pepo

  1. D

    Nimegundua rasmi kumbe shetani ni binadamu wala si pepo kama wengi tulivyokaririshwa

    Nimekuwa nikitafta namna ya kumhoji shetani! Lakini rasimi kafunguka! Kasema kwamba baadhi ya mambo mengi binadamu tunamsingizia shetani! Mfano: Anayekufunga kwa hira ni Binadamu mwenzako tena kutwa yupo kanisani Anayewanyima haki binadam wenzake ni binadamu huyuhuyu aliyeapa kwa katiba...
  2. sky soldier

    Rafiki yangu akisikia mziki anaoupenda anaucheza bila kujali eneo, je ni pepo?

    Huyu ni rafiki yangu tangia zamani na mpaka leo tupo karibu, tunafanya nae kazi shirika moja na ni moja ya marafiki zangu wachache ambao tumejuana muda mrefu. Sasa huyu rafiki yangu anapenda sana muziki kuucheza tangu sekondari, huko chuo ndio kabisa alikuwa mzee wa disco sana, na hata...
  3. Planett

    Kama unajua matumizi ya iki kifaa PEPO utaishia kuisikia tu

    Wajomba kama unajua kazi ya hiki kifaa nenda katubu kwa Muumba wako haraka sana.
  4. Distant Relatives

    Je, wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani?

    Habari wadau? Kwanza naomba ieleweke lengo la hoja hii ni kuelimishana. Nilikuwa nasikiliza mawaidha ya Sheikh, ambaye bahati mbaya sijaweza mpata jina, akielezea juu ya maisha baada ya kifo. Ujumbe wake ni kuwa wanadamu watii maamrisho ya Mungu, huku wakiahidiwa pepo yenye maisha ya starehe...
  5. funluverx

    Nikikukuta Mbinguni, nitaaanzisha maandamano.

    Tulikuwa wapenzi miaka kadhaa nyuma. Tukaachana kwa amani. Majuzi tukakutana ghafla tena, Yeye akiwa Kaolewa na Vitoto viwili vizuuriii pacha. Kiukweli kapendeza hadi Udenda unanichuruzika.Ila, nikawa nashindana na shetani wa matamanio, Shetani shindwa!! Lawama kibao ananimwagia; "una tabia...
  6. P

    Pepo la Itunes limelitoa leo

    Iphone tunatumia lakini kuna mambo mengine ya apple tunajikaza tu, ni ya kiduwanzi ile mbaya, kimoja wapo ni hili jinamizi la iTunes, msema kweli mpenzi wa Mungu. Nenda apple app store download VOX. Hili li iTunes la Apple eti ukicheza playlist mwimbo wowote inaanzia ulipoishia mara ya...
  7. M

    Kemea Pepo la Mapingamizi

    Kwa kawaida kwenye ibada wanazo shiriki wengi, kunakua na vipindi mbalimbali. Kuna praise and worship, kuna mahubiri, kuna maombezi na kadhalika na kadhalika. Upande wa siasa, waungaji mkono wa zile juhudi wamemaliza kipindi Peaise and Worship! Wanaounga mkono sasa hivi wapo kwenye kipindi...
  8. Maleven

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  9. Hismastersvoice

    Askofu Gamanywa: Pepo la kuasi liko ndani ya vyama vyote vya siasa siyo upinzani pekee

    MEZA YA BUSARA WAPO RADIO ipo hewani muda huu ni vizuri kuiskiliza, leo imekuja na hoja kuwa Upinzani ni uasi. Huku ni kipindi maalum kilichozinduliwa na Polepole wiki iliyopita mahsusi kwa kampeni za uchaguzi kwa CCM.
  10. sabuwanka

    Miaka 16 imetimia tangu nilishinde pepo la uvutaji bangi na punyeto

    Leo Ni siku ya jumapili ya mwisho wa mwezi January, napenda kuchukua nafasi hii kuongea na vijana, mtakumbuka miaka ya 1990 ni kipindi ambacho vijana wa shule ya msingi walikuwa vidume.... Vidume vikongwe vikiwa vinasoma msingi....na Mimi nikiwa kijana mdogo nilijifunza tabia zao ikiwemo kuvuta...
  11. J

    Mzee Lowassa awatakia uchaguzi mwema CHADEMA. Zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi hutokea kisulisuli!

    Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli. Siasa sio uadui Maendeleo hayana vyama!
Back
Top Bottom