out

  1. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Leo tutoke Out kidogo

    Hellow Leo hatupiki leo tunatoka out kidogo kusafisha macho Kwanza nilianzia kanisani kubugujika kidogo baada ya hapo nikawa nawaza kichwa kizito so niende sehemu ya karibu na hapa nikaona ni cape town sehemu yangu pendwa Nikawa natuliza akili mm situmii pombe kabisa nikaagiza moctail...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Trump akimwambia Paul Kagame out, Ni dhahiri nchi zetu si lolote kwa Kagame?

    Tarifa iliyopo huko X (Twitani) ni kwamba, muda wowote PK ataanza kuchezea vikwazo na ama kufurushwa kabisa ikuluni na hawa walezi wa dunia hii Swali ni kwamba, nchi za Africa haziwezi kabisa kuadabishana mpaka tuingiliwe na watu dunia ya mbaali huko? Kama ndivyo, Je, Africa inaouwezo sasa...
  3. euca

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu anayesoma diploma ya Procurement and supply chup kikuu huria OUT.

    Habari za wakati huu wana jamiiforum, Rejea kichwa cha Habari hapo juu ni kwamba Nina tafuta mtu anayesoma katika Chuo Kikuu huria OUT, kozi ya procurement and supply ngazi ya Diploma lakini pia kama Kuna mtu utakuwa unamfahamu na hayupo humu basi waweza niunganisha naye PM ipo wazi,Ahsante.
  4. Damaso

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe no way out

    This is happening in Zimbabwe 🇿🇼
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Trump unveil exploit done by mobile company! Out of the will.

    Tell Kenyan company!
  6. uhurumoja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu nilisema simtoi out nibane matumizi Sasa katika nguvu zote zimeisha

    😂😂😂nikija kulia mnipokee wakuu huenda nimepigwa dawa Safari Longoni beach
  7. Dr. Wansegamila

    JamiiForums Tanzania Namna nilivyopambana na Kampuni Binafsi ya Bima Ya Afya na kuwapiga Knock Out kwa msaada wa Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima (TIO)

    Igweeee wananzengo, Leo napenda ku-share uzoefu wangu na moja ya kampuni binafsi za bima ya afya hapa Tanzania ambayo walikataa kabisa kulipia matibabu ya mke wangu, ikiwemo upasuaji, huku wakitoa sababu ambazo zipo kinyume kabisa na mkataba wangu kati yao. Pia, nilipojaribu kuwasiliana nao...
  8. SIPENDI SIASA

    JamiiForums Tanzania Kwanini Bajaj na Pikipiki hazina "number plates" kwa mbele kama magari? I'm just asking out of curiosity

    Mambo vp wadau wa JF. Ninaomba kuelimishwa kwa maana elimu haina mwisho. I'm just asking this out of curiosity (Curiosity once killed the 🐈 cat) Je, ni takwa la kisheria au ni uamuzi tu wa watu wachache kwa maana Magari, Bajaj na Pikipiki vyote ni vyombo vya moto.. ~ SIPENDI SIASA ~
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume bora lazima umtoe out mkeo na kumnunulia zawadi. Haiwezekani mwaka mzima hujafanya hivyo!

    MWANAUME BORA LAZIMA UMTOE OUT MKEO NA KUMNUNULIA ZAWADI. HAIWEZEKANI MWAKA MZIMA HUJAFANYA HIVYO. HUO NI USHENZI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Siku 365 na masaa kadhaa Mkeo na watoto wapo nyumbani kama gereza la Kinguruila. Kila siku kupika chakula hapo nyumbani huyo Mkeo hachoki tuu...
  10. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Knock out ya mama: bondia wa Tanzania ameshinda.

