Nimekuwa nikitafta namna ya kumhoji shetani!
Lakini rasimi kafunguka! Kasema kwamba baadhi ya mambo mengi binadamu tunamsingizia shetani!
Mfano:
Laiti kama KISU kikitumika sawasawa hakina MADHARA!
Ndivyo ilivyo kwa Shetani! Anasema hana shida na mtu! Bali ni sisi wenyewe Binadamu HATUJIELEWI!
Shetani anasema yeye Hapendi SHIDA! Yeye ni kama Nyundo ya FATUMA! ni maamuzi ya BINADAM kujengea au kubomolea!
Ni hayo tu shetani kasema na mm!
Lakini rasimi kafunguka! Kasema kwamba baadhi ya mambo mengi binadamu tunamsingizia shetani!
Mfano:
- Anayekufunga kwa hira ni Binadamu mwenzako tena kutwa yupo kanisani
- Anayewanyima haki binadam wenzake ni binadamu huyuhuyu aliyeapa kwa katiba
- Anaekuwangia usiku ni binadamu anaetumia wanyama kama paka n.k
- Anaekugongea mkeo/ mmeo ni binadamu kama wewe
- Anarkuzungusha kukupatia huduma kwenye ofisi ya Umma ni binadamu mwenye moyo na damu
- Huko hospital anaemtelekeza mgonjwa wako ni huyo binadamu
- Anaekuombea njaa ni binadamu shetani yeye anasema ni mtu wa bata
- Anaekunyima Uhuru wa habari ni binadamu kama wewe
- Mabaya yote tunayoyaona yanatoka kwa binadamu wenzetu wenye moyo na damu n.k
Laiti kama KISU kikitumika sawasawa hakina MADHARA!
Ndivyo ilivyo kwa Shetani! Anasema hana shida na mtu! Bali ni sisi wenyewe Binadamu HATUJIELEWI!
Shetani anasema yeye Hapendi SHIDA! Yeye ni kama Nyundo ya FATUMA! ni maamuzi ya BINADAM kujengea au kubomolea!
Ni hayo tu shetani kasema na mm!