ushauri.
Nina mjomba wangu .amemaliza kidato cha nne mwaka huu na nikimuuliza kuhusu ndoto zake na kitu anachopenda kufanya ananiambia anapenda computer na umeme na anatamani awe mtu anaefanya kazi za graphics...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.