    Lakini I am not very impressed. Raundi ya mwisho ilibidi refa apumzike nukta chache kumuuliza bondia wa Tanzania kama anataka kuendelea
  11. ministrant

    JamiiForums Tanzania Waandaaji wa pambano la knock out ya mama mlipaswa kutumia brass band za majeshi yetu (TPDF, JKT, polisi au magereza) katika kupiga nyimbo za taifa

    Nimeshangazwa kuona waandaaji wa pambano hili ambalo linatazamwa Kimataifa na lina Jina la Mkuu wa nchi huku mgeni rasmi akiwa ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa well organized katika kuhakikisha nyimbo za Taifa zinapigwa katika ubora unaostahili badala ya kutumia recorded...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Knock Out Ya Mama: Boxing : Yohana vs Fajardo

    Knock Out Ya Mama takes place Thursday, December 26, 2024 with 14 fights at Super Dome Arena in Dar-Es-Salaam, Tanzania. Light Flyweight division Mchanja Yohana Bakari vs Miel “Silent Assassin” Mchanja Yohana Bakari from Tanzania Miel “Silent Assassin” from the Philippines
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Naona sasa mchezo wa ndondi nao wameingia kwenye mfumo waja na ''Knock out ya mama''

    Wakuu ! Inawezekana tumezoea kuona mchezo wa mpira wa miguu ukipata faida kutoka kwa serikali. Mfano goli la mama katika michuano ya kimataifa na hapa naweza kusema Yanga na Simba ndiyo wamenufaika zaidi kulamba mihela ya goli la mama na hata timu ya taifa nayo siku kadhaa zilizopita walipata...
  14. EEM M

    JamiiForums Tanzania Kusoma Masters ya Sheria Chuo Kikuu Huria (OUT), Je, GPA inapatikana?

    Habari za muda ndugu zangu. Binafsi nimewiwa sana kujiendeleza kwa kusoma Masters katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Open University) kwani mbali na ubora wa elimu inayopatikana napo na kukifanya kiwe Chuo Kikuu cha pili Tanzania kwa ubora nimeamua kupapendekeza hapo kama chaguo langu la...
  15. Mr Attorney

    JamiiForums Tanzania To all keyboard warriors in and out of the country

    1/ Keyboard warriors and false Heroism; People who pretend to be strong while hiding abroad, waging their struggles behind a keyboard, often see themselves as heroes. Yet, their greatest skill is explaining what they can't do while ignoring reality. Falsafa: 2/ These keyboard fighters seem to...
  16. Fortilo

    JamiiForums Tanzania Honest Advice: Its tough out there bro, dont do it, just dont..!

    My Dear Brother, Dont do it, just dont.. Hawa marafiki na wapambe ulio nao kwa sasa ni watu fake sana, having listened to their speech, rhetorical statements and sentiments.... They cant take you far... Wanachuki binafsi za kimaslahi na upande unaoupinga.. There are 3 types of Friendships...
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Muite (Call Out) hapa mwana JF yoyote unayetaka ku-battle au ku-debate naye

    Robert Heriel Mtibeli you are just a key board warrior, a typing merchant🤣 Eti sijui taita wa fasihi, my foot Extrovert n fundi nyundo wa magari anajidai eti ana show room ya toyota🤣 adriz Malaria 2 hamas ni utapeli
  18. Bob Manson

    JamiiForums Tanzania Fahamu falsafa ya Order out of chaos inayotumika kuleta utaratibu mpya baada ya machafuko

    Habari zenu waungwana..... Order Out of Chaos (au Ordo ab Chao ) kama ilivyosemwa kwa Kilatini, ni moja ya kauli maarufu na Kauli hii ina maana kwamba mgogoro au machafuko yanaweza kutumika kama njia ya kuleta "utaratibu" au "mabadiliko" ambayo ni yenye manufaa kwa wale walio katika madaraka...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Njoo na ideas jinsi ya ku sort out changamoto zinazozikumba jamii kwa kutengeneza app na system

    Mko poa kwenye jamii kuna changamoto nyingi sana zinabidi ziwe sort out kwa njia ya tech maana now tech inakua saana. Sasa hapa kuna watu wa aina 2 mwenye uwezo wa kutengeneza mifumo ila hana ideas na .Kuna mwenye Idea ila hajui kutengeneza sasa lengo la huu ni kuwakutanisha hawa wote...
  20. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Find out these 8 interesting facts about the United States Elections

    1. Campaign Length Canada allows around 50 days for election campaigns, France allows 2 weeks, and Japan allows 12 days. The U.S. has no laws defining campaign length, and campaigns often start 500–600 days before Election Day (the record is 1,194 days) Discussion Question: Why do you think...
Back
Top Bottom