Ladies First ni mashindano ya riadha kwa wasichana wa Tanzania, yalianza kushindaniwa mwaka 2017 kwa hisani kwa udhamini wa Shirika la Maendeleo la Japan JICA.
Mashindano haya yalibuniwa na mkimbiaji nguli wa enzi hizo Kanali Juma Ikangaa, aliomba ufadhili kutoka Japan na hatimaye yakaanzishwa...