Simamia Stock za Dawa, Mauzo, Expiry & Ripoti za Kifedha kwa Urahisi (BEI RAFIKI)
Wamiliki wa pharmacy / duka la dawa,
Hebu niulize swali la kweli 👇
👉 Umewahi:
Kukuta dawa zime-expire bila wewe kujua?
Kukosa stock ya dawa muhimu wakati mteja yupo?
Kupata hasara kwa sababu ya dawa kupotea au...
Heri ya mwaka mpya wana JF, kwa mwenye uhitaji wa mtu wa kuuza pharmacy au NURSE anicheki, nina cheti cha ADO na nimesoma Medical Attendant, nina uzoefu mkubwa wa hizo kazi zote zilizomention hapo juu, mawasiliano yangu 0672498183, KITUO CHA KAZI KIWE DAR ES SALAAM, asanteni
Ila sisi wanaume tunadhambi sana mdada wa watu anajitahidi kwenye kitanda akuonyeshe mautundu kwa ahadi ya kufunguliwa pharmacy baada ya kuzaa pharmacy ndio hio hapo chini sasa🤣🤣🤣👇👇👇👇
Toka nakua namsikia huyu jamaa matangazo yake EATV, miaka ya karibuni kaingia kwenye madawa(Pharmacy) ila sijawahi jua inamilikiwa na nani? Ni mbongo ?
Jamaa kadumu kwenye game la nguo toka kitambo sana, toka 2007 huko namsikia hadi leo bado yupo strong,
Nani anamjua huyu jamaa? Na napenda...
Pharmacy inauzwa
Inauzwa na Kila kitu chake
Shelves,ac,mini fridge na dawa zote
Imeshalipiwa kodi ya miezi 6 tayari
Ipo banana njia ya Moshi Bar
Dar es salaam
Bei Milioni 14
0775 179905
Wakuu, ngoja leo niseme jambo moja ambalo nimepatwa nalo hapa katikati nilipokua kwenye mihangaiko yangu ya kutaka kukipata kilinda afya yangu ili nisipatwe na STI bila kutarajia sababu sikujikinga.
Nilitoka zangu nikaelekea Pharmacy moja kubwa tu na kwenye hii Pharmacy hua kuna shift ya...
Leseni ya biashara si tu huchangia kutambulika kisheria, bali pia husaidia kuepuka usumbufu wa kufungiwa biashara na kufungua fursa za huduma nyingine muhimu kama mikopo.
Faida za kuwa na Leseni ya Biashara
1. Hutambulisha biashara yako kisheria.
2. Huhitajika unapofungua akaunti ya benki ya...
Kama una mpango wa kuomba kusoma pharmacy,omba vyuo vifuatavyo:
1. Muhimbili ( Muhas)
2. Bugando ( Cuhas) cha wakatoliki
3. Bugando ( Mwachas) cha
serikali
4. KSP kipo KCMC Moshi
5. Udom
6. Mtwara Cohas
7. Tabora Cohas
Vyuo vingine go at your own risk!
Utahangaika sana hasa utakapokuja kufanya...
Nikiwa Rais wa Tanzania kutakua na mpango wa kuzalisha dawa hapa Tanzania, je wajua njia za kutengeneza dawa???
Zifuatazo ni njia za kutengeneza dawa
Kama nchi tutategeneze library kubwa itakayokuwa na chemical or compound zinazopatika kwenye nature na zinaposes unique features kama;- ENGULF...
Wakuu,
Nina 10M. Natak nifanye biashara la duka la urembo (Perfumes, mafuta, Saa,cheni,wigi,sandals etc.) au nifungue mini pharmacy.
Kwa Dar es salaam.
Naombemi mchanganuo Biashara ipi Inalipa?
Anahitajika Bachelor Pharmacist mwenye leseni kusimamia Phamarcy
Location: Dar es Salaam
NOTE : SIO LAZIMA YEYE KUWEPO PHYSICALLY
SALARY : NJOO NA DAU LAKO
Mawasiliano: 0767810030
Anahitajika Bachelor Pharmacist mwenye leseni kusimamia Phamarcy
Location: Dar es Salaam
NOTE : SIO LAZIMA YEYE KUWEPO PHYSICALLY
SALARY: NJOO NA DAU LAKO
Mawasiliano: 0767810030
Habari wana JF,
Nina rafik yangu alisoma CBG akapata division II ya 12, baada ya hapo akaenda kusoma clinical medicine akapata GPA ya 4.2.
Sasa anaomba msaada je akitaka kusoma Bsc pharmacy itawezekana kwa hivyo vigezo tajwa hapo juu?
Nipo kwenye last steps kukamilisha hiyo system ambayo inaweza fanya hivi-
1-create users with different roles and permissions
2-add stock
3-sell stock
4-truck proft and usage
5-view and export reports
And more
In lab section
Track participant from reception to doctor, lab n.k
Sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.