Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Wanabodi umofia kwenu
Nianze kwa kumpa pole na hongera Mh. Rais Magufuli kazi njema anazofanya kila siku,
Hoja yangu ni alipokuwa anaingia Madarakani alipiga marufuku mikutano ya kisiasa na kusema tufanye kazi siasa itakuwa kipindi cha uchaguzi.
Sasa tupo katika kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa naomba kupendekeza mikutano iruhusiwe ili kuleta demokrasia kwa wote.
Nyinyi mnaomsaidia Rais Magufuli mkumbusheni wakati ndo huu
Swali je kuna uchaguzi usio na kampeni hapa Tanzania?
Nni maoni yako?
Naomba kuwasilisha.
Nianze kwa kumpa pole na hongera Mh. Rais Magufuli kazi njema anazofanya kila siku,
Hoja yangu ni alipokuwa anaingia Madarakani alipiga marufuku mikutano ya kisiasa na kusema tufanye kazi siasa itakuwa kipindi cha uchaguzi.
Sasa tupo katika kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa naomba kupendekeza mikutano iruhusiwe ili kuleta demokrasia kwa wote.
Nyinyi mnaomsaidia Rais Magufuli mkumbusheni wakati ndo huu
Swali je kuna uchaguzi usio na kampeni hapa Tanzania?
Nni maoni yako?
Naomba kuwasilisha.