Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.
Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu...
Mashine ya Kutengeneza na Kukausha Chaki za Shuleni ON SALE Tsh 30mil (Milioni 30)
Karibu tufanye biashara. Call 0767 235923.
Sifa za Mashine ya Kutengeneza Chaki:
Inatumia Umeme wa Single Phase;
Ni Semi-Automatic: Inatumia Motor kuchanganya Unga wa CHaki na Maji;
Ina Moulds (vinu) 6 za...
Wanabodi umofia kwenu
Nianze kwa kumpa pole na hongera Mh. Rais Magufuli kazi njema anazofanya kila siku,
Hoja yangu ni alipokuwa anaingia Madarakani alipiga marufuku mikutano ya kisiasa na kusema tufanye kazi siasa itakuwa kipindi cha uchaguzi.
Sasa tupo katika kipindi hiki cha uchaguzi...
WAJUMBE SALAAM!
Hivi karibuni kumejitokeza matukio ya utovu wa nidhamu mashuleni na adhabu mashuleni.
Nianze na utovu. Miaka ya leo wanafunzi wameshuka kinidhamu sana. Yapo matukio ya walimu kupigwa, kutukanwa, kukejeliwa na mwalimu anapochukua hatua stahiki wanafunzi huja juu kwa kumtishia...
Mwaka jana madai ya uchaga yaliibuliwa na gazeti la JAMVI LA HABARI likisema maaskofu wa kanisa katoliki huteuliwa kwa kufuata uchaga. Madai hayo haya hapa (bonyeza hapa)
Mtakumbuka madai haya yaliingia hadi bungeni gazeti hili kujadiliwa.
Jumatano iliyopita ina makala moja ya RAIA MWEMA...
wakuu wanabodi nawasalimu.
umepita muda kidogo sijashiriki mjadala humu lakini yote yako powa kabisa na sijatekwa kama wangine walivyodhani. tuko bize na safari ya kuhamia dodoma.
miezi kama 6 hivi imepita niliandika mada kuhusu ujenzi wa #MfumoMagufuli au #MfumoJiwe. mada iko kwenye uzi huu...
November 09, 2018
Staff Writers, Africa Analysis, New York
A senior economist within the World Bank system has clarified that the Bank's travel advisory note to its members composing a mission that was supposed to visit Tanzania this time around pending “security assessment” is a normal...
Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli
Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.
Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10)...
Jumamosi April 15 mwaka huu umoja wa kizazi cha kuhoji nchini (UTG) ulifanya mkutano na waandishi wa habari kuelezea juu ya matukio mbalimbali ya watu kupotea, kutekwa na wengine kuuawa. Katika mkutano huo tulieleza baadhi ya hatua tulizochukua kuhusu hali hii ya kuogofya inayoendelea nchini kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.