Wakuu nimemtumia siku tatu kufanya marejeo ya videos na clips mbali mbali zinazohusu matukio yaliyotokea kwenye mechi ya hatua ya 16 Bora kati ya Argentina na Egypt.
Nimefikia muafaka huu
1.Lisandro martimez alikanyagwa na ilikuw faulo ni uamuzi sahihi kufuta goli
2.Mohamed Salah alijirusha baada ya mgusano mdogo sana wa viatu kati ya yeye na Alvarez. Kwa tukio hili Salah alitakiwa apewe kadi ya njano kwa kudanganya
3.Mac Alister alivutwa na kutolew kwenye stand na mchezaji wa Egypt kipind cha kwanza .Hii ilipswa kuw penati ila refa akaa ha
4.Mac Alister alimvuta kidg mchezaji wa misri ndani ya boksi la Argentina hii pia ilitakiw iwe penati afaidike misri
Kwaiyo kiujumla maamuzi ya refaree yalibalance na hakuna aliyefaidika zaidi ya mwenzie
Kama unabisha utakuw unaongea na chuki na ushabiki na sio mpira halisi
😆😆😆😆😆😆
Nimefikia muafaka huu
1.Lisandro martimez alikanyagwa na ilikuw faulo ni uamuzi sahihi kufuta goli
2.Mohamed Salah alijirusha baada ya mgusano mdogo sana wa viatu kati ya yeye na Alvarez. Kwa tukio hili Salah alitakiwa apewe kadi ya njano kwa kudanganya
3.Mac Alister alivutwa na kutolew kwenye stand na mchezaji wa Egypt kipind cha kwanza .Hii ilipswa kuw penati ila refa akaa ha
4.Mac Alister alimvuta kidg mchezaji wa misri ndani ya boksi la Argentina hii pia ilitakiw iwe penati afaidike misri
Kwaiyo kiujumla maamuzi ya refaree yalibalance na hakuna aliyefaidika zaidi ya mwenzie
Kama unabisha utakuw unaongea na chuki na ushabiki na sio mpira halisi
😆😆😆😆😆😆