Kama huna mtoto mpaka sasa, na hakuna mwanamke aliyekuja kukuomba uzae nae, juwa kuwa mbegu yako si nzuri.
Ata kwenye mashamba, huwa tunachagua mbegu nzuri na kuiotesha, hivyo hivyo na kwenye mifugo, tutaangalia ile mbegu nzuri na kuipandikiza kwenye jike.
Pia, na kama unatumia pesa nyingi...