Superficial
Member
- Nov 25, 2023
- 60
- 96
Kusema kweli huyu dogo mainoo wa Man UTD wamezidi kum overrate mpaka inafika stage unajiuliza kwa kipi alichofikisha au ku achieve.
Sasa nilikuwa najiuliza je ingekuwa cole pamer angekuwa man utd na kwa performance ya namna hii msimu huu situngemkuta adi kwenye billboards aisee😂😂
Ila kiukweli haka katabia kaku overrate wachezaji sanasana man utd ndo wahanga wa hili janga,ambapo makelele ni mengi afu ukikaa na kujiuliza nothings up.
Kwa nyie overraters njooni mnambie kwanini mnafanya ivo kwa hawa madogo.
NB;NAKARIBISHA NEGATIVE COMPLIMENTS ONLY🤣😂
Sasa nilikuwa najiuliza je ingekuwa cole pamer angekuwa man utd na kwa performance ya namna hii msimu huu situngemkuta adi kwenye billboards aisee😂😂
Ila kiukweli haka katabia kaku overrate wachezaji sanasana man utd ndo wahanga wa hili janga,ambapo makelele ni mengi afu ukikaa na kujiuliza nothings up.
Kwa nyie overraters njooni mnambie kwanini mnafanya ivo kwa hawa madogo.
NB;NAKARIBISHA NEGATIVE COMPLIMENTS ONLY🤣😂